Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
Nina miezi sita sina ajira wala kazi na hali yangu ya uchumi ni mbaya mno, sina hata pa kuhemea.
Juzi nimekutana na mdogo wa rafiki yangu, tuliishi wote huko Arusha, dada ni mjamzito anasema amefukuzwa na bwanake, na bwanake karudisha na nyumba waliyokuwa wakiishi.
Nimemwambia urudi kijijini, anasema bora afe kuliko kurudi kijijini na hali ile. Ndugu zake niliachana nao siku nyingi sina namba zao za simu.
Kwa hali ya huyu dada anatakiwa kukaa chini ya uangalizi, sio ghetto.
Je namsaidiaje? Kwanini Mungu huu mtihani kanidondoshea mimi?
Juzi nimekutana na mdogo wa rafiki yangu, tuliishi wote huko Arusha, dada ni mjamzito anasema amefukuzwa na bwanake, na bwanake karudisha na nyumba waliyokuwa wakiishi.
Nimemwambia urudi kijijini, anasema bora afe kuliko kurudi kijijini na hali ile. Ndugu zake niliachana nao siku nyingi sina namba zao za simu.
Kwa hali ya huyu dada anatakiwa kukaa chini ya uangalizi, sio ghetto.
Je namsaidiaje? Kwanini Mungu huu mtihani kanidondoshea mimi?