Je, Mtu asipoitika salamu yako huwa unasema nini?

Nasema qumamaco
 
Mara nyingi siitikiwi lakini niligundua Nina sauti ya chini sana kwahiyo nisipoitikiwa najua tatizo ni nini silaumu kesho namsalimia tena

Sehemu ambazo huwa sisalimii makusudi ni sehemu za huduma binafsi kama madukani maana naamini yuko pale kutafuta hela sio salamu

Nikifika nataja mahitaji tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namsalimia tena na tena

Kwani salamu sh ngapi bwana
 
Acha huo uswahili boy
 
In short heshima huna ila una pretend maana heshima haina rika. Ukishaanza kubagua vijana na wazee au watu wazima ujue kuna shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…