Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Sasa hapo inabidi ufuatilie mahakamani kama kumewahi funguliwa mirathi, fuatilia pote pote Mahakama ya Mwanzo na Mahakama Kuu.Kuhusu yeye kufungua maombi ya usimamizi wa mirathi sina hakika nalo kwa asilimia 100,na ndiyo nikasema nina mashaka kuwa hakwenda mahakamani, kwa kuwa huko angetakiwa kwenda na vielelezo ambavyo hana, alichonacho ni barua ya muhtasari wa kikao cha familia tu na je naweza kwenda mahakamani kuuliza kama alikwenda kufungua shauri hilo?
Ukishakuwa na uhakika sasamambo mengine ndio yataweza kuendelea vizuri kaka.