Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
mkuu,endelea kulala!Kiranga we unataka kutufikirisha nje ya tulivyofundishwa na kuaminishwa. Unataka kutufarakanisha na nafsi zetu na imani zetu na jamii yote kwa ujumla. Tuache tuendelee kulala kwenye haka kausingizi katam ka Imani, Imani inatatua mambo mengi kwa urahisi sana. we fikiria tuanze kutafuta chanzo cha uumbaji saa hizi. nani aliumba nzi,nani aliumba mbu,nani aliumba mwezi.
Sasa kwa nini mungu badala ya kuwaacha waamue wenyewe au kuwasaidia wamjue, anawaziba mioyo, macho na masikio wasimjue kiasi kwamba hata wakijitahidi vipi kumjua hawatamjua?
Wakikosa kumjua kwa sababu mungu kawaziba macho, masikio na mioyo kumjua, mungu atawalaumu na kuwahukumu kwamba hawajamjua wakati yeye mwenyewe ndiye aliyewaziba macho, masikio na mioyo ili wasimjue?
Hapa naona jinsi gani udini unakusumbua, uzi huu unazungumzia kuhusu Mungu na wala sio hizo dini ulizoamua kusimamiaSi ndio washirika wenu? Sishangai.. Hapa unazuga tu..
Wanachoamini Freemasons ni Mungu yupi? Maana hoja si Mungu tu, kuna wengine kwao Jiwe ni Mungu..
Utasemaje wameamua tu wenyewe wakati Quran inatuambia mungu kaifanya mioyo yao kuwa migumu wasimjue?Kiranga bana! Umeelewa nilichoandika lakini? Ukiambiwa una macho lakini huoni utahisi umetukanwa?
Hawa watu ishasemwa wameamua tu wenyewe kutoamini, yaani wameamua tu kwa kiburi chao. Na si kwamba wana hitaji la kutafiti wakabaniwa.
Sasa kuniuliza kwanini wafungwe sijui blah blah nashindwa kukuelewaa.
Hongera sana naona finally umepata hawara sasa[emoji125] [emoji125] [emoji125]Uzuri mmoja wala sihitaji uislamu au ukristo kujua Mungu yupo ,abishane na waislamu kwa sababu ipi ? Mtu amesha sema hana imani kama Mungu yupo kwa hiyo akibishana na waislamu maana yake nini ?? Kwa imani ya dini zote Mungu yupo juu ya vyote ,wala hukutakiwa kuleta uislamu ,kwani kinacho jadalilwa hapa sio ukiristo wala uislamu
Mchumba tena ? Nashukuru sikujua nina kimada jamii forum
Teh teh ndio faida ya kutia pua kwenye mada za watu ,mwishowe nimeopoa kimada ,mtembea bure sio sawa na mkaa bureHongera sana naona finally umepata hawara sasa[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Jimena nikwambie ukweli tu aisee siwezi kwenda maabara nikakuthibitishia Mungu halafu nika scan matokeo nikakutumia...Wewe kama huna uthibitisho wa unachokiamini kaa kimya.
Mimi naweza kuhisi homa hapa na nikakuthibitishia hata kwa kuscan matokeo kuwa nimeenda hospital baada ya kuhisi homa na wakanipima vipimo vikaonyesha kuwa nna tatizo flani.
Kama wewe uko mabonde kuinama ni wewe sio wote
Kama unaweza kutumia keyboard kubisha vitu ambavyo huna hata uhakika navyo unashindwaje kutumia keyboard hiyo hiyo kutetea imani yako??
Chief,nina swaliUtasemaje wameamua tu wenyewe wakati Quran inatuambia mungu kaifanya mioyo yao kuwa migumu wasimjue?
Unataka kusema Quran imedanganya?
Bado sijauhisi upendo. Ntakapouhisi ntakuthibitishia kwa namna yake na utaelewa, ingekuwa upendo hauthibitishiki watu wasingekuwa wanaoanaJimena nikwambie ukweli tu aisee siwezi kwenda maabara nikakuthibitishia Mungu halafu nika scan matokeo nikakutumia...
We ukihisi homa unaenda kupima je ukihisi upendo unapima wapi...?! Hebu kapime upendo uniscanie matokeo niyaone... nijue upo kiasi gani
Hebu na wewe tuthibitishie kuwa Mungu hayupo.Bado sijauhisi upendo. Ntakapouhisi ntakuthibitishia kwa namna yake na utaelewa, ingekuwa upendo hauthibitishiki watu wasingekuwa wanaoana
Sasa acha kuzunguka ovyo lete ushahidi wa huyo Mungu wako kisha tuendelee
Usikose kumtambulisha kwa wifi yake hapa... Ama kweli mguu wa kutoka mtume kauombeaTeh teh ndio faida ya kutia pua kwenye mada za watu ,mwishowe nimeopoa kimada ,mtembea bure sio sawa na mkaa bure
Imani ni kukubali kitu bila kuthibitisha wala kujua kwa hakika.Chief,nina swali
Imani ni nini?
Kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.Hebu na wewe tuthibitishie kuwa Mungu hayupo.
Ndio maana nakwambia acha kuokoteza stori za vijiweni na kuja kubisha bisha hapa, kwanaza freemason ni order members ni waumini wa dini mbalimbali...Kusema tu wanaweza kuingia huko inaonyesha tu ni kujitoa kwa kuwa kwenye Uislamu (naamini ukristo pia) hakuruhusiwa ushirika kwenye suala la kiimani..
Halafu nimekumbuka, hivi we mzee uongo huwa unakusaidia nini? Kumbuka hii ni JF na sio Kigango cha kuooteza sadaka..
Ukiwa mwongo, hufai kujadiliana..
Una uhakika kuwa Mungu hayupo?Kiranga said:Imani ni kukubali kitu bila kuthibitisha wala kujua kwa hakika.
Hizo mnazoita vitabu vya Mungu ndo zenye uthibitisho wa kutosha.Hebu na wewe tuthibitishie kuwa Mungu hayupo.
Unathibitishikaje...?! Sina vipimo vya kupima Mungu nikakuscania ili uone...Bado sijauhisi upendo. Ntakapouhisi ntakuthibitishia kwa namna yake na utaelewa, ingekuwa upendo hauthibitishiki watu wasingekuwa wanaoana
Sasa acha kuzunguka ovyo lete ushahidi wa huyo Mungu wako kisha tuendelee
Atakwambia kazi ya kuthibitisha ni ya kwako, yaani wenyewe watoe madai halafu wengine ndio wathibitishe...Hebu na wewe tuthibitishie kuwa Mungu hayupo.
We usinilishe maneno ambayo sikutamka. Bado sijawaza ngono kabisa,Unathibitishikaje...?! Sina vipimo vya kupima Mungu nikakuscania ili uone...
Ona sasa mimi nakwambia upendo wewe unawaza ngono, hivi upendo huwa ni kwa jinsia tofauti halafu ni kwa mtu mmoja tu...?! Yaani mke na mme...
That's stolen concept logical fallacyKiranga said:Kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.
Umejuaje kuwa hakipo kabla haujathibitisha?Kwa sababu hakipo. Ili kuthibitisha, inabidi kitu kuwepo.
Jibu maswali yangu hapo juu.Kuthibitisha ni uwanja wa vilivyopo. Ndiyo maana Polisi wakipata warrant ya kesi ya maadawa ya kuelvya, hawamwambii mtuhumiwa "thibitisha nyumba yako haina maadawa ya kuelvya". Wanayatafuta mpaka wayapate wao. Kwa maana kama nyumba haina maadawa ya kuelvya, mwenye nyumba hawezi kuthibitisha hilo.
Hivyo, swali linageuka kwa wanaosema mungu yupo.
Tuthibitishieni kwamba mungu yupo.