Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Kwani sasa hivi Yuko wapi? Najua kuwa kiroho yupo kila mahali, lakini je, Kiti chake cha Enzi kiko wapi? Ukijua mahali kilipo muda huu Kiti chake cha Enzi, basi ndiyo huko ambako amekuwepo milele yote
Mungu akiwa kila Mahali maana Yake hata Hapo Mfukoni mwako Yupo.. Humo Tumboni mwako Yupo

Na inaposemwa ana Kiti Cha Enzi.. Kwahiyo anaweza Kukaa Kama Mimi na Wewe?

Maandiko Yamepumbaza Sana Watu
 
Naam uko sawa kabisa. Hilo swali nililomuuliza mleta mada lilikuwa rhetorical. Nilitaka kumjengea picha akilini kuwa kabla hajawaza kuwa Mungu alikuwa wapi wakati anaumba....

Awaze kwanza kuhusu viumbe hai na visivyo hai...vionekanavyo na visivyoonekana. Hivi vyote vilikuwa brought into existence by the majestic power of God..kwa kuvitamka tu navyo vikawepo na kutokea.

Sasa ukijaribu kuwaza kuwa inawezekanaje kuwa something to be created out of nothing...imagine materials zote zilizohitajika kuumba nyota, zote, sayari, miezi n.k ziliumbwa kwa kutamkwa tu na Mwenyezi-Mungu. Then God must be so powerful kiasi kisichoelezeka.

kibinadamu hauwezi kuelewa. Ila kwa imani tunaamini kwani uwepo wa creation tu ni somo tosha juu ya ukuu wa Mungu ambao kamwe hatuwezi kuuelewa wote.
 
Mungu hawezi kuumba wala kufanya chochote.

Mungu hayupo.

Binadamu ndiye alimuumba Mungu kwenye fikra zake.
Ukiangalia Mazingira yako Utatambua Kitu Kilifanya Jambo Hayo Mazingira yakawepo. UKijiangalia Wewe mwenyewe utatambua Kwamba Una mifumo ambayo Kuna Kitu Kilifanya Hiyo Mifumo Ikawepo

Anyway jiulize Hili Pia Binadamu tunaongezeka kwa Kuzaliana. Maana Yake Hapo Mwanzoni kulikuwa na Wazazi wa Kwanza kabla Hatujawa Mamillioni ya Sasa
 
Kwaiyo ayo maviumbe yako sijui ma annunak yali jali zaidi kumuumba binadamu ila kuusu samaki na viumbe vingine hayakujali??
Tatizo lako Wewe ni mjinga
(samahani sikutukani ujinga sio tusi)
Wewe nimekwambia Annunak ndio waliproject smart human being na sio Hivyo tu Bali walifanya cloning project nyingi Sana za viumbe hai na mimea Kaa ukijua Hii Dunia Miaka millions iliyopita haikua Hivi ilikua na viumbe wa tofauti Kabisa na Sasa ila yakaja tokea mabadiliko makubwa Sana na wanasayansi wamethibitisha Hilo Kuna kitu kiliingilia mfumo wa nature na kupandiza DNA Kwa viumbe na mimea ambayo kiasili inaonesha vilitoka Nje ya mfumo wetu wa Nyota
Nenda kule jukwaa la intelligence Kuna Uzi kapost mwamba #Artificial intelligence unaitwa
Annunak walimuumba mtu(modern human)
Utapata maarifa siwezi kukuweka Kila kitu hapa utanichosha kule Kuna michango yangu itakufungua usiwe brain washed!
 
Tatizo lako Wewe ni mjinga
(samahani sikutukani ujinga sio tusi)
Wewe nimekwambia Annunak ndio waliproject smart human being na sio Hivyo tu Bali walifanya cloning project nyingi Sana za viumbe hai na mimea Kaa ukijua Hii Dunia Miaka millions iliyopita haikua Hivi ilikua na viumbe wa tofauti Kabisa na Sasa ila yakaja tokea mabadiliko makubwa Sana na wanasayansi wamethibitisha Hilo Kuna kitu kiliingilia mfumo wa nature na kupandiza DNA Kwa viumbe na mimea ambayo kiasili inaonesha vilitoka Nje ya mfumo wetu wa Nyota
Nenda kule jukwaa la intelligence Kuna Uzi kapost mwamba #Artificial intelligence unaitwa
Annunak walimuumba mtu(modern human)
Utapata maarifa siwezi kukuweka Kila kitu hapa utanichosha kule Kuna michango yangu itakufungua usiwe brain washed!
Utajiju na maelimu msenge yako.
 
Mungu akiwa kila Mahali maana Yake hata Hapo Mfukoni mwako Yupo.. Humo Tumboni mwako Yupo

Na inaposemwa ana Kiti Cha Enzi.. Kwahiyo anaweza Kukaa Kama Mimi na Wewe?

Maandiko Yamepumbaza Sana Watu
Mungu akiwa kila Mahali maana Yake hata Hapo Mfukoni mwako Yupo.. Humo Tumboni mwako Yupo

Na inaposemwa ana Kiti Cha Enzi.. Kwahiyo anaweza Kukaa Kama Mimi na Wewe?

Maandiko Yamepumbaza Sana Watu
Ulishawahi kumuona kichaa anayeokota makopo barabarani anacheka? Kama ulishawahi, je ulishawahi kujiuliza kwa nini anacheka? Ni lazima huwa kuna sababu tena ya msingi sana inayomchekesha, pamoja na kwamba ni kichaa. Kwa hiyo usije ukamuona kichaa anacheka, uka-assume amacheka tu kwa sababu ni kichaa, hapana lazima kunakuwa na sababu, tena ya msingi sana

Hali kadhalika kwa yule ambaye wewe unamuona kuwa ni mpumbavu naye yuko mithili ya yule ambaye ni kichaa. Usije ukamuona anafanya kitu yule ambaye wewe unadhani kuwa ni mpumbavu halafu ukadhani pia kuwa hana sababu ya msingi, au ukadhani kuwa anafanya kwa sababu ni mpumbavu. Ni kwa sababu tu kuwa wewe huna standadrds zinazoweza kuthibitisha kuwa huyu ni mpumbavu na yule siyo.

Katika hali hiyo wewe unakuwa huijui, isipokuwa unakuwa umebaki na idea ya juujuu tu kuwa anafanya kwa sababu ni mpumbavu!
 
Ukiangalia Mazingira yako Utatambua Kitu Kilifanya Jambo Hayo Mazingira yakawepo. UKijiangalia Wewe mwenyewe utatambua Kwamba Una mifumo ambayo Kuna Kitu Kilifanya Hiyo Mifumo Ikawepo

Anyway jiulize Hili Pia Binadamu tunaongezeka kwa Kuzaliana. Maana Yake Hapo Mwanzoni kulikuwa na Wazazi wa Kwanza kabla Hatujawa Mamillioni ya Sasa
Nenda kasome Accient Tablets za Mesopotamian yaani Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian, Kush, nk utajua ni nani aliyemproject modern human yaani homo sapiens Sapiens,
Utakuja kunishukuru!

Achana na story za kuumbwa za kijitabu kinaitwa Biblia au Quran hizo ni hekaya ndogo tu kati ya ule ukweli halisi uliopo kwenye Hayo maandiko na utapata picha ni nani aliyefanya formation ya viumbe walioko Sasa,
Kwa muhtasari tu
Hakuna kiumbe anaitwa Mungu aliyeumba Dunia Wala kumuumba Binadamu na mtu
Bali Kuna viumbe kutoka galaxies za mbali Huko waliifanyia hiyo shughuli ya kupandikiza DNA na cloning project ya viumbe wa kisasa unaowaona Leo including you dude!
 
Hadith na nadharia za Mungu Zina utata na contradictions kibao,Watu was kwanza kuanza kuanzisha nadharia za Mungu ni wa accient civilization za kale kama Sumerians, Assyrian, Babylon, Egyptian, Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus, valley nk
Hawa walianza Hizo nadharia baada ya Dunia kutembelewa na viumbe kutoka nje ya mfumo wetu wa Nyota yaani
ANNUNAK
Hao ndio waliomproject maabara Mwanadamu na kumpa ujuzi wote lengo atumike kama nguvu KAZI ya kuchimba dhahabu,dhahabu ilihitajika na hao viumbe kuizirudisha Sayari zao katika Hali ya kawaida baada ya kuharibiwa na vita vya
Nuclear reactors baada ya viumbe wale kumaliza mission na kuondoka Watu wakaanza waabudu kama Miungu na hata mwanzilishi wa Imani za Abrahamic alitokea Uru ya Ukaldayo Mesopotamia alikua akimuabudu Mungu El au Elohim (YHW)
Huyo alikua ni Moja kati ya Miungu wa Annunak na mapokeo mengi ya wayahudi Yana masimulizi ya sifa za huyo Mungu wao El mpaka pale zilipokuja zaliwa dini zenye mlengo wa huyu El kama Judaism, Christianity and Islamic
Na sio Kwamba El alikua ndie Mungu pekee hapana kulikua na Miungu wengi sana ukienda Kwa wahindi Wana Mungu wao Rama mwenye sifa kama za El
Ukienda misri Kuna Ra
Mesopotamia Kuna Anu
Kuna Enki
Na wengine wengi sana wote Wana mapokeo tofauti tofauti ila asili Yao ni Moja na Hao Miungu baadhi Yao walikua na bifu Kali sana mfano
Elohim YHW aliingia mkataba na agano na Abraham Kwamba uzao wake wote Watakua Watu wake na ni Marufuku kujihusisha na miungu mingine lengo lake awe na Watu wa kukamilisha mission zake Kwa urahisi na lengo la huyo Annunak El ni gold na dio maana mmoja wa uzao wa Abraham yaani Suleiman alikua na uwezo mkubwa sana na akili nyingi aliweza kukusanya gold Kwa maelfu ya matani na baadae zikapotea ghafla tu hata hatujui zilienda wapi hao ndio ANNUNAK na mission zao duniani

Nahitimisha ya Kwamba Hizo Hadith za Mungu mkuu muumbaji wa ulimwengu ni uongo na huyo Mungu hayupo na hajawahi kuwepo ila tu Watu waliamua kuwaita accient ANNUNAK miungu ila walikua Alliens tu!
Mzungu wa kwanza kuelimika ni Mgiriki. Wanasifa kubwa sana bara la Ulaya na ulimwenguni kwenye sunapozungumzia masuala ya elimu. Hawa ndiyo wanaitwa mabwana wa falsafa.

Alexander alipofika Misri ya kale alimwandikia barua mama yake amefika eneo ambalo ndipo asili ya miungu yao ilipotoka. Ukiaangalia Ugiriki imebeba historia kubwa sana katika civilisation ya binadamu.

Lakini ukirudi kwenye rejea, hii civilisation Mgiriki kaitolea Misri ya kale. Kwenye historia unapomzungumzia Mgiriki ina maana unamzungumzia mzungu. Ukiizungumzia Misri ya kale unaizungumzia Misri ambayo kabla Mwarabu hajaingia. Misri ya kale ni Misri ya watu weusi. Na Misri ni Afrika, hivyo unazungumzia bara la Afrika, Misri ya kale ambayo ni ya mtu mweusi.

Hivyo ikisemwa Mgiriki (mzungu) elimu yake kaitolea Misri ya kale mzungu anaona hii ni aibu haya kwake ni matusi na ajenda nyenginezo alizokuwa nazo yeye mwenyewe. Sasa yeye (mzungu) ni mjinga akubali hilo? Wakati alishasambaza ulimwenguni mtu mweusi ni wa namna gani! Ili aende sawa na ajenda zake kuwa wewe mtu mweusi ni hopeless inabidi akujaze ujinga mwengine ya kuwa: Mtu mweusi hakuwa na akili ya kufanya maendeleo yale ya Misri ya kale! Waliyofanya hayo ni ANUNAKI.

ili hii fikra yao waithibitishe zaidi inabidi watafute support ya madai yao. Inabidi watafute stori za kuunga unga kutoka kwenye historia za kale palipo na ajabu wanaweka ANUNAKI. Maana ya mzungu ni mzunguruke.
 
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi?
Akiwa katika MBINGU YA MBINGU YA MBIGU, JUU, JUU SANA! Unahitaji upate msaada zaidi ya akili zako kulielewa hili. Kwani hilo ni suala la IMANI na zaidi iwe IMANI kwa MUNGU ALIYE HAI!
 
Nenda kasome Accient Tablets za Mesopotamian yaani Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian, Kush, nk utajua ni nani aliyemproject modern human yaani homo sapiens Sapiens,
Utakuja kunishukuru!

Achana na story za kuumbwa za kijitabu kinaitwa Biblia au Quran hizo ni hekaya ndogo tu kati ya ule ukweli halisi uliopo kwenye Hayo maandiko na utapata picha ni nani aliyefanya formation ya viumbe walioko Sasa,
Kwa muhtasari tu
Hakuna kiumbe anaitwa Mungu aliyeumba Dunia Wala kumuumba Binadamu na mtu
Bali Kuna viumbe kutoka galaxies za mbali Huko waliifanyia hiyo shughuli ya kupandikiza DNA na cloning project ya viumbe wa kisasa unaowaona Leo including you dude!
mkuu kn uzi humu .una madini km haya yako
 
MUNGU alikuwaepo kabla ya hiyo ''Kabla'' kuwepo. Pili MUNGU hana nafasi kwa hivyo huwezi kumpa specific location, ukimpa specific location tayari umeshamlimit. MUNGU ni mmoja hagawanyiki, yeye ndiye mwanzilishi na mmiliki wa kila jambo, hana mshirika katika utendaji wake, hana mwanzo wala hana mwisho,, hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfano wowote na pia hafananishwi na chochote.
Mungu wanasema ana nafsi tatu. Tayari ni mgawanyiko.

Pia wanasema Mariam alipata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu (moja ya nafsi zake) ndio akazaliwa yesu. Maana yake Mungu alimpa ujauzito Mariam kisha akamtelekezea yosefu.

Kwahiyo mungu alizaa na Mariam.
 
Nenda kasome Accient Tablets za Mesopotamian yaani Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian, Kush, nk utajua ni nani aliyemproject modern human yaani homo sapiens Sapiens,
Utakuja kunishukuru!

Achana na story za kuumbwa za kijitabu kinaitwa Biblia au Quran hizo ni hekaya ndogo tu kati ya ule ukweli halisi uliopo kwenye Hayo maandiko na utapata picha ni nani aliyefanya formation ya viumbe walioko Sasa,
Kwa muhtasari tu
Hakuna kiumbe anaitwa Mungu aliyeumba Dunia Wala kumuumba Binadamu na mtu
Bali Kuna viumbe kutoka galaxies za mbali Huko waliifanyia hiyo shughuli ya kupandikiza DNA na cloning project ya viumbe wa kisasa unaowaona Leo including you dude!
Hao viumbe kutoka sayari nyengine mwisho wa hii project yao juu yetu ni nini?
 
Naam uko sawa kabisa. Hilo swali nililomuuliza mleta mada lilikuwa rhetorical. Nilitaka kumjengea picha akilini kuwa kabla hajawaza kuwa Mungu alikuwa wapi wakati anaumba....

Awaze kwanza kuhusu viumbe hai na visivyo hai...vionekanavyo na visivyoonekana. Hivi vyote vilikuwa brought into existence by the majestic power of God..kwa kuvitamka tu navyo vikawepo na kutokea.

Sasa ukijaribu kuwaza kuwa inawezekanaje kuwa something to be created out of nothing...imagine materials zote zilizohitajika kuumba nyota, zote, sayari, miezi n.k ziliumbwa kwa kutamkwa tu na Mwenyezi-Mungu. Then God must be so powerful kiasi kisichoelezeka.

kibinadamu hauwezi kuelewa. Ila kwa imani tunaamini kwani uwepo wa creation tu ni somo tosha juu ya ukuu wa Mungu ambao kamwe hatuwezi kuuelewa wote.
Ewaa!

Na ajabu iliyokuwa kubwa kaumba kwa kutamka! Yaani hakukuwa na store lililohifadhi malighafi za uumbaji.
 
Hiyo ndio ilimuokoa na kifungo raia mmoja wa Marekani mwaka 2013, ambaye alituhumiwa kwa makoisa ya kuudanganya umma kuwa anao uwezo wa kuinyanyua dunia yote na vilima vyake na kwenda kuitupa baharini!
Siku ya kesi mtuhumiwa alikana kuwa hana hatia yoyote katika kauli yake hiyo na kwamba yupo tayari kuthibitisha uwezo wake mbele ya mahakama ila tu mlalamikaji amuonyeshe mahala atakaposimama wakati akiinyanyua dunia na vilima vyake! Hata hivyo mlalamikaji alishindwa kumuonyesha mahala pa kusimama na hivyo ilimuachia huru mlalamikiwa kwani ilijiridhisha kuwa hana hatia!
 
Hao viumbe kutoka sayari nyengine mwisho wa hii project yao juu yetu ni nini?
Project iliyowaleta kwenye Accient civilization ilikua ni Gold,
Dhahabu ilikua ni lengo kuu kwao
Inadaiwa Dhahabu ni ufunguo wa maisha kwao maana hapo kale ulitokea mtafuruku kwenye Sayari Zao uliokuja kuzalisha vita Kali Sana iliyohusisha Nuclear reactors power kutokana na ujuzi mkubwa wa kiteknolkjia walikuta wameharibu mifumo ya kawaida wa Sayari za Orion's
Wakajikuta Kuna material wanazihitaji Ili kurecover Moja wapo ni dhahabu basi ndio waakanza kuzunguka Sayari mbali mbali wakizitafuta ndio wakajipata wapo duniani na hapa walikuta mfumo tofauti wa kimazingira kama ilivyo Sasa,
Katika maandiko ya kale ya Sumerian wanadai waliwakuta duniani viumbe mithili ya primitive wakiishi kama wanyama wengine wa kawaida na changamoto kubwa kwao licha ya technology kubwa ila walihitaji man power wa kusaidia kazi na ndipo walipoanza majaribio ya kisayansi ya kumproject primitive Kwa kuchanganya DNA tests mara ya kwanza walianza kupata viumbe vingi kama
marmeids
viumbe kichwa Cha mbuzi kiwili wili Cha Binadamu na miguu yenye kwako,
Wakatengeneza nusu
Mtu nusu nyani
Wakatengeneza nusu farasi nusu Mtu
Wakatengeneza nusu nyoka nusu Mtu
Tatizo lilikuja Hawa viumbe walio wa project walifeli kwenye uzalishaji yaani hao viumbe wote walikua hawana uwezo wa kuzalisha Zaidi na walichukua kipindi kichache kusurvive
Annunaki wakaona wanaingia hasara kutengeza sample Kila siku kuongeza nguvu KAZI ndio walipokaa na kuamua
Kutoa DNA Za miili Yao na kuunganisha na ya primitive
Wakabahatika kumtoa Homo sapiens Sapiens kamili ambae ndie super human na akawa na uwezo wa kuzalisha na ana life span ndefu,mwenye akili,ujuzi na kutambua Nini anafanya
Humanoids waliweza kufanya Kazi wakiongozwa na akili Zao timamu na ANUNNAK wakawapa ujuzi mkubwa sana wa kuchimba gold na kuanzisha ustaarabu wa kwanza wa kale na ndio historia ya Mwanadamu na Watu ikaanzia hapo,

Hapo tunaona lengo ni Gold tu na Ndio maana jiulize Toka Hapo kale walikua wanachimba dhahabu Kwa mamillion ya Tani na zikaja kupotea ghafla tu zilienda wapi na hua haziozi?
Jibu utapata mataifa makubwa yanajua Siri za Gold na ndio maana inazalishwa Kwa wingi ila hua haieleweki inakopotelea hata utafiti wa Hivi majuzi unadai Kuna upotevu wa kutatanisha wa dhahabu yaani kiwango kinachozalishwa ni kikubwa ila kinachoingia kwenye rekodi ni kidogo Sana

Secrets a.k.a secreto!
 
Back
Top Bottom