Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

Hao viumbe kutoka sayari nyengine mwisho wa hii project yao juu yetu ni nini?
Project iliyowaleta kwenye Accient civilization ilikua ni Gold,
Dhahabu ilikua ni lengo kuu kwao
Inadaiwa Dhahabu ni ufunguo wa maisha kwao maana hapo kale ulitokea mtafuruku kwenye Sayari Zao uliokuja kuzalisha vita Kali Sana iliyohusisha Nuclear reactors power kutokana na ujuzi mkubwa wa kiteknolkjia walikuta wameharibu mifumo ya kawaida wa Sayari za Orion's
Wakajikuta Kuna material wanazihitaji Ili kurecover Moja wapo ni dhahabu basi ndio waakanza kuzunguka Sayari mbali mbali wakizitafuta ndio wakajipata wapo duniani na hapa walikuta mfumo tofauti wa kimazingira kama ilivyo Sasa,
Katika maandiko ya kale ya Sumerian wanadai waliwakuta duniani viumbe mithili ya primitive wakiishi kama wanyama wengine wa kawaida na changamoto kubwa kwao licha ya technology kubwa ila walihitaji man power wa kusaidia kazi na ndipo walipoanza majaribio ya kisayansi ya kumproject primitive Kwa kuchanganya DNA tests mara ya kwanza walianza kupata viumbe vingi kama
marmeids
viumbe kichwa Cha mbuzi kiwili wili Cha Binadamu na miguu yenye kwako,
Wakatengeneza nusu
Mtu nusu nyani
Wakatengeneza nusu farasi nusu Mtu
Wakatengeneza nusu nyoka nusu Mtu
Tatizo lilikuja Hawa viumbe walio wa project walifeli kwenye uzalishaji yaani hao viumbe wote walikua hawana uwezo wa kuzalisha Zaidi na walichukua kipindi kichache kusurvive
Annunaki wakaona wanaingia hasara kutengeza sample Kila siku kuongeza nguvu KAZI ndio walipokaa na kuamua
Kutoa DNA Za miili Yao na kuunganisha na ya primitive
Wakabahatika kumtoa Homo sapiens Sapiens kamili ambae ndie super human na akawa na uwezo wa kuzalisha na ana life span ndefu,mwenye akili,ujuzi na kutambua Nini anafanya
Humanoids waliweza kufanya Kazi wakiongozwa na akili Zao timamu na ANUNNAK wakawapa ujuzi mkubwa sana wa kuchimba gold na kuanzisha ustaarabu wa kwanza wa kale na ndio historia ya Mwanadamu na Watu ikaanzia hapo,

Hapo tunaona lengo ni Gold tu na Ndio maana jiulize Toka Hapo kale walikua wanachimba dhahabu Kwa mamillion ya Tani na zikaja kupotea ghafla tu zilienda wapi na hua haziozi?
Jibu utapata mataifa makubwa yanajua Siri za Gold na ndio maana inazalishwa Kwa wingi ila hua haieleweki inakopotelea hata utafiti wa Hivi majuzi unadai Kuna upotevu wa kutatanisha wa dhahabu yaani kiwango kinachozalishwa ni kikubwa ila kinachoingia kwenye rekodi ni kidogo Sana

Secrets a.k.a secreto!
 
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi?
Swali lako linaweza jibiwa endapo tutakonsider kwamba huenda Mungu alitoka kwenye ulimwengu mwingine nje na huu ambao tunaujua.

**** theory inasema huenda kukawa na ulimwengu to infinity na zote zina tabia tofauti: utakuta kuna ulimwengu mda unarudi nyuma, utakuta kuna ulimwengu hakuna mda, utakuta kuna ulimwengu ambao ni 2 dimension, ulimwengu ambao kuna binadamu ambqo hawafi. Nimesema ulimwengu msije chanyanya na sayari kwani ni vitu viwili tofauti.

Sasa huyu mungu kaumba ulimwengu ambao una time. Na chochote chenye time lazima kiwe na mwisho na mwanzo. Hapo sasa ndo mwanadamu anataka apate gate pas ya kuingia ulimwengu mwingine ambao ni time less. Maam kifo chatisha.

Na saa ivi technology inatupeleka kwa kitu kinaitwa Metaverse Facebook wanatengeneza ulimwengu wao kwenye computer, na magame nyingine tayari wana ulimwengu wao tayari, sasa waona mfanano wa hizi verse ambazo mwanadamu anazitengeneza kwenye mifumo ya kompyuta na analogy y muumba anayeumba ulimwengu na kuweka sheria zake.

Pia kuna utata mkubwa sasa kwenye huu tunaoona ni uhalisia, kuna uwezekano hivi vyote tunavyodhani ni maisha yetu ni computer simulation iliyotengenezwa hapo kalee. Dunia yaenda kasi sana
 
Kwani sasa hivi Yuko wapi? Najua kuwa kiroho yupo kila mahali, lakini je, Kiti chake cha Enzi kiko wapi? Ukijua mahali kilipo muda huu Kiti chake cha Enzi, basi ndiyo huko ambako amekuwepo milele yote
Paliumbwa na nani hapo kilipo kiti? Kama alipaumba yeye, alipaumba akiwa wapi wakati alikuwa hajaumba kitu bado?
 
Takujibu kwa ninachofahamu kutoka katika Biblia,
Mwanzo moja, inasema "hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi,"

Kabla ya yote kuwepo Mungu alikuwepo,

ALIUMBA AKIWA WAPI??
Kitabu cha ufunuo kinaonesha
Mungu aliumba malaika kabla ya kumuumba mwanadamu, so shetani alianguka kabla ya uumbaji wa mwanadamu
Alianguka kukutoka wapi HEAVEN,
SO MUNGU ALIUMBA ULIMWENGU FROM HEAVEN, Ila Roho yake ilikua juu ya vilindi vya maji vya dunia
Nani aliumba Heaven? Mungu? Aliumba Heaven akiwa wapi?
 
Sisi ni viumbe ambao hatuna uwezo wa kuwepo sisi wenyewe. Uwezo wetu unaathiriwa na nguvu basi ingebaki katika hali ya kutokuwepo isingiwezekana sisi kutokea. Uwezo wa binadamu kufikiri unaathiriwa na uwepo wa mazingira. Imma yawe mazingira ya ndani ya sayari yetu au nje ya sayari yetu mifumo ya anga na kanuni na nidhamu yake.

Hivyo ndivyo tunavyofikiri kwa sababu ndiyo yaliyotuzunguka. Ikiwa kuna nguvu ipo nje ya huu mwenendo ama mazingira yaliyotuzunguka kwenye akili zetu inakuwa imetoka kwenye hali ya ufahamu wa ukawaida wa akili zetu. Ishara zitakufahamisha kuwa kipo lakini unaweza usikielewe kwa namna gani. Kinachohitajika kwako ni kuelewa tu kipo basi inatosha kwa sababu ukitaka kuelewa zaidi ya hapo kwa kutumia kanuni na nidhamu za kimazingira yaliyokuzunguka wewe utajisumbua. Hapa ndipo tunaposema haya mambo yapo juu ya ufahamu wetu. Tuyazungumzie haya masuala ni ni ambalo ulilouliza "Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?"

Kwanza inakubidi ufahamu Mungu hana mwanzo. Maana yake kuwepo kwake hakujatoka kwenye kitu kingine isipokuwa ni yeye mwenyewe. Kama ametokana na yeye mwenyewe maana yake hakuna nguvu kutoka pengine iliyoathiri na kufanya uwepo wake kwa maana kuwepo kwake hakujatoka kwenye kitu chengine bali kitu chenyewe (yaani yeye mwenyewe). Na kama ikiwa hivi inammanisha muda wote tokea na tokea yupo na hakuumbwa na kitu kingine. Hivyo yeye daima yupo.

Aliumba ulimwengu akiwa wapi?
Hili swali linamaanisha eneo ama mahali. Uwepo wake hautegemei chochote. Yeye ni wa daima wa tangu kabla ya chochote. Hivyo, alikuwepo Mungu pasipo na kitu chochote kuwepo na hapa ndipo inapokuja tafsiri yeye ndiye wa mwanzo kwa maana kabla ya chochote yeye yupo! Mbingu inaingia kwenye kitu. Sayari zinaingia kwetu kitu. The universe inaingia kwenye kitu. Space inaingia kwenye kitu. Giza inaingia kwenye kitu, Nuru zinaingia kwenye kitu. Na kama hakukuwa na kitu ina maana hakuna kilichomfunga, yaani ameepukana na pande 6. Hayupo juu(1) wala chini(2), hana kwake kuwa hapa itakuwa mbele(3) kwake hapa itakuwa nyuma(4). Na kwa kuwa hakuna kitu hutoweza kusema hapa ni juu(5) na hapa ni chini (6).

Jawabu swali lako: Mungu alikuwepo kabla ya chochote, kama alivyokuwepo kabla ya chochote kisha ndipo akauumba ulimwengu akiwa kwenye hali isiyokuwa na chochote.

Huyu ndiye ambaye unayemuulizia na ndiye ambaye aliyetuumba mimi na wewe.
Kwa maelezo yako ni kwamba hata yeye hakuwepo, kama ni absolute nothingness, in every sense of the word (unayoijua na usiyoijua) , means hakuwepo, hata consiousness yake, haikuwepo, ili kitu kiwepo, inabidi kiwepo. Haiwezekani kitu hakipo halafu useme kipo, how?!
 
Swali lako linaweza jibiwa endapo tutakonsider kwamba huenda Mungu alitoka kwenye ulimwengu mwingine nje na huu ambao tunaujua.

**** theory inasema huenda kukawa na ulimwengu to infinity na zote zina tabia tofauti: utakuta kuna ulimwengu mda unarudi nyuma, utakuta kuna ulimwengu hakuna mda, utakuta kuna ulimwengu ambao ni 2 dimension, ulimwengu ambao kuna binadamu ambqo hawafi. Nimesema ulimwengu msije chanyanya na sayari kwani ni vitu viwili tofauti.

Sasa huyu mungu kaumba ulimwengu ambao una time. Na chochote chenye time lazima kiwe na mwisho na mwanzo. Hapo sasa ndo mwanadamu anataka apate gate pas ya kuingia ulimwengu mwingine ambao ni time less. Maam kifo chatisha.

Na saa ivi technology inatupeleka kwa kitu kinaitwa Metaverse Facebook wanatengeneza ulimwengu wao kwenye computer, na magame nyingine tayari wana ulimwengu wao tayari, sasa waona mfanano wa hizi verse ambazo mwanadamu anazitengeneza kwenye mifumo ya kompyuta na analogy y muumba anayeumba ulimwengu na kuweka sheria zake.

Pia kuna utata mkubwa sasa kwenye huu tunaoona ni uhalisia, kuna uwezekano hivi vyote tunavyodhani ni maisha yetu ni computer simulation iliyotengenezwa hapo kalee. Dunia yaenda kasi sana
 
Nenda kasome Accient Tablets za Mesopotamian yaani Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian, Kush, nk utajua ni nani aliyemproject modern human yaani homo sapiens Sapiens,
Utakuja kunishukuru!

Achana na story za kuumbwa za kijitabu kinaitwa Biblia au Quran hizo ni hekaya ndogo tu kati ya ule ukweli halisi uliopo kwenye Hayo maandiko na utapata picha ni nani aliyefanya formation ya viumbe walioko Sasa,
Kwa muhtasari tu
Hakuna kiumbe anaitwa Mungu aliyeumba Dunia Wala kumuumba Binadamu na mtu
Bali Kuna viumbe kutoka galaxies za mbali Huko waliifanyia hiyo shughuli ya kupandikiza DNA na cloning project ya viumbe wa kisasa unaowaona Leo including you dude!
Na Je Waandishi wa Hivyo Vitabu nitakavyosoma Ni Sisi Binadamu au ni Hao Viumbe.?

If ni Sisi Binadamu basi Hakuna Tofauti na Vitabu vyetu vya Biblia na Quran maana Ukweli hauwezi Kuandikwa na Anayetafuta Ukweli wenyewe
 
Project iliyowaleta kwenye Accient civilization ilikua ni Gold,
Dhahabu ilikua ni lengo kuu kwao
Inadaiwa Dhahabu ni ufunguo wa maisha kwao maana hapo kale ulitokea mtafuruku kwenye Sayari Zao uliokuja kuzalisha vita Kali Sana iliyohusisha Nuclear reactors power kutokana na ujuzi mkubwa wa kiteknolkjia walikuta wameharibu mifumo ya kawaida wa Sayari za Orion's
Wakajikuta Kuna material wanazihitaji Ili kurecover Moja wapo ni dhahabu basi ndio waakanza kuzunguka Sayari mbali mbali wakizitafuta ndio wakajipata wapo duniani na hapa walikuta mfumo tofauti wa kimazingira kama ilivyo Sasa,
Katika maandiko ya kale ya Sumerian wanadai waliwakuta duniani viumbe mithili ya primitive wakiishi kama wanyama wengine wa kawaida na changamoto kubwa kwao licha ya technology kubwa ila walihitaji man power wa kusaidia kazi na ndipo walipoanza majaribio ya kisayansi ya kumproject primitive Kwa kuchanganya DNA tests mara ya kwanza walianza kupata viumbe vingi kama
marmeids
viumbe kichwa Cha mbuzi kiwili wili Cha Binadamu na miguu yenye kwako,
Wakatengeneza nusu
Mtu nusu nyani
Wakatengeneza nusu farasi nusu Mtu
Wakatengeneza nusu nyoka nusu Mtu
Tatizo lilikuja Hawa viumbe walio wa project walifeli kwenye uzalishaji yaani hao viumbe wote walikua hawana uwezo wa kuzalisha Zaidi na walichukua kipindi kichache kusurvive
Annunaki wakaona wanaingia hasara kutengeza sample Kila siku kuongeza nguvu KAZI ndio walipokaa na kuamua
Kutoa DNA Za miili Yao na kuunganisha na ya primitive
Wakabahatika kumtoa Homo sapiens Sapiens kamili ambae ndie super human na akawa na uwezo wa kuzalisha na ana life span ndefu,mwenye akili,ujuzi na kutambua Nini anafanya
Humanoids waliweza kufanya Kazi wakiongozwa na akili Zao timamu na ANUNNAK wakawapa ujuzi mkubwa sana wa kuchimba gold na kuanzisha ustaarabu wa kwanza wa kale na ndio historia ya Mwanadamu na Watu ikaanzia hapo,

Hapo tunaona lengo ni Gold tu na Ndio maana jiulize Toka Hapo kale walikua wanachimba dhahabu Kwa mamillion ya Tani na zikaja kupotea ghafla tu zilienda wapi na hua haziozi?
Jibu utapata mataifa makubwa yanajua Siri za Gold na ndio maana inazalishwa Kwa wingi ila hua haieleweki inakopotelea hata utafiti wa Hivi majuzi unadai Kuna upotevu wa kutatanisha wa dhahabu yaani kiwango kinachozalishwa ni kikubwa ila kinachoingia kwenye rekodi ni kidogo Sana

Secrets a.k.a secreto!
Kama Binadamu wa Kwanza Aliumbwa Kisa Gold [emoji1628] How Come Binadamu wa Kwanza Hakujua Kuhusu Gold [emoji1628]ila alikuwa anajua Kuhusu Stone zama Za Mawe ndipo zilianza Huko hakukuwa na Binadamu aliyejua Kuhusu Dhahabu mpaka Pale Zama za Mbele sana Na Civilization kuanza.

Binadamu wengi waliishi kwa Kutumia Mawe.. baadae wakagundua Silver [emoji1627] baadae ndio Dhahabu ikaja

Je huoni kwamba Unapotea Ndugu yangu kwa Story za Kutungwa Tu. Maana Hao Viumbe Umesema tena Waliwakuta Viumbe wanaishi kama Wanyama Hao Viumbe Walitokea Wapi Kama Wao waliwakuta ??
 
mkuu tunawaheshimu wazazi coz kibaiolojia wanahusika na existence yetu, kwa nini hatujawahi/wala hatuwezi kuwahoji kua game ya kupatikana kwetu ilichezwaje au ilichezwa wakati gani?

kama tumeshindwa kuwahoji wazazi, mamlaka ya kumhoji mungu tunayapata wapi?
tuoneshe heshima kwa muumba wetu madam anahusishwa na existence ya kila kitu.
 
Ulimwengu ni ni kila kinachoweza kuwepo combined. Ni totality ya everthing that is.
Ongea kiswahili na sisi waswahili tucahngie.

Ukisema combined unakusudia nini ?

Ukisema "totally ya everything that is" unakusudia nini ?

Huu mjadala mzito sana usichanganye lugha
 
Kiufupi Mungu ni mwanzo asiyekuwa na mwanzo ,na mwisho asiyekuwa na mwisho.
Alikuwepo,atakuwepo,na atabakia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakujua hata DNA ni nini
 
Kama Binadamu wa Kwanza Aliumbwa Kisa Gold [emoji1628] How Come Binadamu wa Kwanza Hakujua Kuhusu Gold [emoji1628]ila alikuwa anajua Kuhusu Stone zama Za Mawe ndipo zilianza Huko hakukuwa na Binadamu aliyejua Kuhusu Dhahabu mpaka Pale Zama za Mbele sana Na Civilization kuanza.

Binadamu wengi waliishi kwa Kutumia Mawe.. baadae wakagundua Silver [emoji1627] baadae ndio Dhahabu ikaja

Je huoni kwamba Unapotea Ndugu yangu kwa Story za Kutungwa Tu. Maana Hao Viumbe Umesema tena Waliwakuta Viumbe wanaishi kama Wanyama Hao Viumbe Walitokea Wapi Kama Wao waliwakuta ??
waliokua wanatumia zana za Mawe ni Homo Elactus
Ambao walikua Bado Wana u primitive
Baada ya Annunak kufika ndio wakamfanyia cloning project akawa homo sapiens Sapiens aliekamilika na super intelligent

Hata wanasayansi wanakili kwamba kulikua na mabadiliko ya ghafla Sana ya kimazingira maana homo Elactus walibadilika ndani ya Muda mfupi na kua homo sapiens kitendo kinachodaiwa kulikua na mwingiliano wa ghafla wa kitu kisicho Cha kawaida katika DNA zao
Yaani wanadai Homo Elactus Alikua kawaida tu ila baadaye ikaonekana ana DNA zilizopandikizwa kutoka Nje ya mfumo wetu wa Nyota na kumfanya awe modern Man na hapo hapo anaanza ustaarabu mkubwa wenye ujuzi wa kushangaza
Hivyo nadharia za Annunak kumproject Zina mashiko!
 
Project iliyowaleta kwenye Accient civilization ilikua ni Gold,
Dhahabu ilikua ni lengo kuu kwao
Inadaiwa Dhahabu ni ufunguo wa maisha kwao maana hapo kale ulitokea mtafuruku kwenye Sayari Zao uliokuja kuzalisha vita Kali Sana iliyohusisha Nuclear reactors power kutokana na ujuzi mkubwa wa kiteknolkjia walikuta wameharibu mifumo ya kawaida wa Sayari za Orion's
Wakajikuta Kuna material wanazihitaji Ili kurecover Moja wapo ni dhahabu basi ndio waakanza kuzunguka Sayari mbali mbali wakizitafuta ndio wakajipata wapo duniani na hapa walikuta mfumo tofauti wa kimazingira kama ilivyo Sasa,
Katika maandiko ya kale ya Sumerian wanadai waliwakuta duniani viumbe mithili ya primitive wakiishi kama wanyama wengine wa kawaida na changamoto kubwa kwao licha ya technology kubwa ila walihitaji man power wa kusaidia kazi na ndipo walipoanza majaribio ya kisayansi ya kumproject primitive Kwa kuchanganya DNA tests mara ya kwanza walianza kupata viumbe vingi kama
marmeids
viumbe kichwa Cha mbuzi kiwili wili Cha Binadamu na miguu yenye kwako,
Wakatengeneza nusu
Mtu nusu nyani
Wakatengeneza nusu farasi nusu Mtu
Wakatengeneza nusu nyoka nusu Mtu
Tatizo lilikuja Hawa viumbe walio wa project walifeli kwenye uzalishaji yaani hao viumbe wote walikua hawana uwezo wa kuzalisha Zaidi na walichukua kipindi kichache kusurvive
Annunaki wakaona wanaingia hasara kutengeza sample Kila siku kuongeza nguvu KAZI ndio walipokaa na kuamua
Kutoa DNA Za miili Yao na kuunganisha na ya primitive
Wakabahatika kumtoa Homo sapiens Sapiens kamili ambae ndie super human na akawa na uwezo wa kuzalisha na ana life span ndefu,mwenye akili,ujuzi na kutambua Nini anafanya
Humanoids waliweza kufanya Kazi wakiongozwa na akili Zao timamu na ANUNNAK wakawapa ujuzi mkubwa sana wa kuchimba gold na kuanzisha ustaarabu wa kwanza wa kale na ndio historia ya Mwanadamu na Watu ikaanzia hapo,

Hapo tunaona lengo ni Gold tu na Ndio maana jiulize Toka Hapo kale walikua wanachimba dhahabu Kwa mamillion ya Tani na zikaja kupotea ghafla tu zilienda wapi na hua haziozi?
Jibu utapata mataifa makubwa yanajua Siri za Gold na ndio maana inazalishwa Kwa wingi ila hua haieleweki inakopotelea hata utafiti wa Hivi majuzi unadai Kuna upotevu wa kutatanisha wa dhahabu yaani kiwango kinachozalishwa ni kikubwa ila kinachoingia kwenye rekodi ni kidogo Sana

Secrets a.k.a secreto!
Ulichokiandika hakina tofauti na wanaoandika kwa mlengo imani ya dini. Umekielezea ulichokiamini nao wanaelezea wanachokiamini.

Unajua katika race zote ulimwenguni mzungu ndiye race ya mwisho kupata elimu na kuendelea mpaka leo hii. Kwa kila zama ziliendelea kielimu, kiuchumi, kitabibu na kiteknolojia kulingana na zama husika. Mzungu ndiye akawa race ya mwisho kurithi haya.

Lakini mzungu alichokifanya ni kuzima vumbuzi za nyuma kwa kuzinyanyua kuzifanya za kwake husika na kwa mlengo huo zama zilizopita akazifanya ni dark ages, ndilo jina alilolipa. Na kama nilivyoelezea hapo awali; asili ya mzungu kupata elimu ni Misri ya kale. Anachokifanya mzungu ni kupoteza ushahidi wa maendeleo ya kiujumla ya zama zilizopita kwa kupachika ANUNAKI, na kama ukihitaji kulifahamu hili zaidi angalia documentaries zinazoelezea maendeleo ya Misri ya kale, wazungu wanakataa wanasema kwa karne hizo binadamuasingekuwa na ujuzi huo bali kuna msaada wa waziunaonekana aliupata. Kutoka kwa nani? Jawabu wanakupatia ni ANUNAKI.

Hivyo, hili suala la ANUNAKI usiliangalie kwa upande mmoja wa chapa ya sarafu, liangalie kwa pande zote mbili. Jawabu utakalolipata ni suala si ANUNAKI, suala ni kuna kitu wanajaribu kukifanya.

Imani yako juu ya ANUNAKI naiona haina tofauti na imani ya wale wanaosema wanaoamini vitabu vitakatifu vya Mungu.
 
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi?
Ya Ngoswe tumwachie Ngoswe
 
Ulichokiandika hakina tofauti na wanaoandika kwa mlengo imani ya dini. Umekielezea ulichokiamini nao wanaelezea wanachokiamini.

Unajua katika race zote ulimwenguni mzungu ndiye race ya mwisho kupata elimu na kuendelea mpaka leo hii. Kwa kila zama ziliendelea kielimu, kiuchumi, kitabibu na kiteknolojia kulingana na zama husika. Mzungu ndiye akawa race ya mwisho kurithi haya.

Lakini mzungu alichokifanya ni kuzima vumbuzi za nyuma kwa kuzinyanyua kuzifanya za kwake husika na kwa mlengo huo zama zilizopita akazifanya ni dark ages, ndilo jina alilolipa. Na kama nilivyoelezea hapo awali; asili ya mzungu kupata elimu ni Misri ya kale. Anachokifanya mzungu ni kupoteza ushahidi wa maendeleo ya kiujumla ya zama zilizopita kwa kupachika ANUNAKI, na kama ukihitaji kulifahamu hili zaidi angalia documentaries zinazoelezea maendeleo ya Misri ya kale, wazungu wanakataa wanasema kwa karne hizo binadamuasingekuwa na ujuzi huo bali kuna msaada wa waziunaonekana aliupata. Kutoka kwa nani? Jawabu wanakupatia ni ANUNAKI.

Hivyo, hili suala la ANUNAKI usiliangalie kwa upande mmoja wa chapa ya sarafu, liangalie kwa pande zote mbili. Jawabu utakalolipata ni suala si ANUNAKI, suala ni kuna kitu wanajaribu kukifanya.

Imani yako juu ya ANUNAKI naiona haina tofauti na imani ya wale wanaosema wanaoamini vitabu vitakatifu vya Mungu.
Kwahiyo unataka kunambia kabila la Dogon kule nchini Mali waliohifadhi kumbukumbu za mababu zao ni Wazungu mpaka wadanganye kwamba mababu zao wa kale huko misri walitembelewa na Miungu kutoka Orion mpaka wadanganye?
Think twice Broo Hata hao Wazungu waliambiwa na wamesoma text za kale ya kwamba wamisri wa kale waliweza cooperate na viumbe kutoka nyota za mbali kitu ambacho hata wao kinawashangaza iliwezekanaje?

Ukweli utabaki kua ukweli tu daima ya kwamba mababu wa kale huko misri walifikia maendeleo makubwa mpaka kuweza kushirikiana na viumbe kutoka Orion's!

Acha kubeza ukweli mchungu!
 
Paliumbwa na nani hapo kilipo kiti? Kama alipaumba yeye, alipaumba akiwa wapi wakati alikuwa hajaumba kitu bado?
Swali lako hapa linaelekea kuwa na mfanano wa NINI KILIANZA KATI YA KUKU NA YAI
Asili ya Mungu ni kwamba hajaanza; alikuwepo siku zote na pia vile vile hana mwisho. Hiyo ni ASILI yake ambapo katika hali ya kawaida, ASILI huwa haihojiwi. Huwezi kwa mfano ukauliza kwa nini binadamu hafanani na ng'ombe au the vice versa, kwamba ng'ombe naye hafanani na binadamu. Au ukahoji kwamba kwa nini ng'ombe nao wapo, possibly baada ya kuwa umepata mawazo kuwa ni binadamu tu ndiyo alitakiwa kuwepo
 
Back
Top Bottom