Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Chanzo? Chanzo cha nini!? Wapi kiranga niliposema nini chanzo cha uwepo wako wewe?
Nguvu iliyo behind something... ndio chanzo? Wapi niliposema nimegundua kuna ukomo?

Mungu wako wangapi?

Ndio, complexity... na kama unafikiri ipo...go find what that is...hutaki kutafuta basi... Unataka nani akutafutie?

Na ni maswali/utambuzi gani huo wako unaotaka kujibiwa? Unataka ni respect utambuzi wako wa kwamba "Mungu" hayupo, alafu unataka nikujibu maswali yako kuhusu quest yangu!? Wapi nimesema ku respect utambuzi ni kujibu maswali? Mimi sijakuhubiria, kama hupati majibu yanayokutosheleza, unaona watu hawana majibu, ok, its your prerogative to go and search... Unataka nani akutafutie!? Please go use another search engine.
Hujatibitisha kwamba mungu yupo.
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

To the contrary.

Huwezi kuthibitishiwa kile ambacho unakijua, kwa sababu unakijua tayari, huhitaji uthibitisho.

Unachohitaji uthibitisho wake ni kile usichokijua.
Kujua kitu na uthibitisho wa hicho kitu kuna husiana vp?
Ina maana kila tunachokijua kipo na ndiyo maana haitaji kuthibitishiwa? Unaanzaje kumthibitishia mtu kitu ambacho hakijui?na ndiyo maana ulikuwa unauliza chanzo cha mungu ambaye unasema hayupo
 
Kujua kitu na uthibitisho wa hicho kitu kuna husiana vp?
Ina maana kila tunachokijua kipo na ndiyo maana haitaji kuthibitishiwa? Unaanzaje kumthibitishia mtu kitu ambacho hakijui?na ndiyo maana ulikuwa unauliza chanzo cha mungu ambaye unasema hayupo
Uhusiano wa kujua kitu na kukithibitisha ni kwamba huwezi kuthibitisha usichokijua.

Utahitaji vipi kuthibitishiwa kwamba wewe ni wewe wakati tayari unajua kwamba wewe ni wewe?

Unamthibitishia mtu kitu ambacho hakijui kwa kuanza kwenye anachokijua.

Nauliza chanzo cha mungu ambaye hayupo in a Socratic dialogue kuonyesha kwamba hayupo. Mpaka sasa hujathibitisha kwamba yupo.

Thibitisha mungu yupo.
 
Kazi kwel hizi dini hizi wanafanya modifications tu itafikia stage watu kwenye za ibada watu waingie na chupi maana Dar joto
 
Uhusiano wa kujua kitu na kukithibitisha ni kwamba huwezi kuthibitisha usichokijua.

Utahitaji vipi kuthibitishiwa kwamba wewe ni wewe wakati tayari unajua kwamba wewe ni wewe?

Unamthibitishia mtu kitu ambacho hakijui kwa kuanza kwenye anachokijua.

Nauliza chanzo cha mungu ambaye hayupo in a Socratic dialogue kuonyesha kwamba hayupo. Mpaka sasa hujathibitisha kwamba yupo.

Thibitisha mungu yupo.
Kwa hiyo vyote tunavyovijua vipo hivyo haitaji uthibitisho?
 
Narudia kukwambia, nimekuthibishia Mungu yupo, tatizo lake wewe ni kipofu; huelewi ninachoandika.

Hata nikikuthibitishia kwa vitendo , bado hautaweza kuamini. Mimi ni shuhuda wa mambo mengi ya ufalme wa Mungu.

1. Nimenusurika kufa mara nyingi sana lakini kwa nguvu za Mungu nipo salama. Labda Nitoe mfano mmoja, nilitekwa na Magaidi unaowasikia wanachinja watu , zaidi ya mara 2

2. Nimewahi kumuona Yesu Kristu mara tatu. Na kila siku namuona kwa kupitia visions. Ninazo taarifa nyingi sana za Ufalme wa Mungu ambazo ni ngeni masikioni mwa watu.

3. Nimewahi kumuona MWALIMU NYERERE mara moja baada ya kifo chake (2015) ; Ninaelewa vitu vingi sana kuhusu Taifa hili na siri zake ambavyo ni vigeni masikioni mwa watu. Na ni vya ukweli mtupu.

Kiufupi, I am the genuine witness of the Kingdom of God. His time is my time.
Yesu uliyemwona anafanana na wale waigizaji akina Brian Decon au yeye yupo tofauti?
Au ulivuta picha kutoka katika zile movies?
 
Chanzo? Chanzo cha nini!? Wapi kiranga niliposema nini chanzo cha uwepo wako wewe?
Nguvu iliyo behind something... ndio chanzo? Wapi niliposema nimegundua kuna ukomo?

Mungu wako wangapi?

Ndio, complexity... na kama unafikiri ipo...go find what that is...hutaki kutafuta basi... Unataka nani akutafutie?

Na ni maswali/utambuzi gani huo wako unaotaka kujibiwa? Unataka ni respect utambuzi wako wa kwamba "Mungu" hayupo, alafu unataka nikujibu maswali yako kuhusu quest yangu!? Wapi nimesema ku respect utambuzi ni kujibu maswali? Mimi sijakuhubiria, kama hupati majibu yanayokutosheleza, unaona watu hawana majibu, ok, its your prerogative to go and search... Unataka nani akutafutie!? Please go use another search engine.
Nimependa sana hili jibu lako mkuu......
 
Unarudirudia maneno ka santuri ya 1960 ilionasa Sindano.
Huna jipya zaidi ya hili?
Narudia kwa sababu hujathibitisha.

Thibitisha uone kama nitarudia.

Ukweli kwamba hamuwezi kuthibitisha uwepo wa mungu au kutatua matatizo ya logical consistency katika uwepo wa huyo mungu unaonyesha kwamba hayupo.

Mungu huyu ni hadithi tu ya kutungwa na hayupo kiuhalisi.
 
Hapa mada ni ipi? Mbona kiranga umepindisha?
 
Narudia kwa sababu hujathibitisha.

Thibitisha uone kama nitarudia.

Ukweli kwamba hamuwezi kuthibitisha uwepo wa mungu au kutatua matatizo ya logical consistency katika uwepo wa huyo mungu unaonyesha kwamba hayupo.

Mungu huyu ni hadithi tu ya kutungwa na hayupo kiuhalisi.
Unaweza kuniambia ni kwa nini wenye kusema kuna mungu huitwa waamini mungu?
 
Unaweza kuniambia ni kwa nini wenye kusema kuna mungu huitwa waamini mungu?
Kwa sababu wanaamini.

Unaruhusiwa kuamini chochote, hata kile ambacho si kweli.

Ukianza kusema ni cha kweli tu, umeshaalika maswali na kujiondolea leseni yako ya kuamini bila kuulizwa.
 
Nimepindisha wapi? Kivipi? Kwa nyuzi ngapi?

Umetumia kipimo gani kujua hilo?
Jamaa kauliza MUNGU NI YULE YULE? hajataka uthibitisho wa kuwepo au kutokuwepo.

Yeye hadi kuuliza hivyo tayari ashajua yupo
 
Jamaa kauliza MUNGU NI YULE YULE? hajataka uthibitisho wa kuwepo au kutokuwepo.

Yeye hadi kuuliza hivyo tayari ashajua yupo
Jamaa kauliza nyimbo za Msondo na Sikinde zina rangi ile ile?

Utamjibuje?

Utakubali nyimbo zina rangi au utamwambia nyimbo hazina rangi?
 
Jamaa kauliza nyimbo za Msondo na Sikinde zina rangi ile ile?

Utamjibuje?

Utakubali nyimbo zina rangi au utamwambia nyimbo hazina rangi?
Hahaahahaa hapo bora kuanza mwanzo kabisa.... Kujua yupo au hayupo... Lkn kiranga haunahaja ya ku kompliketisha uwepo wake maana hiyo ni issue ya iman sio siasa wala sayansi
 
Hahaahahaa hapo bora kuanza mwanzo kabisa.... Kujua yupo au hayupo... Lkn kiranga haunahaja ya ku kompliketisha uwepo wake maana hiyo ni issue ya iman sio siasa wala sayansi
Sijakataa kwamba ni imani.

Lakini hata imani, ikishaletwa JF inajadiliwa.

Kama hutaki ijadiliwe usilete JF.

Ndiyo maana huwezi kunikuta nimeanzisha thread kuhusu haya mambo, najibu watu tu walioanzisha thread.
 
Naona mnabishana sana ila inabd mfahamu hv mambo ya mungu hupimwa na iman na sio akl.
Nnachokiona hapa kuna ukdhan Wa vtu viwili kat ya akili na iman
 
Kwa sababu wanaamini.

Unaruhusiwa kuamini chochote, hata kile ambacho si kweli.

Ukianza kusema ni cha kweli tu, umeshaalika maswali na kujiondolea leseni yako ya kuamini bila kuulizwa.
Kwa mujibu wa maelezo ni kwamba kuna kuamini vya kweli na visivyo kwa kweli, nakubaliana na wewe kwa hilo. Sasa naomba mfano japo mmoja wa jambo ambalo watu wanaliamini na ni la kweli.
 
Naona mnabishana sana ila inabd mfahamu hv mambo ya mungu hupimwa na iman na sio akl.
Nnachokiona hapa kuna ukdhan Wa vtu viwili kat ya akili na iman
Imani ni nini na akili ni nini?

Na ukitaka kujua ukweli unatumia imani au akili?
 
Back
Top Bottom