Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Mpaka sasa.

1. Hujathibitisha Mungu yupo.

2. Unazidi kutaja vitu vingine ambavyo huwezi kuthibitisha vipo, kama malaika.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Kwa nini Mungu aumbe ulimwengu unaoruhusu maovu?

Mungu huyo ni muovu?
ndio naweza
 
Ngoja niende kula nitarudi kumjibu huyo kiranga
Wewe kuhitaji kula tu ni uthibitisho Mungu hayupo.

Kiumbe kinachohitaji kula ni kiumbe ambacho kina udhaifu na upungufu.

Mnasema Mungu ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote.

Mungu wa aina hiyo kuumba kiumbe chenye udhaifu na upungufu hivyo haiyumkiniki.

Lakini tunaona unahitaji kula na usipokula unafariki.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Hapo katika logic umefanya kosa linaitwa non sequitur.

www.dictionary.com

non se·qui·tur

ˌnän ˈsekwədər/

noun

a conclusion or statement that does not logically follow from the previous argument or statement.




Umeunganisha premise na conclusion wakati hazina uhusiano.

Ni kama vile umesema.

1.Kila mwanamke ni mtu.

2.John Magufuli ni mtu.

3.Hivyo, John Magufuli ni mwanamke.

Tukikubali kwamba kila kitu kina mwanzo wake (nitarudi hapa kama ukiweka kwenda nami), hujathibitisha chanzo chetu ni Mungu. Umelazimisha bila kuonesha kimantiki umetokaje kwenye "kila kitu kina chanzo chake" ukafika kwenye "chanzo chetu ni Mungu".

Umeruka step na kufikia conclusion uliyoitoa hewani kama yuke aliyefikia conclusion ya "John Magufuli ni mwanamke".

Hujajibu suala la "the problem of evil".

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea?

Je, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini hakutaka tu?

Kama ni hivyo, je, ni kweli ana upendo wote?

Au, alitaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo, lakini hakiweza tu?

Kama ni hivyo, je, ni kweli ana uwezo wote?

Mungu huyu yupo kweli au ni hadithi za mapokeo tu?
huyu hapa ..njooo ukutane na kichwa hiki ""
halafu hao wanaojifnya wafia dini nao waite tuone kama hawajaacha kivuli humu "" lazima watoke mbio Mr Miller
 
View attachment 714415



View attachment 714416

View attachment 714419

View attachment 714421


View attachment 714422

View attachment 714425
View attachment 714428

View attachment 714430

View attachment 714438

View attachment 714444

View attachment 714445

View attachment 714446


Mkuu anahoja za msingi mzijibu kwa ustaarabu tu msimtukane huku hamna jibu mlililolitoa.Sasa mtumishi wa Mungu unatukana wazi tu halafu mpagani Kiranga ndio anakwambia usitukane jibu tu kistaarabu.Hapa kuna tatizo

Mjitokeze mjibu kwa hoja na akiamini ataenda kuongeza Kanisa
Mungu atajithibitisha mwenyewe kwa Kiranga naye atakuja humuhumu akipata neema hiyo kuja kukiri. Mtu hawezi kumtetea Mungu. Mungu hujitetea mwenyewe na hujithibitisha mwenyewe. Watumishi wa Mungu kazi yao ni kuhubiri tu Injili. Wapo watakaoamini na huenda wakawepo wasioamini kama Kiranga. Sasa huwezi kumlazimisha. Mwacheni na muombeeni kwa Mungu ampe kuamini.
 
Hapo katika logic umefanya kosa linaitwa non sequitur.

www.dictionary.com

non se·qui·tur

ˌnän ˈsekwədər/

noun

a conclusion or statement that does not logically follow from the previous argument or statement.




Umeunganisha premise na conclusion wakati hazina uhusiano.

Ni kama vile umesema.

1.Kila mwanamke ni mtu.

2.John Magufuli ni mtu.

3.Hivyo, John Magufuli ni mwanamke.

Tukikubali kwamba kila kitu kina mwanzo wake (nitarudi hapa kama ukiweka kwenda nami), hujathibitisha chanzo chetu ni Mungu. Umelazimisha bila kuonesha kimantiki umetokaje kwenye "kila kitu kina chanzo chake" ukafika kwenye "chanzo chetu ni Mungu".

Umeruka step na kufikia conclusion uliyoitoa hewani kama yuke aliyefikia conclusion ya "John Magufuli ni mwanamke".

Hujajibu suala la "the problem of evil".

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea?

Je, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini hakutaka tu?

Kama ni hivyo, je, ni kweli ana upendo wote?

Au, alitaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo, lakini hakiweza tu?

Kama ni hivyo, je, ni kweli ana uwezo wote?

Mungu huyu yupo kweli au ni hadithi za mapokeo tu?
HAHAAAA ..MKUU HAPO HAWEZI KUJIBU KITU ATAKUCHOSHA TU ...NIMEPENDA HUO UFAFANUZI ULIOUTOA HAP KWENYE HZO AYA ZA JUU ..JAMAA WEWE NI MTU HATARI SANA ...HIVI KWANINI MIMI SINA AKILI KAMA ZAKO ...MY FOOT
 
Mungu atajithibitisha mwenyewe kwa Kiranga naye atakuja humuhumu akipata neema hiyo kuja kukiri. Mtu hawezi kumtetea Mungu. Mungu hujitetea mwenyewe na hujithibitisha mwenyewe. Watumishi wa Mungu kazi yao ni kuhubiri tu Injili. Wapo watakaoamini na huenda wakawepo wasioamini kama Kiranga. Sasa huwezi kumlazimisha. Mwacheni na muombeeni kwa Mungu ampe kuamini.
kiranga katoa hoja anatka uthibitishe kwanza kama Mungu yupo wewe waanza blaaahaa blaaaahh mahubiri kibao ..hivi ndivyo mlivyo fundishwa namna ya kujibu hoja....huyu Jamaa sio size yko mkuu utakimbia bure ..sio kila hoja nilazime muwe mnajibu nyingine kimo chake cha kufikiri hamkiwezi zina kina kirefu ....
 
huyu hapa ..njooo ukutane na kichwa hiki ""
halafu hao wanaojifnya wafia dini nao waite tuone kama hawajaacha kivuli humu "" lazima watoke mbio Mr Miller
hahaha ngoja nianze mm kutoka mbio [emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji28][emoji23]
 
Me japo ni MROMA ila hoja za Kiranga siziwezi kuzijibu.Huwa natulia nasubiri wataalamu waje kujibu ila nao wanakuja kusema amini tu yupo
Hivi kwann mwapenda kuchuma dhambi ya uongo kirahisi tu.
Toka lini mtu aitwaye HAJI / AL KHAJI akawa Mroma au ulimaanisha utaifaa (Exactly ulimaanisha Roman Catholic)
Yaonesha unaupenda u katoriki basi tu ILA mudi huko aliko anahudhunika sana kumkana hadharani..
Anyway nisikuandame sana Labda Umeslimu
 
mmmh ngoja nipite tu mana cna hoja mi najua kusali tu
 
kumthibitishia Kiranga kuwa Mungu yupo ni sawa na kutuaminisha wengine kuwa Bob Magogo ana nia njema na nchi hii!
 
the most high and powerful holy spirit than all of ours ,,,,,he is the uniting holy spirit from the all others difference spirits ,,he is the centre of peace
Huu si uthibitisho. Haya ni mahubiri.

Sijasema nataka mahubiri.

Nimeomba uthibitisho.
 
kiranga katoa hoja anatka uthibitishe kwanza kama Mungu yupo wewe waanza blaaahaa blaaaahh mahubiri kibao ..hivi ndivyo mlivyo fundishwa namna ya kujibu hoja....huyu Jamaa sio size yko mkuu utakimbia bure ..sio kila hoja nilazime muwe mnajibu nyingine kimo chake cha kufikiri hamkiwezi zina kina kirefu ....
Kuliko kusema ww ni Muislim (unaamin ktk Mungu) hafu huku unamkana na kusema hayupo/una mashaka nae kua hayupo bora uache tu Kua Muislam
 
hahaha ngoja nianze mm kutoka mbio [emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji28][emoji23]
hahaaa wewe tulia kaa pembeni uone watu wanavyo zikana wenyewe hoja zao mkuu ""

mimi na wewe maamuma ngoja tuwaache wajuvi wa hizi kazi...nikiona hawaelewi na muita na newton aje hapa.."" lazima waache unyayo
 
Back
Top Bottom