Je! Mungu ni yule yule?

Mapadri wa kanisa katoliki wanaweza kumjibu ila asiwe mbishi tuu
Swali langu la problem of evil/suffering aliulizwa Papa Francis Ufilipino na kisichana kidogo mwaka 2015.

Papa akashindwa kulijibu. Huyo ni mtu kashakuwa Kardinali na sasa ni Papa maana kamaliza ngazi zote za kusoma falsafa ya dini kwa Wakatoliki.

Sasa sijui hao mapadri watamzidi kipi huyu katika elimu ya haya mambo.

Francis struggles to answer crying girl's question about suffering
 
Unaweza kuzivunja lakini huna mbinu?

Hii double talk maana yake nini?
 
God is the ultimate arbitrary entity.

God has no beginning, has no end, is contained in no system of reason, is all powerful all loving and all capable yet he allowed evil to exist.

If anything, the Principle of Avoiding Arbitrariness will show you God is too arbitrary to exist.

It will prove God does not exist instead of proving God exists.
 
Proof gani hiyo uliyonayo inaonesha Mungu hayupo?

Hata kama unatumia logic, kuna base unayoitumia... Either umeona jambo hili, kisha ukaona lile halafu uka connect dots ukapata conclusion. Huwezi kutumia logic bila kuwa na grounds, na hizo grounds zinatokana na kile ulichokivuna kwa kuona, kusikia, kugusa, kulamba au kunusa.

So far hata wewe ku prove kutokuwepo kwa Mungu huwezi..... Lakini watu wanaweza kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa kuangalia creation na mambo mengine ambayo mpaka leo sayansi imeshindwa kuyaelezea
 
Kama unakubali logic, unaelewa "proof by contradiction" ni nini.

God is said to be all knowing, all loving and all capable.

Such a loving and capable God would not create a universe in which evil and sufferring is possible. The very thought of creating that universe is against the very core being if that God.

But we see that our unuverse has sufferi g and evil.

Therefore this universe was not created by sich a God.

In fact, this universe cintradicts the existence of such a God.

There is your logical proof, by contradiction.

God does not exist.

He is a fictictious figment of an overactive imagination.
 
Hivi wale mnaosema hakuna Mungu mnataka kuniambia uwepo wa dunia hii na viumbe vyote vimetokea bahati mbaya tu??? Yaani mtu una akili ya kujua mema na mabaya, unajua kuwa kuna kupenda, kuoa, kuolewa, kujamiiana, kujuta, kuchukia, kuhuzunika, kufurahi, n.k haya yote yanayotuzunguka, kunyesha mvua, tunapanda na tuna uhakika tutavuna bado tu mtu haamini kwamba kuna Mungu.??!!
 
Unaunganisha mambo mamwili ambayo hayana ulinganisho.

Mtu akisema hakunaMungu, amesema hakunaMungu, hajasemaduniaimetokea kwa bahati mbaya.

Kwa nini unataka kuunganisha kwamba kusema hakuna Mungu ni kusema duniaimetokea kwa bahati mbaya?

That is a logical non sequitur.

Ni kama mtu anasema square root ya 2 si kumi, halafu ukasema "hivi hawa wanaosema square root ya 2 si kumi wanataka kusemaje kwamba square root ya 2 ni 5?".

Nani kataja 5?

Kusema square root ya 2 si 10 haimaanishi nikusema square root ya 2 ni 5.

Umetoajibu ambalohujapewa halafu ukasema umepewa.

Hilo moja.

Pili mpaka uelewe moja kwanza.
 
Kwanza logic is just one among number of ways of knowing... Here I'm saying it is not an absolute means of knowing

Second, who says one can not prove the existence of God by logic...

Here we go....

No one has ever explaining where did the first human being come from

But now there is human being everywhere

So, where are they from

Obviously Created by a certain super force, and that force is who we call God
 
huyo ameshazoea kushinda kwenye majukwaa ya umbea atajua wapi kama kuna mtu anayeitwa kiranga humu Jf ...

ungemwambia kuhusu kina shunie .mzigua90 hapo sawa
Tehteh wee nuksii!!!??? [emoji118] [emoji118] [emoji118] sio kwa kavu hilo [emoji23] [emoji23] [emoji1]



Cc Smart911
 
 
God has no beginning, has no end, is contained in no system of reason, is all powerful all loving and all capable yet he allowed evil to exist.
In my view that all powerfull is not there i have stated i believe in deism where it narrate God was once powerful and created the universe the set plans in-motion but now Hes not that powerfull to change anything rather He just watches His creation waiting them to come to an end.
 
HAKUNA ANAYEWEZA KUMJIBU KIRANGA HOJA ZAKE ....WOTE WANAOJARIBU KUZIJIBU WAMEKUWA WANAISHIA KUONGEA BLAAA BLAA TU "''Jamaa ana maswali mazito mtu ambayo mtu mwenye upeo mdogo hawezi kung'amua kitu
Ngoja nirejee notes za theodicy kama ntapatamo majibu [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]


Cc Smart911
 
Unataka kukataa proof ya kwamba Mungu hayupo inayotumia logic, halafu hapo hapo unataka tukubali proof yako kwamba Mungu yupo ambayo inatumia logic?

That alone is a contradiction, double standard.

Halafu, hata logic uliyotumia, tukisema tukubali logic, ina makosa.

Umefanya kosa la "non sequitur" katika logic.

Umeunganisha premise na conclusion kwa assumption ambayo haina msingi wa ukweli.

Just because we are here,it does not follow that we were created by God.

It could be something totally different that we don't know.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kama unakubalilogic, tusha prove hayupo.

Kamahukubali logic, huwezi kukubali chochote, hata 1+1 =2, hata huyo Mungu wakohumkubali, maana hata kitendo cha kukubalikitu kipo au hakipo ni logic tayari, kwa hivyo ukikataa logic umekataa kukubali Mungu yupo pia..
 
That is not a God my friend, that may be some Superman or Batman or King Kong or Godzilla or some very intelligent alien, but not God.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…