Je! Mungu ni yule yule?

nahitaji mawazo yako juu la swala zima la uumbaji basically on ur belief...
 
Sitaki kuamini. Nataka kujua.

Shetani anayesemwa katoka kwa Mungu hayupo. Kwa sababu Mungu hayupo.

Unapoandika "super power" unamaanisha nini?
Ninaposema super power namaanisha nguvu kuu, nguvu kubwa kuliko uwezo wa kawaida wa kibinadamu
 
Deadbody, Biblia inasema kuwa "mpumbavu amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu.".

Sasa unataka huyo mtu athibitishiwe vipi kuwa kuna Mungu wakati Biblia inamwita mtu wa namna hiyo kuwa ni mpumbavu? Unathubutu vipi kubishana na 'mpumbavu '?

Vv
Biblia inajipinga yenyewe sehemu nyingi sana kiasi kwamba haifai kuchukuliwa kama neno la Mungu.

Quran pia.

Halafu, mpumbavu wa kweli ni yule anayeogopa kuitwa mpumbavu kuliko anavyouogopa upumbavu wenyewe.

Wajanja walijua hili. Wakahusisha kutoamini Mungu na upumbavu ili wapumbavu waogope kuitwa wapumbavu na kuamini kuwepo Mungu kwa jumla jumla kuliko wanavyoogopa upumbavu wenyewe wa kuamini kuwepo Mungu kijumla jumla.
 
ila naona kama kuna haja ya yeye kutuelezeakwa kirefu the other side ambao hatuujui walau uelewa tuupate juu ya ulimwengu wao
 
Ww mshirikina huku huna say
 
mpka hapa niwazi umeshindwa kuthibitisha kuwa Mungu yupo ..una amino vitabu ambavyo vinetungwa na watu kama wewe ..tena wakati wanatunga hata hukuwapo unajuaje kama hawakuvifanyia editing nakuingiza maneno ambayo waliyapendekeza wao wenyew "" ninani ambaye alikuwa nishuhuda akiona roho mtakatifu akiwaa hadithia hizo habari hao ambao walioziandika ..!?? tuwe tunajipa muda wakujifanyia tafakuri aiseee ...sipingi uwepo wa Mungu "" lakini naamini sio huyu aliyetajwa ktika hvi vitabu vyetu. Mungu wa kwenye hivi vitabu amejaa udahifu mnoo ..tunaambiwa kuwa NI Mungu anaye tupenda hapo hapo anawaacha watu wanakufa kwa vimbunga.. matetemeko ..wanaokufa wanaacha mayatima na wajane wasio jua hatima ya maisha yao ..matokeo take wanaishi kwa mateso na manyanyaso huku Mungu anayetupnda na muweza wa yote akiwatizima tu "" huyu Mungu anaye tupenda na muweza wa yote anashindwa vipi kuondoa uwepo wa ISIS KULE SYRIA ..KWANINI ASIIFNYE CONGO IWE NA AMANI ..HUYU MUNGU ANASHINDWA NINI KUWAONDOA BOKO HARAMU NIGERIA ..kama hayo bado yanafanyika huku tunaamini kuwa Mungu yupo na anatupnda ..nitakuwa siko sahihi endapo nikihoji huo upendo na uwezo wa yote alionao dhidi Yetu ....
 
Huyu kiranga ndio alinifanya nijiunge na jamii forum huyu ana IQ kubwa sana uelewa anauwezo wa kuchambua mambo kwa umakini wa hali ya juu
kiranga ni genius

halafu wanaopambana nae wana level ya average iq
 
Ukitaka kumuamini Mungu unatakiwa uipuuze sayansi??
 
"To the one who has faith, no more explanation is needed, to the one who has no faith even in more explanation can not understand "-St. Thomas Aquinas.
Umeona hiyo nukuu kwa vile ni ya kiingereza ina mashiko?? Bado haina hoja na ndo yaleyale mnayajibu kila siku
 
HAKUNA ANAYEWEZA KUMJIBU KIRANGA HOJA ZAKE ....WOTE WANAOJARIBU KUZIJIBU WAMEKUWA WANAISHIA KUONGEA BLAAA BLAA TU "''Jamaa ana maswali mazito mtu ambayo mtu mwenye upeo mdogo hawezi kung'amua kitu
"Mpumbavu amesema moyoni, hakuna Mungu. ..."Zaburi 14;1b

Kama unafahamu maana ya nomino mpumbavu basi hata sababu ya kujibu hoja za kipumbavu nao ni upumbavu na anayefanya hivyo naye pia ni mpumbavu.

Vv
 
ni vile akili ya kibinaadamu na kufananisha na Mungu, lkn sawa hivi ndivyo Mungu anavyochuja kati ya pumba na mchele maana ww si wa kwanza ktk fikra ulizonazo hata farao alikuwa na fikra ka zako au pengine kukuzi lkn now imebaki historia hakika mwisho wa watu dizaini hii ni mbaya mno, "Mungu atuongoze tuwe wenye kutenda mema"
 
"Mpumbavu amesema moyoni, hakuna Mungu. ..."Zaburi 14;1b

Kama unafahamu maana ya nomino mpumbavu basi hata sababu ya kujibu hoja za kipumbavu nao ni upumbavu na anayefanya hivyo naye pia ni mpumbavu.

Vv
neno mpumbavu sihata mimi naweza kukwambia tu "" kwahiyo kwakuwa limetoka kwenye Bible basiii umehadaika ..empty set kabisaa
 
Hata jua lina nguvu kubwa kuliko uwezo wa binadamu. Jua ndilo linalo support maisha katika dunia hii. Likizimika maisha yote yatakufa.

Hilo nalo unalihesabu kama ni super power?
Namaanisha nguvu zaidi ya hilo jua.

Hata unaposema jua lina nguvu zaidi ya binadamu sio ukweli moja kwa moja, kwani binadamu pia ana nguvu kuliko jua kwenye maeneo flani flani (kumbuka nguvu simaanishi misuli, simaanishi physical strength pekee). In a way kuna mambo binadamu anaweza fanya lkn jua haliwezi.

Sio jua tu, hata maji, yanasapoti maisha katika dunia hii

Hata hewa pia.

Turudi kwenye swali la msingi, najua umelielewa...... Je unajua/unaamini kuna nguvu kubwa zaidi ya uwezo wa kibinadamu?

Hapa ndio PA kuanzia
 
Kama mtapenda kupata ufahamu mnaweza kusoma kitabu cha Hawking: The Brief History of Time baadhi ya majibu Hawking anayajibu! It is piece written by Genius who is also a Nobel Prize Laurent! The degree of abstraction and sophistication of this book is so high but some answers to Mkuu Kiranga are found in this piece!

Nimependa critical arguments za Kirenga! Taabu sisi wanadamu hupokea mambo yaliyoanzishwa na watu wengine duniani bila kuuliza critically ili kufahamu!

Juzi tu Rwanda Kagame amefunga makanisa zaidi ya 600! Argument ni kuwa kwa nini makanisa mengi sana yanafunguliwa Kigali na siyo Visima vya maji, hospitali au shule?
 
Kabla ya kusema akili za kibinadamu kufananisha na Mungu, unajuaje Mungu yupi kwa akili hizo za kibinadamu?

Nikikwambia kuna pembetatu yenye oembe sita ambayo kwa akili za kibinadamu huwezi kuijua, ila aminintu ipo, wakati haipo, utathibitishaje kwamba haipo?

Nikikwambia dhana ya huyo Mungu wako kuwepo haina tofauti na hii pembe tatu yenye oembe sita, utathibitishaje vinginevyo?
 

Yeye mwenyewe pia ameshindwa kuthibitisha kama aidha yupo au hayupo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…