Hiki ni kitu ambacho tunakitegemea kutoka kwenye Riwaya ndefu yenye waandishi zaidi ya 40 waliotumia mda wa miaka 1500 kuiandika.RGforever said:Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Rational person hawezi kuamini kitu asichoweza kukiteteaMkuu wa chuo said:Umejuaje...?!
Wapi nimesema siamini mungu mpaka nimuone?Kwa hiyo Mkuu Kiranga huwezi kuamini kuwa Mungu yupo hadi umuone? Tutaaminije kuwa kuna mtu aliitwa Vasco da Gama ilihali hatumuoni. Kama historia iliyo ktk vitabu vya dini ni maneno ya watu tu unatushauri tusiamini historia kwa sababu ni hadithi tu zilizotungwa na watu?
Unataka kutuaminisha kuwa hata wajerumani hawakuitawala Tanganyika kwa sababu kina Gen. Smutts hatuwaoni?
Lakini nyinyi kina Kiranga msioamini uwepo wa supreme being, kama wengine wanavyoita, mna ushahidi gani wa coincidence ya namna hii, kuwa eneo moja watokee viumbe hai wa aina tofauti, wenye uwezo tofauti bila kuwa na mpangaji? Tizama tu ulivyo, macho mawili, Masikio mawili, siyo moja nk. Angalia hizo sense zinavyofanya kazi. Mfumo wa mwili na ubongo, kwamba vitu hivi vijitengeze vyenyewe kwa mpango mkuu kiasi hiki cha kustaajabisha. Hakuna ushahidi wa kisayansi hadi muda huu wa kuthibitisha hayo mnayoyasema. Hakuna pori lolote, mahali popote, ktk Dunia hii, ambapo imegundulika kuwapo na aina yoyote ya kiumbe kinachoanza kujiumba chenye mwelekeo wa baadaye kuja kuwa binadamu au ht Simba. Mfumo wa kujiumba ungekuwepo mfumo huo usingehangaika kutengeneza dume na jike ambao ni very sophisticated. Mfumo ungeendelea kuproduce viumbe kwa njia hiyo hiyo iliyoanza nayo. Kwa vyovyote, mfumo tulio nao wa reproduction ni planned very carefully. Tatizo lenu ni huyo, the great planner, hamumuoni, na nyinyi mnataka ushahidi wa 5 senses, kuona, kusikia, kugusa, kunusa na kuonja. Nyinyi ni sawa na watu waliokuta hoteli kubwa porini, wakaingia ndani, wakakuta kila kitu, wakala, wakaoga na kulala bila kumuona mwenye hoteli. Kesho wakaondoka na kuamua kuwa hoteli ilijijenga yenyewe kwa sababu hawakumuona mjenzi wa Hoteli.
Mpango wa Mungu unatisha, the universe inavyofanya kazi. Mwendo wa kasi wa Dunia ya speed zaidi ya 105,000 kwa saa, haijapungua wala kuongezeka. Na hii ni kuwahi majira ya siku na mwezi. All these are the plans of the Great Being.
Jamani, wakati fulani tunatakiwa kuamini ukuu na uwepo wa huyu Muumbaji na mpangaji Mkuu kwa kuona na kushuhudia uumbaji na ubunifu huu wa ajabu.
Sio lazima Mungu awaeleze kila kitu kuhusu yeye. Sio lazima Baba au Mama yako akueleze kila kitu kuhusu kupatikana kwako. Siyo lazima akuambie mimba yako ilipatikana muda gani, kwa staili gn ya kujamiana.
Heri kidogo wewe unaeleweka, kuliko wengine ni kama kasuku na wimbo wa "thibitisha" na wengine wameiga kuimba wimbo huo huo, hawajui hata niwathibitishie kwa namna gani wanakwambia vyovyote, sasa nitathibitisha kwa keyboard...?!Rational person hawezi kuamini kitu asichoweza kukitetea
Mimi naamini ongezeko la Joto duniani halisababishwi na shughuli za mwanadamu
Au hewa ya Ukaa,kwasababu nina hoja za kutetea imani yangu hio
Na zaidi ya hapo naweza kuthibitisha kuwa Ongozeko la joto duniani halisababishwi na hewa ya ukaa,
Kama nikipewa nafasi
Ukiamini bila kuwa hoja au uthibitisho wewe ni sawa na mtoto mdogo,anayeamini uwepo wa Santa
Pia kuwa na hoja ya kutetea unachoamini na kuthibitisha unachoamini ni vitu viwili tofauti
Ukifatilia huu uzi,Kiranga ameomba mthibitishe kuwa Mungu yupo,mmeshindwa.
Na kuna baadhi wameshindwa kutofautisha hata Bahati na miujiza
[@TheMeek]
Kuingiza airport bila passport ni bahati na si miujiza
Kujidunga damu ya mtu mwenye HIV+ na wewe usiathirike si miujiza,ni natural consequence ya HIV/AIDS Denialism.
Sasa mimi siwaombi uthibitisho,mimi nataka mlete hoja zinazotetea imani yenu.
Tatizo lako hujui kusoma au mvivu wa kufikiri, quite possibly so.Heri kidogo wewe unaeleweka, kuliko wengine ni kama kasuku na wimbo wa "thibitisha" na wengine wameiga kuimba wimbo huo huo, hawajui hata niwathibitishie kwa namna gani wanakwambia vyovyote, sasa nitathibitisha kwa keyboard...?!
ulishawahi kusoma elimu ya roho...?!
Elimu ya roho au nadharia ya roho?Mkuu wa chuo said:Heri kidogo wewe unaeleweka, kuliko wengine ni kama kasuku na wimbo wa "thibitisha" na wengine wameiga kuimba wimbo huo huo, hawajui hata niwathibitishie kwa namna gani wanakwambia vyovyote, sasa nitathibitisha kwa keyboard...?!
ulishawahi kusoma elimu ya roho...?!
Tatizo lako na wewe sijui ni kichwa panzi...?! Au hukuona, mi nimekwambia utathibitishaje kwa logic kitu kisicho na logic...Tatizo lako hujui kusoma au mvivu wa kufikiri, quite possibly so.
Nimesema thibitisha, nikaulizwa vipi, nimesema thibitisha kwa namna iliyo logically consistent.
Lakini wewe kwa sababu kichwapanzi hujaweza kuona hilo, unalalamika kwa jambo ambalo lishaelezwa. Directly kwako.
Roho ni nini?
Kama kitu hadithini hakina logic Unajuaje kwamba kipo? Kama huwezi kuthibitisha, Unajuaje kama ni ukweli au hadithi tu ambayo si ukweli?Tatizo lako na wewe sijui ni kichwa panzi...?! Au hukuona, mi nimekwambia utathibitishaje kwa logic kitu kisicho na logic...
Nikakupa mfano kuna logic gani kulisha maelfu kwa samaki wawili na mikate mitano...?! Hukujibu...
Majaribio ya kisayansi...?! Kwa kufanya observation...?! Vitu vingine sio vya kisayansi, na sayansi imeshindwa baadhi ya vitu, mfano Yesu alienda tofauti na sayansi kutembea juu ya maji bila kuzama...Elimu ya roho au nadharia ya roho?
Mimi nimesoma nadharia ya Roho si Elimu ya roho
Nadharia itageuka kuwa Elimu kama ikithibitishwa kwa majaribio na kukubaliwa na wote.
Kama kitu na kiishi nawezaje kukuthibitishia wewe...?! Vitu vya hisia nawezaje kukuthibitishia...?!Kama kitu hadithini hakina logic Unajuaje kwamba kipo? Kama huwezi kuthibitisha, Unajuaje kama ni ukweli au hadithi tu ambayo si ukweli?
Iko kama unajitambua.......Ningekujibu vema swali lako laiti kama ningekuwa ndiye mwenye kipawa, lakini bahati mbaya babu na bibi zetu hawakuwahi kuishi na Mungu huyo umsemaye bali waliletewa habari baadaye juu ya uwepo wake. Je, kuna mbegu nzuri ya mihogo inayoweza kutoa ishara nzuri ya hali ya kustawisha migomba ukizingatia kwamba inahitaji maji mengi?
Kwanza hakuna kitu kilichokosa Logic/mantikiMkuu wa chuo said:utathibitishaje kwa logic kitu kisicho na logic
Logic inaweza kuwepo,Nikakupa mfano kuna logic gani kulisha maelfu kwa samaki wawili na mikate mitano...?! Hukujibu
Unaweza kuhusu ambacho sicho.Kama kitu na kiishi nawezaje kukuthibitishia wewe...?! Vitu vya hisia nawezaje kukuthibitishia...?!
Kwa mfano nikihisi kitu fulani nawezaje kukuthibitishia huko ulipo madongo kuinama tena kwa kutumia keyboard...?!
Kazi ya sayansi ni kuelezea vitu halisi,nje ya hapo sayansi haifanyi kaziMkuu wa chuo said:Majaribio ya kisayansi...?! Kwa kufanya observation...?! Vitu vingine sio vya kisayansi,
Sayansi kamwe haishindwi,huwa inachelewa kutoa majibu tuna sayansi imeshindwa baadhi ya vitu,
Tatizo hapa ni mojamfano Yesu alienda tofauti na sayansi kutembea juu ya maji bila kuzama...
Energy healing ni Pseudoscience!Hivi energy healing huwa ni scientific...?!
Huo mfano wako ulioufananisha na illusion, ni sawa sawa na mimi niseme unaweza ukawa unahisi unaunguzwa na moto kumbe ni barafu ndio inakuunguza... hapo utanielewaje...?!Unaweza kuhusu ambacho sicho.
Unaweza kuona mirage na kufikiri sehemu Ina maji, wakati ni illusion tu.
Ndiyo maana anarudi kwenye logical consistency.
Is the feeling of hunger logically consistent with the functioning of living human beings? Yes.
If you tell me you are feeling hungry, is that conceivable? Yes. Because it is logically consistent with the functioning of a human body.
On the other hand, if you tell me you have never felt hunger, I will have grounds to doubt that because that is not logically consistent with the functioning of human beings.They need to feed.No contradiction there.
There you go, the test of logical consitency neatly applied to a feeling.
Can you show God exist similarly in a way that is not prone to contradiction?
Sasa watunge hadithi kwa faida ya nani...?! Ndio maana nakwambia imani haina "logic" ndio maana unaona kama hadithiKwanza hakuna kitu kilichokosa Logic/mantiki
Kila tukio lazima liwe na mtiririko unaoeleweka hata kama sio mtiririko wa kawaida
Katika nadharia ya uhusianifu ya Albert Einstein,tunaambiwa mda unaathiriwa na mwendokasi au tungamo
Kwa haraka haraka,unaweza kusema hio nadharia haina mantiki kwasababu mda si kitu kinachoshikika mpaka kiathiriwe.
Lakini ukichimba chini zaidi utaona ina mantiki.
Logic inaweza kuwepo,
Lakini Je hilo tukio ni la kweli?
Kuna uthibitisho wowote wa kihistoria nje ya Biblia?
Au ni hadithi?
Two words.Huo mfano wako ulioufananisha na illusion, ni sawa sawa na mimi niseme unaweza ukawa unahisi unaunguzwa na moto kumbe ni barafu ndio inakuunguza... hapo utanielewaje...?!
Hivi kwa mfano hapa nilipo nikikwambia nahisi upendo , ukiniambia hebu nithibitishie unategemea nikuthibitishie kwa namna gani...?!
au nikikwambia nahisi nguvu zisizo za kawaida zimenizunguka, ukitaka uthibitisho nitakuthibitishiaje...?!
nikikwambia naona aura unataka nikuthibitishieje...?!
Najua yupo sababu alishakuja Duniani... mtoto wake... imeandikwa namna hiyo, labda uniambie hizo habari ni za uongo...Two words.
Logical consistency. Mbona nishakupa jibu?
Unaweza kuthibitisha mungu in a way that is logically consistent?
Kama huwezi, Unajuaje kwamba mungu yupo?