Nuclear bombs ni nguvu fulani zinazotumiwa na watu wenye ujuzi maalum.Uchawi ni nguvu fulani zinazotumiwa na watu wenye ujuzi maalum
Na majini ni viumbe fulani wenye uwezo mkubwa na wasioonekana kwa macho ila tu mpaka uwe na elimu au ujuzi fulani wa kiroho
Sawa, Mzee Miaka Yote Utakuwa Ukiuliza Swali Hilo hilo, Na Hutakuja Kupata Jibu Lolote, Ushauri wangu "Amini Unachoamini" Kisha Uendelee Na Mambo Mengine Tofauti na Hili.Mkuu kiranga mimi nilikuwa na swali..
Hivi unaamini uchawi upo? Pia na majini yapo?
Hujathibitisha Mungu yupo.Sawa, Mzee Miaka Yote Utakuwa Ukiuliza Swali Hilo hilo, Na Hutakuja Kupata Jibu Lolote, Ushauri wangu "Amini Unachoamini" Kisha Uendelee Na Mambo Mengine Tofauti na Hili.
Mkuu sasa mfano watu wanapowekana misukule huwa wanatumia nguvu gani?Nuclear bombs ni nguvu fulani zinazotumiwa na watu wenye ujuzi maalum.
Nuclear bombs ni uchawi?
Unaposema majini hayaonekani mpaka uwe na ujuzi wa kiroho, roho ni nini? Unaweza kuthibitisha ipo?
Mkuu naona umemtaja St Augustine...Hakuna debate hapa.
Kuna mijeledi tu ya kichwa watu wanapata.
Siwezi kuchoka kwa sababu hawanifikishi hata kwa Alvin Plantinga, St. Anselm, St. Augustine, Lord Russell, John Mbiti, Richard Dawkins.
Mtu hajui alama ya greater than na less than zikoje na tofauti yake maana yake ni nini, mtu hajui logical consistency ni nini, mtu hajui contradiction maana yake ni nini.
Mtu hajui intersection wala union katika set theory ni nini.
Ni kama Usain Bolt atake kukimbizana na mtoto wa miezi mitatu.
Ataanzaje kuchoka?
Misukule ni nini? Utajuaje misukule ni uchawi wakati hata uchawi wenyewe hujaweza kuuelezea ni kitu gani?Mkuu sasa mfano watu wanapowekana misukule huwa wanatumia nguvu gani?
Si ndo uchawi wenyewe huo
Mkuu naona umemtaja St Augustine...
Bora hata wewe umemtambua St. Augustine.
Umemsoma St. Augustine?
Hapa nabishana na watu wanaotetea uwepo wa Mungu, mimi nimewasoma hao wote niliowataja.
Wao hawamjui hata mmoja, hawajawahi kusoma chochote kati ya kazi za hao watu.
Lazima tukose kuelewana.
St. Augustine unamtambua kwa lipi katika muktadha wa mjadala huu?
Siogopi kusema kile ninachoona kuwa ni sawa kwa sababu ya kukuogopa wewe utanifikiri mimi vipi.Usiwasemee watu..unawezaje kujua kuwa hawajui hao unaowazungumzia..!?
Kwani ni lazima kuwajua,ili kuelewa Umaana wa Maisha?
Acha Majivuno yasiyo ya Lazima.
Napenda unavyosababu,lakini maneno ya namna hii yanaonesha aina fulani ya Udhaifu uliokua nao. Majivuno,kujihesabu kabla Ujahesabiwa.
Yaani wewe na Kukariri kwako huku ukiongeza jitihada kidogo Tu..Ya Unyenyekevu Unatoboza
@Kiranga , Toa darasa kidogo kuhusiana na st. Augustine ili na siye tusiojua kimombo tuambulie lolote kutoka kwake!!Siogopi kusema kile ninachoona kuwa ni sawa kwa sababu ya kukuogopa wewe utanifikiri mimi vipi.
Hiyo ni moja kati ya tabia za kijinga kabisa na kikondoo, sijawahi kuwa na tabia hiyo hapa JF na sitaki kuanza sasa baada ya miaka yote hii.
Kama watu, kutokana na maandishi yao hapa (kujibu swali lako nitajuaje watu hawajui maandishi ya St. Augustine) wanaonekana hawajasoma the basic arguments for and against the existence of God, nitasema hilo.
Kamauna inferiority complex ya kuona mimi kusema hivyo ni ujivuni, hilo ni tatizo lako la kisaikolojia, si tatizo langu. Mimi nashikilia kusema ukweli tu, sijali ukweli utaumiza vipi ego yako.
Kama kuna cha kubishana, tubishane kama ninachoandikanikweli au si kweli.
Nishapandishiana mpaka na Invisible hapa, kwa kuwa nilisimamia msimamo wangu, to his credit, alikubali JF ilipopinda na hakuwa na maneno zaidi. Sasa wewe nani utake kunipangia nini cha kusema?
Mjadala ni, je kuna watu wanabishana habari za kuwepo Mungu wakati hata hawajasoma falsafa hii ya kuwapo kwa Mungu hata kwa ngwe ya awali kabisa? Kama wapo, kusema kwamba wapo, kwa kutiliamkazo wajifunze zaidi kablaya kubishana, kuna ubaya gani?
Unachoweza kuona wewe majivuno, wengine wataona ni uwazi tu. Pengine watu wanatafuta cha kusoma zaidi ya Quran na Biblia, na mimi kumtaja tu St. Augustine na haowengine kunawapa watu pa kuanzia kutafuta kazi zao wasome ili waje na nondo za maana hapa kueleweshana, badala ya kuamini Mungu yupokwa sababu umezaliwa katika familia inayoamini Mungu yupo tu. Hapo kuna ubaya gani kusema watu wengi wanabishana bila kusoma?
Na kama ni kweli watu wanamtetea Mungu bila kusoma kwa undani falsafa za kumtetea Mungu, nitasema hilo. Na wewe huwezikunizuia kwa blackmail ya kunipaka rangi ya ujivuni.
Kama kusema kile ninachoona kweli ni ujivuni, naomba ruhusa nibadili jina nijiite "Mjivuni No. 1". Hiyo itakuwa sifa nzuri kwangu, si mbaya.
Na kuna watu wengi wanabishana na mimi kumtetea Mungu wakati hata hawajamsoma St. Augustune.
Na ingawa ninkweli si lazima kumsoma St. Augustine ili kuweza kujenga hoja, nikibishana na mtu ambaye hajamsoma St. Augustine na faksafa zake kuhusu kumtetea Mungu na mtu aliyemsoma St. Augustine, kuna mambo tutaobgea mara moja tu nabkuelewana, mtu ambaye hajamsoma St. Augustine inaweza kynichukua mwaka kuwa naye pamoja.
Mimi usiniambie habari za kutoboa, huji kama sinatobia, hujui kama kutobia ni muhimu kwangu, hujuibkama nataka kutoboa.
I don't need your fake modesty.
I would rather be real.
Ukweli ni kwamba wabingo watu wengi ninaobishana nao hapa hata Kiingereza, lugha ambayo mijadala hii imeandikwa kwa kina, ni cha manati.
Hata wanaojua hawafuatulii haya mambo na wengi hawajamsoma St. Augustine. Arguments zao, au kukisekana kwa argument kutoka kwao, kunaonesha hilo.
Sasa kwa nini unataka nisiseme ukweli ninaouona na kujifanya nina adabu za uongo?
Adabu za uongo ni kujosa adabu kwangu.
Usitake kunifundisha cha kusema.
Sikohapa kukupendeza wewe au mtu mwingine yeyote.
Kwa nini unataka kunipangia priorities,unipangie kwamba adabu ya uongo ni kitu muhimukuliko kusema kile ambachonakiona ni kweli?
Kwa nini?
Jadili.
Shukurani kwa kuona umuhimu wakusoma mambo na kuyachambua kabla ya kurukia kujadili.@Kiranga , Toa darasa kidogo kuhusiana na st. Augustine ili na siye tusiojua kimombo tuambulie lolote kutoka kwake!!
Sijawahi kubushana jambo la imani na hili unajua.
Nishaandika mara kibao hapa kwamba mimi ni libertarian.
Napiganianuhuru wa watu kuamini wanachotaka.
Hata ukitaka kuamini mavibyako ni Mungu, nakupigania uende kufanya meditation choonibkuabudu mavi yako, mradi usituambukize kipindupindu tu.
Kwa hiyobsina tatizo na imani.
Nimesema mara nyingi hapa kwamba katibabya nchi imetoa uhurubwa kuabudu.
Universal Deckaration of Human Rights imetoa uhuru huo tangu December 10 1948. Tanzania ni signatory country kwenye azimio hili la kimataifa.
Sina tatizo na imani.
Najadili facts hapa.
Ukisema Mungu yupo kama fact, ushatoka nje ya imani yako unaanza kubishana facts.
Hapo sasa ndipo nakubana mbavu utupe concrete evidence na proof.
Vitu ambavyo mpaka sasa hujatoa.
Sijui hata kama unaelewa hizo point vizuri ulizoziandika mwenyewe!!
Sasa sijui kwenye fact tunaanzaje kujadili imani ipi sahihi na ipi sio sahihi!!.
Hasa tukitumia tafsiri yako kwamba kuamini ni kukubali jambo bila uthibitisho.
Basi naweka vizuri sKwa nini swali lako linauliza "nani"?
Nikikuuliza bendera ya taifa ya Tanzania ni ya rangi nyekundu ipi utajibu vipi?
Nabadili muundo wa swali.Kwa nini swali lako linauliza "nani"?
Nikikuuliza bendera ya taifa ya Tanzania ni ya rangi nyekundu ipi utajibu vipi?
Hii ni moja ya nukuu yakee..Bora hata wewe umemtambua St. Augustine.
Umemsoma St. Augustine?
Hapa nabishana na watu wanaotetea uwepo wa Mungu, mimi nimewasoma hao wote niliowataja.
Wao hawamjui hata mmoja, hawajawahi kusoma chochote kati ya kazi za hao watu.
Lazima tukose kuelewana.
St. Augustine unamtambua kwa lipi katika muktadha wa mjadala huu?
Hiyo quote yake inapinga zaidi hoja ya kuwepo kwa Mungu kuliko inavyotetea.Hii ni moja ya nukuu yakee..
[W]hat is believed without being known cannot be said to have been found, and no one can become fit for finding God unless he believes first what he shall know afterwards.
Mkuu Kiranga.. St Augustine nimemsomaa ilaaa so deep kivilee na bado naendeleaa kumsomaa itaquwaa vidhurii zaidii kamaa una nondo zake ningeziomba...huyu jamaa life ake imevutiaa sana mpka kuja kumsomaa,,, ofcoz wakat tuko pre-form one nakumbuka tulimgusia kidogo pale utawan katikaa shirika la mt Augustino(kituo cha malezi)... Mahanje
Tafuta maana ya - Agano Jipya utaelewa nini kimebadilika!Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana
Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k
Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?
Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...
Mungu Habadiliki! Kuna kitu kilitokea ndio maana unaona kuna mabadiliko katika baadhi ya maswala na ndio hicho ninachotaka ukijue baada ya kujuaa maana ya Agano Jipya! Don't be lazy now!!Je Mungu anabadilika
Sasa kama habadiliki iweje nisome Agano Jipya Wakati la Kale LinatoshaMungu Habadiliki! Kuna kitu kilitokea ndio maana unaona kuna mabadiliko katika baadhi ya maswala na ndio hicho ninachotaka ukijue baada ya kujuaa maana ya Agano Jipya! Don't be lazy now!!