GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Gharib Said Mohamed (GSM) bhana kwahiyo Wewe siku hizi umekuwa ni wa kutafuta tu Sifa kwa Watanzania hasa Kupitia Matatizo, Maafa na Majanga yanayowakumba?
Kama kweli GSM unapenda Watu na una Huruma mbona zaidi ya mara Sita (6) umeletewa Barua za Chama Cha Wachezaji wa Zamani (ambao hawana Uwezo na sasa Wanaumwa) mno ili uwasidie Pesa Wakatibiwe umewatosa (umewanyima) kiasi kwamba hutaki hata Kuwaona Viongozi (Wawakilishi) Wao Ofisini na hata hapo (pale) Nyumbani Kwako?
Wenye Akili Kubwa tunajua Kiongozi gani Mkubwa Mstaafu aliye nyuma yako na kwa Kushirikiana na Mwanae Kipenzi wanakutumia Wewe ili Kujificha na Watanzania wasijue kuwa Wameibiwa nao sana kiasi kwamba kuna Mmoja hapo Fedha alizotuibia hajaziweka nchini Switzerland kama ilivyozoeleka na zake Kazifichia nchini Malaysia huku baadhi akimkabidhi Mwanae Kipenzi na mwenye Nyota nae Kimafanikio kama alivyoambiwa na wale Waganga wake wengi wa Liberia, Congo DR na Nigeria achilia mbali Yule wa Kigamboni ambaye amewasaidia zaidi Mafisadi waliokamatwa ili Wasifungwe na Kutaifishwa Mali zao na Mr. 2015 - 17th March 2021.
Nina uhakika tena wa 100% kuwa huyo (huyu) Dogo Muokoaji Majaliwa asingekuwa (kujulikana) ni Shabiki lia lia wa Yanga SC wala GSM na Klabu ya Yanga msingekuwa na hiki Kiherehere cha Kumzawadia hivi hizi Fedha tena mkilazimisha Mtangazwe ili Watanzania wajue.
Wanafiki wakubwa kabisa tu nyie!!!!!
Kama kweli GSM unapenda Watu na una Huruma mbona zaidi ya mara Sita (6) umeletewa Barua za Chama Cha Wachezaji wa Zamani (ambao hawana Uwezo na sasa Wanaumwa) mno ili uwasidie Pesa Wakatibiwe umewatosa (umewanyima) kiasi kwamba hutaki hata Kuwaona Viongozi (Wawakilishi) Wao Ofisini na hata hapo (pale) Nyumbani Kwako?
Wenye Akili Kubwa tunajua Kiongozi gani Mkubwa Mstaafu aliye nyuma yako na kwa Kushirikiana na Mwanae Kipenzi wanakutumia Wewe ili Kujificha na Watanzania wasijue kuwa Wameibiwa nao sana kiasi kwamba kuna Mmoja hapo Fedha alizotuibia hajaziweka nchini Switzerland kama ilivyozoeleka na zake Kazifichia nchini Malaysia huku baadhi akimkabidhi Mwanae Kipenzi na mwenye Nyota nae Kimafanikio kama alivyoambiwa na wale Waganga wake wengi wa Liberia, Congo DR na Nigeria achilia mbali Yule wa Kigamboni ambaye amewasaidia zaidi Mafisadi waliokamatwa ili Wasifungwe na Kutaifishwa Mali zao na Mr. 2015 - 17th March 2021.
Nina uhakika tena wa 100% kuwa huyo (huyu) Dogo Muokoaji Majaliwa asingekuwa (kujulikana) ni Shabiki lia lia wa Yanga SC wala GSM na Klabu ya Yanga msingekuwa na hiki Kiherehere cha Kumzawadia hivi hizi Fedha tena mkilazimisha Mtangazwe ili Watanzania wajue.
Wanafiki wakubwa kabisa tu nyie!!!!!