Je, mtoto wako angekuwa na umri gani endapo ungepata mimba wakati ukishiriki ngono kwa mara ya kwaza?

Je, mtoto wako angekuwa na umri gani endapo ungepata mimba wakati ukishiriki ngono kwa mara ya kwaza?

unaweza kuwa mweusi na ukatoa rang tofaut vile vile,ukweli ni kwamba wanawake weng wanaweka avatar ya picha zinazoendana nao
Wee hizi avatar bwana hata zisikuchanganye kama mimi naweka yoyote tu itakayonivutia. Hiyo avatar hapo hata hatufanani, mimi npo na rangi kama Flavi Matata na nywele nakata kama yeye .
 
Mm sio mwanamke, ila nikidandia mada bc mtoto wangu angekuwa bado hajazaliwa mana mpaka sasa nina miaka 37 lkn sijawahi kufanya mapenzi na sina mpango huo mpaka nitakapooa.
Sitaki kufanya mapenzi nje ya ndoa mana ni dhambi kubwa kwa mungu hvy namtunzia mke wangu mtarajiwa.
Mkuu una uhakika gani ukimwoa huyo mwanamke utaweza kumfanya ilhali hujawahi kufanya maishani mwako?
 
Mm sio mwanamke, ila nikidandia mada bc mtoto wangu angekuwa bado hajazaliwa mana mpaka sasa nina miaka 37 lkn sijawahi kufanya mapenzi na sina mpango huo mpaka nitakapooa.
Sitaki kufanya mapenzi nje ya ndoa mana ni dhambi kubwa kwa mungu hvy namtunzia mke wangu mtarajiwa.
Kwa umri huo ukipiga bao anatoka mtoto kabisa sio mbegu. Maana zishakomaa mpaka kuwa kiumbe🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila wanaume wa jf mna visebengooo, swali waulizwe wanawake mjibu nyie[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Au ndio nyie baada ya muda mnakuja na id mpya kujitanabaisha[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Ila wanaume wa jf mna visebengooo, swali waulizwe wanawake mjibu nyie[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Au ndio nyie baada ya muda mnakuja na id mpya kujitanabaisha[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Tukiwaachia mada nyie wanawake bc uzi ungebaki page ya kwanza na comments ungekuta ziko 10
 
Back
Top Bottom