Je, Mungu anapokupa jaribu anakuacha upambane nalo au anakuletea na usaidizi wake? Mjamzito anataka msaada wangu, hatujawahi kuwa na mahusiano

Je, Mungu anapokupa jaribu anakuacha upambane nalo au anakuletea na usaidizi wake? Mjamzito anataka msaada wangu, hatujawahi kuwa na mahusiano

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2022
Posts
671
Reaction score
1,543
Nina miezi sita sina ajira wala kazi na hali yangu ya uchumi ni mbaya mno, sina hata pa kuhemea.

Juzi nimekutana na mdogo wa rafiki yangu, tuliishi wote huko Arusha, dada ni mjamzito anasema amefukuzwa na bwanake, na bwanake karudisha na nyumba waliyokuwa wakiishi.

Nimemwambia urudi kijijini, anasema bora afe kuliko kurudi kijijini na hali ile. Ndugu zake niliachana nao siku nyingi sina namba zao za simu.

Kwa hali ya huyu dada anatakiwa kukaa chini ya uangalizi, sio ghetto.

Je namsaidiaje? Kwanini Mungu huu mtihani kanidondoshea mimi?
 
Ndugu zangu mwenye kazi yoyote ya kibarua niko tayari kuifanya ili nimsaidie huyu dada
 
Nina miezi sita sina ajira wala kazi na hali yangu ya uchumi ni mbaya mno, sina hata pa kuhemea.

Juzi nimekutana na mdogo wa rafiki yangu, tuliishi wote huko Arusha, dada ni mjamzito anasema amefukuzwa na bwanake, na bwanake karudisha na nyumba waliyokuwa wakiishi.

Nimemwambia urudi kijijini, anasema bora afe kuliko kurudi kijijini na hali ile. Ndugu zake niliachana nao siku nyingi sina namba zao za simu.

Kwa hali ya huyu dada anatakiwa kukaa chini ya uangalizi, sio ghetto.

Je namsaidiaje? Kwanini Mungu huu mtihani kanidondoshea mimi?
Mtu akiwa chini ya jaribu, asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.

Yakobo 1:13...
 
Mtu akiwa chini ya jaribu, asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.

Yakobo 1:13...
Yakobo 1:14
[14]Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
But every man is tempted, when he is drawn away of his own lust, and enticed.
Kwa hiyo nisimsaidie, maana hapa maandiko yanasema najaribiwa na tamaa yangu, kitu ambacho si kweli. Kwa ile mimba nitamani nini mimi hata mtalimbo hauwezi kushituka
 
Back
Top Bottom