verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
Naona kuna midume jike imetiririka kwenye huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tunafanana tu hahaaBado ndo tunapanga na mama watoto tuzae wangapi..[emoji3]
njoo nikupe kamoja na hyo rang tunatoa shombe shombeSina hata mmoja
Hiyo avatar tu mie ni mweusi na bado napenda wanaume weusi hatar sana [emoji23][emoji23]njoo nikupe kamoja na hyo rang tunatoa shombe shombe
unaweza kuwa mweusi na ukatoa rang tofaut vile vile,ukweli ni kwamba wanawake weng wanaweka avatar ya picha zinazoendana naoHiyo avatar tu mie ni mweusi na bado napenda wanaume weusi hatar sana [emoji23][emoji23]
Game lipi Tena?Una miaka 15 kwenye game.... [emoji1316]
Unataka kulizwa tena 🤣🤣🤣🤣Hiyo avatar tu mie ni mweusi na bado napenda wanaume weusi hatar sana [emoji23][emoji23]
Wee hizi avatar bwana hata zisikuchanganye kama mimi naweka yoyote tu itakayonivutia. Hiyo avatar hapo hata hatufanani, mimi npo na rangi kama Flavi Matata na nywele nakata kama yeye .unaweza kuwa mweusi na ukatoa rang tofaut vile vile,ukweli ni kwamba wanawake weng wanaweka avatar ya picha zinazoendana nao
Bwana wee hapa tunachangamsha genge tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekeshaUnataka kulizwa tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu una uhakika gani ukimwoa huyo mwanamke utaweza kumfanya ilhali hujawahi kufanya maishani mwako?Mm sio mwanamke, ila nikidandia mada bc mtoto wangu angekuwa bado hajazaliwa mana mpaka sasa nina miaka 37 lkn sijawahi kufanya mapenzi na sina mpango huo mpaka nitakapooa.
Sitaki kufanya mapenzi nje ya ndoa mana ni dhambi kubwa kwa mungu hvy namtunzia mke wangu mtarajiwa.
Kitaeleweka huko hukoMkuu una uhakika gani ukimwoa huyo mwanamke utaweza kumfanya ilhali hujawahi kufanya maishani mwako?
Kwa umri huo ukipiga bao anatoka mtoto kabisa sio mbegu. Maana zishakomaa mpaka kuwa kiumbe🤣🤣🤣🤣🤣Mm sio mwanamke, ila nikidandia mada bc mtoto wangu angekuwa bado hajazaliwa mana mpaka sasa nina miaka 37 lkn sijawahi kufanya mapenzi na sina mpango huo mpaka nitakapooa.
Sitaki kufanya mapenzi nje ya ndoa mana ni dhambi kubwa kwa mungu hvy namtunzia mke wangu mtarajiwa.
Wangu angekua na miaka 12
Haifunguliwi, nimefunga makusudicallyUzoefu unao kumbe fungua pm sasa
Yn hapa nikifikisha 40 itabidi mimba niibebe mwenyewe.Kwa umri huo ukipiga bao anatoka mtoto kabisa sio mbegu. Maana zishakomaa mpaka kuwa kiumbe🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yn hapa nikifikisha 40 itabidi mimba niibebe mwenyewe.
Tukiwaachia mada nyie wanawake bc uzi ungebaki page ya kwanza na comments ungekuta ziko 10Ila wanaume wa jf mna visebengooo, swali waulizwe wanawake mjibu nyie[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Au ndio nyie baada ya muda mnakuja na id mpya kujitanabaisha[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]