Unajuaje kwamba mungu yupo na haonekani na si kwamba hayupo katungwa kwenye hadithi kama Willy Gamba tu na waliomtunga wamesema haonekani?Kutokuwepo kwake ni aje...?! Wewe unadhani Mungu yupo zizini anaonekana kama wanayama basi usipomuona unasema hayupo...?!
Unazijua sifa za Mungu...?! Sifa yake moja haonekani, halafu yupo mahali pote lakini ni "invisible" yaani unahisi uwepo wake tu...
Kitu kingine imani huwa haiendani na "logic"...
Unajuaje kwamba mambo unayoamini yapo yapo kweli kwa imani tu?Nani kasema hayapo...?! Nimeshagundua tatizo lako unaelewa kinyume nyume... hebu rudia kusoma hiyo Waebrania 11:1 na kuendelea huone ulichoongea na chako ni tofauti kabisa...
Kitu kingine unaaamini Yesu aliwahi kutokea Duniani...?! Nataka nikupeleke kwa God Incarnate...
Atheism is the refutation of the existence of God, all the rest up there is misinformed bullshit.
Mpaka hapo bado hujathibitisha kuwa Mungu yupo, naona unatoka nje ya mada tuJimena hizi ni fact ya kwamba Yesu alitukia hata na kumbukumbu zipo zinaonyesha, fact ni kwamba temple lilikuwepo Jerusalem hata ukienda utapata vithibitisho...
Sasa nashangaa kitu akili yako isipokubali unakiita hadithi... wakati hizo ni fact kabisa na historia zipo za kuthibitisha hilo na sio watu walikaa wakatunga tu...
Hata historia ya BC na AD zinaendana na Yesu, we unadhani watu walikaa wakajitungia tu...?!
Shibe na njaa ni ushahidi kwamba mungu hayupo.Mmeshibaa nyieee mnajadiliii shibee
Una matatizo ya akili wewe mtu.Je , umewahi kujiuliza kwanini watu wengine kabla ya kifo chao wanao uwezo wa kuita watu / Ndugu na kuongea nao , then ndio wanakufa? ( wanao pia uwezo wa kumsubiri hata MTU akiwa mbali)
Je umewahi kujiuliza hiyo pumzi asili yake ni wapi?
Umewahi kujiuliza kwanini ni vigumu sana kwa MTU muovu kusoma Biblia hata nusu page, lakini ukimpa magazeti 30 anao uwezo wa kuyamaliza?
Je una amini kwamba shetani yupo? Una amini kwamba hapo ulipo unaishi chini ya maji kama samaki?
Je una elewa siri iliyopo katika kuzaliwa , kuoa na kufa?
Je umewahi kuushughulisha mwili wako kutafuta, MTU akifa huwa pumzi yake inaenda wapi? Mbona unaweza sana kujishughulisha kwenda kwa waganga na kutafuta wanawake?
Kwanini usitafute ukweli ukawa huru? Nina Amini, mpaka hapo ulipo hauna ukweli wowote; Unaishi tu bila kujielewa; Unashindwa hata na nyumbu , ambae anaelewa nyakati au hata na ndege anaye elewa kiota chake kilipo hata akienda sehemu ya ugenini.
Na Je, umewahi kujiuliza kuhusu moto wa jehanamu? Na paradiso?
Nimekuambia athibitishe mungu yupo, kama na habari nyiingi ambao hazijibu swali.Una matatizo ya akili wewe mtu.
Ulivyomuona Nyerere alisemaje?
Unajuaje huna matatizo ya akili yanayokupa hallucinations?
Hujathibitisha mungu yupo.
Hawezi kuthibitisha kwa sababu huyo mungu hayupo.Nimekuambia athibitishe mungu yupo, kama na habari nyiingi ambao hazijibu swali.
Sio tu anatuacha.hhhaaaaa,eti Kiranga huyu Mungu kwanini anatuacha tunateseka na maradhi,umaskini, huzuni kwanini ,mi mwenyewe nishajiuliza sana
Sasa si tutakuwa vichaa kuamini kitu ambacho hakipo?Halafu Jimena mtu kushindwa kukuthibitisha ndio inapelekea kitu fulani kisiwepo...?! Hii mantiki ya namna hii mmejifunzia wapi...?!
Kwasababu hayupoSio tu anatuacha.
Kwa nini kauumba ulimwengu hivi in the first place?
[emoji102]
Kwa nini unafikiri kuna kitu kama "mwanadamu wa kwanza" in the first place?mi nishajiuliza weee,sasa Kiranga sisi binadam tulitokea wapi,yaan asili yetu ni wapi,mwanadamu WA kwanza alitokea wapi alijiumba au?
Kwa nini unafikiri kuna kitu kama "mwanadamu wa kwanza" in the first place?
Kipimo chako cha kusema "huyu ni mwanadamu" ni kipi?
Ni utumwa mbaya sana kuamini kuna mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo, aliyeko kila mahali, nk. Huo ni upunguani na ni upumbavu kukubali hayo.
Tujikomboe na huu utumwa [emoji16]
Je,wewe unaweza kutuhakikishia usemacho kuwa mungu hayupo ni kweli hayupo?Hawezi kuthibitisha kwa sababu huyo mungu hayupo.