Je, mtu huyu nimfungulie kesi ya aina gani?

Very TECHNICAL MISTAKES!

Wengine sie ukweni na upande wa wakwe tunasalimiana tu na kushirikiana issues za msingi. Hayo ya kuwekeza unawashirikisha wakwe ili iweje, huna ndugu zako?
 
Ma ndugu ya kibongo sio ya kuyakaribisha hata kukaa nayo home huwa ndo masoma weakness point ya familia yenu akifa ndugu yao utasumbuana nayo kama nzi kwenye kimba
 
Ww ni mtu mzima,kwa nini ulishindwa kushinikiza ili uwe msimamizi wa.mirathi.Kama kweli una haki katika mali hizo mkatae huyo msimamizi.Wanasheria watakusaidia zaidi
Walimseti mtu wa kukusumbua wewe ukabariki msimamizi kaka yake kwani wewe ni ndugu yao mmefiwa na mama yenu au? Kuna haja ya kuandika mirathi kabisa kupunguza huu ujinga
 
Hizo mali wa kusimamia ni wewe tafuta mwanasheria fungua kesi mahakamani utashinda
Kweli mkuu,asante kwa kunipa matumaini, naamini nitashinda,nitakushukuru pia baada ya ushindi,ubarikiwe sana kaka.
 
Walimseti mtu wa kukusumbua wewe ukabariki msimamizi kaka yake kwani wewe ni ndugu yao mmefiwa na mama yenu au? Kuna haja ya kuandika mirathi kabisa kupunguza huu ujinga
Nimeshakiri kosa mkuu,ndiyo maana nimekuja kwenu mnisaidie kutoka hapa nilipo,hii issue inaniumiza kichwa sana.
 
Nikisoma reply zako zinaonesha wew ni mpole sana.Em waoneshe upande wako wa pili wakuheshim. Chunga isitengeneze shimo akili kumkichwa
 
Nikisoma reply zako zinaonesha wew ni mpole sana.Em waoneshe upande wako wa pili wakuheshim. Chunga isitengeneze shimo akili kumkichwa
Nadhani upole unatafsiriwa tofauti,ukiwauliza watu wawili kama mimi ni mpole mmoja atasema ndiyo na mwingine atasema hapana,hapa natafuta suluhu ya kisheria,lakini kuna pengine nimepeleka kijeuri na ika fit,sipo kama unavyonisoma mkuu,kila kitu kinaenda kwa utaratibu wake,hapa nahitaji ushauri wa kisheria zaidi,asante sana mkuu
 
Up
Update
 
Mpk sasa umethibitisha ww n Punga kabisa... Mwanaume gan unashindwa kusimamia mirathi ya mke wako??

Ungepewa watoto je ungeweza??

Tunarud kwenye ushauri sasa,
Kuchaguliwa kuwa msimamizi wa mirathi haimaanishi ndo imeisha, Subiri wafungue kesi ya mirathi mahakaman then utaenda kuweka caviet (zuio) ya mtu huyo kuwa msimamizi wa mirathi

Utatoa sabab zako mahakaman then zikiwa na mashiko basi mahakama itamtengua huyo msimamizi.

Kwa ushauri zaidi mwone mwanasheria wako
 
Hicho kikao chenu kilikua cha kijinga ,.mlitakiwa kumalizana kwenye kikao kila mtu apite na chake
Hio sio familia yako tena ,chukua chako waachie Chao wasismamie watakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…