Rational person hawezi kuamini kitu asichoweza kukitetea
Mimi naamini ongezeko la Joto duniani halisababishwi na shughuli za mwanadamu
Au hewa ya Ukaa,kwasababu nina hoja za kutetea imani yangu hio
Na zaidi ya hapo naweza kuthibitisha kuwa Ongozeko la joto duniani halisababishwi na hewa ya ukaa,
Kama nikipewa nafasi
Ukiamini bila kuwa hoja au uthibitisho wewe ni sawa na mtoto mdogo,anayeamini uwepo wa Santa
Pia kuwa na hoja ya kutetea unachoamini na kuthibitisha unachoamini ni vitu viwili tofauti
Ukifatilia huu uzi,
Kiranga ameomba mthibitishe kuwa Mungu yupo,mmeshindwa.
Na kuna baadhi wameshindwa kutofautisha hata Bahati na miujiza
[@TheMeek]
Kuingiza airport bila passport ni bahati na si miujiza
Kujidunga damu ya mtu mwenye HIV+ na wewe usiathirike si miujiza,ni natural consequence ya HIV/AIDS Denialism.
Sasa mimi siwaombi uthibitisho,mimi nataka mlete hoja zinazotetea imani yenu.