Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Umeshindwa kunielewa kwa sababu hauna uhuru wa mawazo katika hili suala kama mnavyojisifu,wewe unawaambia wenzako wanasoma hadithi zilizotungwa na watu tu na ndiyo nami nikakwambia kuwa hata unayosoma wewe pia kuhusu kutokuwepo kwa mungu ni hadithi za watu tu wenye kutaka watu waelewe hivyo. Mungekuwa na mawazo huru msingekuwa mnakuja na hoja za "sitaki kuamini nataka kujua" mara "mbona huyo mungu haonekani?".
Ndugu yangu unashindana na akili za kupandikizwa..hatokuelewa
 
Kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani kuwepo?

Mkuu..Mungu alipomuumba bin Adam alimshirikisha baadhi ya vitu ambavyo viumbe vingine hakuvipa..na hivyo vitu ndo vinavyotutofautisha na viumbe vingine mfano akili na utashi.....kwa kutumia hizi nyenzo Mungu alidhamiria kabisa kutufanya tuweze kuovercome dhambi na matokeo yake tuishi maisha ya furaha....angeweza kutuumba kama wanyama wengine ambao wanaongozwa na Instincts lkn nafikir tusingekua kama tulivyosasa
 
Mkuu..Mungu alipomuumba bin Adam alimshirikisha baadhi ya vitu ambavyo viumbe vingine hakuvipa..na hivyo vitu ndo vinavyotutofautisha na viumbe vingine mfano akili na utashi.....kwa kutumia hizi nyenzo Mungu alidhamiria kabisa kutufanya tuweze kuovercome dhambi na matokeo yake tuishi maisha ya furaha....angeweza kutuumba kama wanyama wengine ambao wanaongozwa na Instincts lkn nafikir tusingekua kama tulivyosasa
Nimeuliza kabla mungu hajamuumba mtu.

Alipokuwa anafanya kuumba ulimwengu.

Alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo?

Na kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote avipendelee viumbe vyake vingine na kuvibania vingine?

Kwa nini asivipe uwezo mkubwa vyote katika ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Aisee hii familia naionea huruma ,kaka mtu anaamini Mungu yupo ,dada mtu anaamini Mungu hayupo na wifi yake anaamini Mungu wa uislamu ndio wa maana kuliko wa ukristo ,sasa hao watoto sijui wataamini nini
Watoto watakuwa huru kujifunza vyote kisha wakikua wataamua wenyewe tu.....
Au unaonaje hapo? Hawa watoto hawatakuwa brain washed
 
Watoto watakuwa huru kujifunza vyote kisha wakikua wataamua wenyewe tu.....
Au unaonaje hapo? Hawa watoto hawatakuwa brain washed
Teh kujifunza vyote ni bora tu wasijifunze kabisa maana tunaweza wafanya vichaa ,Wakiwa kwangu Mungu yupo ,wakienda kwa dada mtu Mungu hayupo ,wakirudi kwa mama yao Mungu wake ndio Mungu wa kweli ,inabidi tutafute utaratibu mwingine nje ya imani hizo tatu ,sasa sijui ni imani ipi
 
Teh kujifunza vyote ni bora tu wasijifunze kabisa maana tunaweza wafanya vichaa ,Wakiwa kwangu Mungu yupo ,wakienda kwa dada mtu Mungu hayupo ,wakirudi kwa mama yao Mungu wake ndio Mungu wa kweli ,inabidi tutafute utaratibu mwingine nje ya imani hizo tatu ,sasa sijui ni imani ipi
Hapana hatuwaambii hivyo. Tunawaambia hivi wakristo wanaamini Mungu yupo kutokana na a,b na c, pia waislamu nao wanaamini haya kuhusiana na Mungu huyo huyo, halafu pia kutokana na 1,2 na 3 watu wengine wanajua ya kwamba Mungu hayupo, lakini kwa pamoja tutawafundisha upendo. Na watakuwa bora kabisa na wakikua na watakaposoma zaidi watajua kipi wafuate
Sambaza upendo
Love is my religion
 
Hapana hatuwaambii hivyo. Tunawaambia hivi wakristo wanaamini Mungu yupo kutokana na a,b na c, pia waislamu nao wanaamini haya kuhusiana na Mungu huyo huyo, halafu pia kutokana na 1,2 na 3 watu wengine wanajua ya kwamba Mungu hayupo, lakini kwa pamoja tutawafundisha upendo. Na watakuwa bora kabisa na wakikua na watakaposoma zaidi watajua kipi wafuate
Sambaza upendo
Love is my religion
Teh sawa mama , nimekuelewa
 
Asante sana kwa kunielewa.
Basi kwa pamoja tusambaze upendo
Amri yangu kuu ni kumpenda jirani yangu kama nafsi yangu japo muda mwingine nashindwa kutokana na mapungufu ya kibinadamu japo najitahidi mara nyingi nisitoke kwenye huo msingi ,Mimi hata sisimizi nampenda japo hawajui kama Mungu yupo au hayupo
 
Amri yangu kuu ni kumpenda jirani yangu kama nafsi yangu japo muda mwingine nashindwa kutokana na mapungufu ya kibinadamu japo najitahidi mara nyingi nisitoke kwenye huo msingi ,Mimi hata sisimizi nampenda japo hawajui kama Mungu yupo au hayupo
Upendo hauchagui wala haubagui.
 
Kiranga bana! Umeelewa nilichoandika lakini? Ukiambiwa una macho lakini huoni utahisi umetukanwa?
Hawa watu ishasemwa wameamua tu wenyewe kutoamini, yaani wameamua tu kwa kiburi chao. Na si kwamba wana hitaji la kutafiti wakabaniwa.
Sasa kuniuliza kwanini wafungwe sijui blah blah nashindwa kukuelewaa.
Nakuona mbumbumbu wa mwisho kwenye hii mada
 
Ok mi nadhani tujiulize maswali yafuatayo viberiti, magari, piki piki, simu, peni, nyumba, barabara, sindano nk je vimetokea tu naturaly? Kama vimetengezwa basi kwanini binadamu asitengezwe? Pia vitu vyote ambavyo binadamu ametengeza yy ndio ana vi control, kwa msingi huo anayetengeza ndio ana control na hata aliyemtengeza binadamu ndio anauwezo kuliko binadamu
Kwahiyo mungu wenu nae ana mtengenezaji wake?
 
Back
Top Bottom