Hatuwezi kujadiliana kama hutaki kujibu maswali.Sidhani kama hapa tupo kwenye chumba cha mtihani,nachojua hapa tunajadiliana. Tatizo umejielekeza ushindani wa ubishi na mie sipo hapa kushindana na wewe kuonesha ni nani mbishi au ana maswali magumu.
Sioni haja ya kunilazimisha kujibu tu maswali wakati nimeshajieleza,kama unaona kuna nilipochanganya elezea hiyo sehemu.
Eleza ni vp nimekosea kwa kulinganisha dodoma na imani ya kuchomoza jua kuliko kunilazimisha nikujibu tu maswali.
Mbona unanywea sasa naziona point zako nyepesi sana kwa kiranga huyu jamaa humwezi ndio unazidi kupotea kwa huyu mungu hata mimi sikubali mungu wa kugeukageukaTatizo ni kwamba hautaki kusikia kuamini(imani) ila unajadili suala la imani ya uwepo wa mungu. Hata patolewe maelezo ya aina gani ila mwisho utataka upewe uthibitisho usio na shaka wa kuwa mungu yupo.
Na hapo ndipo hii mijadala inapokwama.
Na ndiyo maana hii mijadala huwa haishi na hakupatikani muafaka kwa sababu kama hizi,naona umejikita kutaka nikujibu tu maswali hata kama hayana mchango na tunachojadili.Hatuwezi kujadiliana kama hutaki kujibu maswali.
Nitakuelewa vipi kama maswali yangu hutaki kujibu?
Umejiridhisha vipi kwamba maswalihayanamchango na tunachojadili?Na ndiyo maana hii mijadala huwa haishi na hakupatikani muafaka kwa sababu kama hizi,naona umejikita kutaka nikujibu tu maswali hata kama hayana mchango na tunachojadili.
Nimekupa nafasi ya kueleza ni wapi na kipi nilichochanganya ila umeng'ang'ana tu kuwa sijakujibu maswali yako.
Unaona nanywea kwa sababu sipo hapa kushindana na mtu kwa kuoneshana nani mbishi kuliko mwenzie,kwahiyo hiyo hiyo sifa ya ubishi aliyonayo Kiranga hata sishughliki nayo na ndiyo maana sioni tabu kuonekana nimenywea.Mbona unanywea sasa naziona point zako nyepesi sana kwa kiranga huyu jamaa humwezi ndio unazidi kupotea kwa huyu mungu hata mimi sikubali mungu wa kugeukageuka
al baqara 34 na tulipowaambia malaika wamsujudie Adam wote walimsujudia isipokuwa ibilis yeye alikataa akawa katika makafiri
Hapa mungu alijikanganya maana anasema yeye ndie pekee mwenye kuabudiwa kusujudiwa ilkuwaje tena akawaambia malaika wamsujudie Adam?
Ndiyo maana nikakuomba unieleze ni wapi nilipochanya maana naweza kuwa nilichanganya kwa kuwa sikukuelewa,ila kila nikikueleza hili hautaki kunielewa na kulazimisha nijibu maswali yako.Umejiridhisha vipi kwamba maswalihayanamchango na tunachojadili?
Ina maana mimi nisipokuelewa wewe, nikataka kukuelewa ili tujadiliane vizuri, kutaka kukuelewa kwangu iliniwezekujadiliana nawe vizuri hakuna mchango katika tunachojadili?
Kumbukahatuonani sura walakusikizana sauti, tunasomana maandishi tu.
Ni rahisi sana kufikiri umemuelewa mtu wakati hujamuelewa.
Ni rahisi sana kufikiri swali halina mchango na tunachojadili wakati lina mchango.
Na mimi nilikuuliza hayo maswalitangu awali,wewe hutaki kujibu yangu, unataka mimi nikujibu wewe tu.Ndiyo maana nikakuomba unieleze ni wapi nilipochanya maana naweza kuwa nilichanganya kwa kuwa sikukuelewa,ila kila nikikueleza hili hautaki kunielewa na kulazimisha nijibu maswali yako.
Hapa hatubishani ni point zako tu zitaonyesha kwamba we thinker na sio porojoUnaona nanywea kwa sababu sipo hapa kushindana na mtu kwa kuoneshana nani mbishi kuliko mwenzie,kwahiyo hiyo hiyo sifa ya ubishi aliyonayo Kiranga hata sishughliki nayo na ndiyo maana sioni tabu kuonekana nimenywea.
Unaona sasa!Na mimi nilikuuliza hayo maswalitangu awali,wewe hutaki kujibu yangu, unataka mimi nikujibu wewe tu.
Hatuwezi kujadiliana.
He mpaka vifungu vya qurani mnatuma kumbe nimeachwa sanaMbona unanywea sasa naziona point zako nyepesi sana kwa kiranga huyu jamaa humwezi ndio unazidi kupotea kwa huyu mungu hata mimi sikubali mungu wa kugeukageuka
al baqara 34 na tulipowaambia malaika wamsujudie Adam wote walimsujudia isipokuwa ibilis yeye alikataa akawa katika makafiri
Hapa mungu alijikanganya maana anasema yeye ndie pekee mwenye kuabudiwa kusujudiwa ilkuwaje tena akawaambia malaika wamsujudie Adam?
Sawa nashukuru kwa kulitambua hilo,tuangali ni zipi point na zipi ni ubishi tu.Hapa hatubishani ni point zako tu zitaonyesha kwamba we thinker na sio porojo
Hii ndo the great thinkerHe mpaka vifungu vya qurani mnatuma kumbe nimeachwa sana
Nimependa hiyo hoja ya kifungu ningependa nikuulize kidogo mkuiHii ndo the great thinker
UlizaNimependa hiyo hoja ya kifungu ningependa nikuulize kidogo mkui
Nini maana ya sijida?Uliza
Kilugha na kisheriaUliza
Subili watakuja kukujibu mkuu wahusika wa hiyo sijidaNini maana ya sijida?
Hakuna kujadiliana bila kuulizana maswali.Unaona sasa!
Yani wewe umejikita kwenye kuulizana maswali na si kujadiliana,yani mie kukuomba unioneshe nilipochanganya kwa sababu pengine sikukuelewa ila wewe umechukulia kuwa nakuuliza maswali tu wewe halafu mie sitaki kukujibu yako.
Nadhani ungekuwa na nia ya kujadiliana na si ubishi basi ungeokoa muda kwa kueleza ni wapi nilipokosea tukasahishana na kusonga mbele.
Kijana hebu nijuze namie socratic methodHakuna kujadiliana bila kuulizana maswali.
Na ukikataa kujibu maswali, umekataa kujadiliana.
Wengine mijadala yetu inaenda kwa Socratic method.
Unaijua Socratic method?
Umejuaje mimi kijana?Kijana hebu nijuze namie socratic method