Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Kwa hiyo wewe umefikiria ukahitimisha kwamba hayupo...?! Jibu la swali uliloniuliza hapo juu jibu ni NDIO...Kama umeshindwa kuviweka hapa kwenye hiyo simu yangu ndo utaweza?
Kwanini uone kuwa ni hitimisho kama sio mwisho wako wa kufikiria? Thibitisha tu mkuu hadithi hazitakusaidia chochote
"Bora hiyo mi nimeenda dhehebu moja ivi, vikapu vya sadaka mtu anavisimamia pembeni hahaaa chezea"Ubaya sasa tumeingia kwenye Dunia ya kiushindani, dini ikiwekewa masharti Sana huwapati waumini wengi. Ndiyo maana jamaa akaona apunguze maadhi ya masharti, yalazima sasa ni sadaka, hutakiwi kutoa chini ya Tsh. 5,000 Mchungaji hapokei, Maana Mungu aliweka kiwango.
Mimi najua hayupo, sasa wewe unaesema yupo ndo umdhihirishe, kuhusu namna hiyo ni juu yakoKwa hiyo wewe umefikiria ukahitimisha kwamba hayupo...?! Jibu la swali uliloniuliza hapo juu jibu ni NDIO...
Sasa unataka nikuthibitishie kwa namna gani...?! Kwa kutumia keyboard..?!
"Na wewe tunga ya mungu wako" ;kirangaHakuna mungu, huyo unayemsoma ni hadithi tu zimetungwa na watu.
Ukijua hili swali lako halitakutatiza.
Umewezaje kujua kama hayupo...?!Mimi najua hayupo, sasa wewe unaesema yupo ndo umdhihirishe, kuhusu namna hiyo ni juu yako
Ili iweje?"Na wewe tunga ya mungu wako" ;kiranga
Sasa huyo Mungu wanaemsema wenzio itakuwa sio huyo wako anaeweza kufananishwa na njaa. Wa kwao ana sifa kibao ambazo zote kimsingi hazina uthibitisho kama ambavyo wa kwako pia hana uthibitisho.Umewezaje kujua kama hayupo...?!
hebu nipatie njia uliyopitia...?! Mimi namuishi sasa ndio nafikiria namna ya kukudhihirishia wewe, ni sawa sawa na ninapo hisi njaa, nitawezaje kukudhihirishia wewe kwamba nahisi njaa...?! Tena kwa kupitia keyboard...
Kutokuwepo kwake ni aje...?! Wewe unadhani Mungu yupo zizini anaonekana kama wanayama basi usipomuona unasema hayupo...?!Sasa huyo Mungu wanaemsema wenzio itakuwa sio huyo wako anaeweza kufananishwa na njaa. Wa kwao ana sifa kibao ambazo zote kimsingi hazina uthibitisho kama ambavyo wa kwako pia hana uthibitisho.
Kujua kitu hakipo ni rahisi sana, maana kutokuwepo kwake ndo kunakopelekea wewe ujue kuwa hakipo
mkuu hapo umemaliza asipo elewa hapo tena baaasiUkiielewa hii process (below) itakusaidia sana
From #Unseen > #Seen >#Unseen > Seen
Kumbuka #Imani ni kuona visivyoonekana kabla havijaonekana.
Sasa hiyo ni imani.....Kutokuwepo kwake ni aje...?! Wewe unadhani Mungu yupo zizini anaonekana kama wanayama basi usipomuona unasema hayupo...?!
Unazijua sifa za Mungu...?! Sifa yake moja haonekani, halafu yupo mahali pote lakini ni "invisible" yaani unahisi uwepo wake tu...
Kitu kingine imani huwa haiendani na "logic"...
Nani kasema hayapo...?! Nimeshagundua tatizo lako unaelewa kinyume nyume... hebu rudia kusoma hiyo Waebrania 11:1 na kuendelea huone ulichoongea na chako ni tofauti kabisa...Sasa hiyo ni imani.....
Imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo.
Mambo ambayo hayapo ila unatarajia yatakuwepo, Kwa maana hiyo basi huyu Mungu hayupo bali mnaamini atakuwepo (rejea maana ya imani)
Siamini vitabu vya hadithi hasa hivyo vinavyoitwa vya Mungu, full contradiction sasa ntaviaminije?Nani kasema hayapo...?! Nimeshagundua tatizo lako unaelewa kinyume nyume... hebu rudia kusoma hiyo Waebrania 11:1 na kuendelea huone ulichoongea na chako ni tofauti kabisa...
Kitu kingine unaaamini Yesu aliwahi kutokea Duniani...?! Nataka nikupeleke kwa God Incarnate...
Nani kasema hayapo...?! Nimeshagundua tatizo lako unaelewa kinyume nyume... hebu rudia kusoma hiyo Waebrania 11:1 na kuendelea huone ulichoongea na chako ni tofauti kabisa...
Kitu kingine unaaamini Yesu aliwahi kutokea Duniani...?! Nataka nikupeleke kwa God Incarnate...
Mwandishi wa hizo hadithi ni nani...?! Unaamini vitabu gani labda...?!Siamini vitabu vya hadithi hasa hivyo vinavyoitwa vya Mungu, full contradiction sasa ntaviaminije?
Mkuu hebu nsaidie tofaut ilyopo hapoSio mungu ni Mungu
Mkuu hebu n saidie asili ya mwanadam n ipi? Ikiwa mungu hayupoHakuna mjadala kwamba watu wapo.
Sijakataa kwamba ninachosema kimesemwa na watu.
What's your point?
Anayesema mungu yupo katika ulimwengu ambao hatujathibitisha kwamba mungu yupo, ana tatizo la kuthibitisha kwamba mungu yupo.
Anayesema mungu hayupo, ukimwambia maneno yake ni ya watu tu, hujamkanusha. Maana hajawahi kusema mungu yupo.
Unaposema maneno yangu ni ya watu tu, unakanusha nini?
Sijawahi kusema mungu yupo, sasa unaponiambia maneno yangu ni ya watu tu, unakanusha nini?
Tatizo unageza kanusho langu kwangu visivyo.
Mtu anayeamini mungu yupo ukimwambia maneno ya mungu yupo ni ya watu tu, na mungu hayupo, umemkanusha.
Mtu anayesema mungu hayupo, ukimwambia maneno yake ni ya watu tu, hujamkanusha. Inawezekana ukawa umeongezea nguvu hoja yake.