Unataka kukataa proof ya kwamba Mungu hayupo inayotumia logic, halafu hapo hapo unataka tukubali proof yako kwamba Mungu yupo ambayo inatumia logic?
That alone is a contradiction, double standard.
Halafu, hata logic uliyotumia, tukisema tukubali logic, ina makosa.
Umefanya kosa la "non sequitur" katika logic.
Umeunganisha premise na conclusion kwa assumption ambayo haina msingi wa ukweli.
Just because we are here,it does not follow that we were created by God.
It could be something totally different that we don't know.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kama unakubalilogic, tusha prove hayupo.
Kamahukubali logic, huwezi kukubali chochote, hata 1+1 =2, hata huyo Mungu wakohumkubali, maana hata kitendo cha kukubalikitu kipo au hakipo ni logic tayari, kwa hivyo ukikataa logic umekataa kukubali Mungu yupo pia..