#COVID19 Je, mtu mwenye kisukari hatakiwi kupata chanjo? Wataalamu tumjibu Askofu Gwajima

#COVID19 Je, mtu mwenye kisukari hatakiwi kupata chanjo? Wataalamu tumjibu Askofu Gwajima

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Kwa masikio yangu bila kusimuliwa na mtu nimemsikia askofu Gwajima amesema,

watu wenye magonjwa ya kisukali, Presha Ukimwi hawapaswi kupata chanjo ya covid maana itawaathiri sana na inaweza kuwaua,

mimi sikulijua hili isipokua nilijua kwamba mtu aliyekwishaambukizwa Corona ndiye hapaswi kupata chanjo mpaka apone kabisa,

sasa haya madai ya Askofu leo yamenishangaza sana naomba wataalamu mnisaidie kujibu hili,
 
Tusubiri Waziri Daktari Gwajima atatolea ufafanuzi haya madai ya Shemeji yake..
 
Tatizo hata hao wenye corona hawapimwi kabla ya kuchoma chanjo
Hivyo aliye na corona na asiye na corona wote wanachoma. Lengo number iwe kubwa
 
Watu wanaopewa kipaumbele kupatiwa chanjo ya UVIKO-19 ni wenye magonjwa ya muda mrefu (chronic diseases) ikiwemo kisukari !
askofu
gwajima anaipinga hiyo sasa anadai sio sahihi
 
Kwa masikio yangu bila kusimuliwa na mtu nimemsikia askofu Gwajima amesema,

watu wenye magonjwa ya kisukali, Presha Ukimwi hawapaswi kupata chanjo ya covid maana itawaathiri sana na inaweza kuwaua,

mimi sikulijua hili isipokua nilijua kwamba mtu aliyekwishaambukizwa Corona ndiye hapaswi kupata chanjo mpaka apone kabisa,

sasa haya madai ya Askofu leo yamenishangaza sana naomba wataalamu mnisaidie kujibu hili,
Ni kawaida sana ya mtu mwenye vinasaba vya free mason kuwa na tabia kama za Gwajimaaa
 
Tatizo ni kuwa huwa mnachukua tuvipande vipande ndo mnamjibu,muwe mnasikiliza full maelezo yake ndipo mmjibu,maelezo yake yako wazi tu hata hayahitaji kelele
 
Tatizo ni kuwa huwa mnachukua tuvipande vipande ndo mnamjibu,muwe mnasikiliza full maelezo yake ndipo mmjibu,maelezo yake yako wazi tu hata hayahitaji kelele
hivyo vipande vidogo vimezungumzwa na gwajima au nani? unataka yulete kipande chote cha masaa manne?

lakini pia hujazuiwa kuyaleta unaweza kuleta pia
 
Kwa masikio yangu bila kusimuliwa na mtu nimemsikia askofu Gwajima amesema,

watu wenye magonjwa ya kisukali, Presha Ukimwi hawapaswi kupata chanjo ya covid maana itawaathiri sana na inaweza kuwaua,

mimi sikulijua hili isipokua nilijua kwamba mtu aliyekwishaambukizwa Corona ndiye hapaswi kupata chanjo mpaka apone kabisa,

sasa
Acha kubwabwaja!
Hoja ya Gwajima, watu wasichanjwe bila kupimwa afya.

. Tz watu wanachanjwa bila kupima.
 
Watu wanaopewa kipaumbele kupatiwa chanjo ya UVIKO-19 ni wenye magonjwa ya muda mrefu (chronic diseases) ikiwemo kisukari !
Huyo mzinzi na tapeli hajui kitu na apeleke uongo wake huko huko kwa misukule wake wanaoamini anao uwezo hata wa kufufua. Watu wenye ugonjwa wa Kisukari ni miongoni mwa wanaopewa kipumbele kwenye chanjo.

With clinical data supporting a robust neutralizing antibody response in COVID-19 patients with DM, vaccination in individuals with DM is justified. In fact, as the burden of the disease is borne by people with DM, COVID-19 vaccination should be prioritized in individuals with DM.
 
Huyo mzinzi na tapeli hajui kitu na apeleke uongo wake huko huko kwa misukule wake wanaoamini anao uwezo hata wa kufufua. Watu wenye ugonjwa wa Kisukari ni miongonu mwa wanaopewa kipumbele kwenye chanjo.

With clinical data supporting a robust neutralizing antibody response in COVID-19 patients with DM, vaccination in individuals with DM is justified. In fact, as the burden of the disease is borne by people with DM, COVID-19 vaccination should be prioritized in individuals with DM.
gwajima anapenda sifa,
 
Acha kubwabwaja!
Hoja ya Gwajima, watu wasichanjwe bila kupimwa afya.

. Tz watu wanachanjwa bila kupima.
acha matusi basi, mbona unamlisha maneno huyo Kibwetere
ni lini alisema watu wapimwe kwanza ili wakachanjwe
wacha aingie kikaangono kazoea kuropoka kama Nchi ya babake mwendazake
sasa ndio kuna Serikali
GWAJIBOY.jpg
 
Back
Top Bottom