Mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi andika andiko gumu kias kwamba mimi maduhu kchwa panzi mkazi wa simiyu nisilielewa..Kwan huyo mungu wenu hajui uwepo wang mm Maduhu kichwa panzhkuielewa biblia unahitaji KARAMA NA UJAZO WA ROHO MT.
Na Wala SIYO machapisho ya maproffersor
ni ajabu MTU kama wewe na mwanaume kuamin maproffersor ZAIDI kuliko ROHO MTAKATIFU.
na wengi wamekuwa wagumu kuelwa/kutambua
kuhusu ROHO MTAKATIFU
MKUU unapomtaja MUNGU (Our Heaven Father )unapaswa kumtaja kwa heshima kubwa na SIYO kumtaja kwa dhihaka na kejeli..Mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hawezi andika andiko gumu kias kwamba mimi maduhu kchwa panzi mkazi wa simiyu nisilielewa..Kwan huyo mungu wenu hajui uwepo wang mm Maduhu kichwa panzh
Hii imeandikwa wapi/source au proof yako ni nini?Musa alipokuwa mlima Sinai siku 40 Mungu alimweleza habari zote tangu mwanzo. Yaani alimweleza asili ya mwanadamu ilianzia kwa Adamu! Alimpa mtiririko wote jinsi mambo yalivyokuwa. Musa aliandika kile alicho ambiwa.
Kitabu cha mwazo kinasemaje?Hii imeandikwa wapi/source au proof yako ni nini?
Yap periodization ya ayubu ina utata pia inasemekana ilikua ni drama tu watu waliigiza ikaonekana ni drama nzuri yenye mafundisho. Vitabu vingi vya agano la kale ikiwemo vya mwanzo havikuandikwa na manabii wenyewe. Ni habari zilizotunzwa kwa njia ya masimulizi baadae Sana waisrael wakaona masimulizi yao yatapotea wakaamua kuyaweka kwenye maandishi ila vtabu vile wakavidedicate kwa manabii waliosimuliwa wakawa Kama waandishi wa vitabu hivyo.Kuna kitu umekisema nimekumbuka mchungaji mmoja aliekua anatupa mahubiri alitupa ahad ya kutuambia Ayubu ni wa zamani kuliko hata Mussa,ila akasema atakuja kutupa ufafanuzi bahat mbaya alifariki siku moja kabla ya siku ya ahadi,umesema kitu cha ayubu hapo nikakukbuka hii
Well and good kama ni cha Musa.... Unaweza ukatueleza ulivyoelewa hiyo mistari nilioambatanisha kwa faida ya wasomaji.Ni kitabu cha musa pia na maudhui yake ni chanzo au asili ya ulimwengu ulivyoanza na viumbe vyote akiwamo binadamu chanzo chao ni nini
Lakini kama ukikisoma kwa makini utagundua chanzo cha masimulizi yote katika kitabu cha mwanzo ni Mungu mwenyewe
Kipi nimedanganya mkuu?? unaweza nionyesha ili nisirudie tenaWe jamaa unaleta miracle zako za kilokole hapa kwa kudanganya na kuadaaa watu, angalia usitumiwe vibaya na shetani
Anachotaka kujua ni wapi unatoa reference kuwa katika hizo siku 40 ndipo aliandika kitabu cha mwanzo??Kitabu cha mwazo kinasemaje?
Kwahiyo ndio nasubiri wajuvi mnisaidie kama kitabu cha mwanzo kilieditiwa na watu wengine alafu wakadai kimeandikwa na Musa hilo ndio swali na kama si kweli basi tusaidiane kuchambua hyo mistari hapo juu aliandika nani??Kwahyo ?
Hizo siku 40 Musa alipokuwa juu ya mlima Sinai alijua Musa anafanya nini? Au wewe unajua?Anachotaka kujua ni wapi unatoa reference kuwa katika hizo siku 40 ndipo aliandika kitabu cha mwanzo??
Kwanini unafanya assumptions?? Biblia imeshasema kwenye ufunuo kuwa usiongeze maarifa yako kwenye neno la Mungu.... Sasa wwe ambaye unazusha kuwa zile siku 40 Musa aliandika kitabu cha mwanzo ilihali wote tunajua alikuwa akipewa amri 10 za Mungu je unaweza kutusaidia umetoa wapi hyo reference??? Kingine kitabu cha mwanzo kimeandikwa mara ya kwanza kabisa 600 BC sasa je Musa aliishi 600 BC??Hizo siku 40 Musa alipokuwa juu ya mlima Sinai alijua Musa anafanya nini? Au wewe unajua?
Okay mkuu lakini je Joshua alikuwepo kushuhudia wakardayo kiasi aandike kwa kutumia past tense kitu ambacho bado hakijatokea kwenye historia?? Je joshua alishuhudia kabila la Dani likipewa mji wake ilihali alishakuwa amekufa...... Kinachoshangaza haya maneno yameandikwa kwa past tense ikimaanisha aliyeandika alikuwa ameishi miaka zaidi ya 400 toka Musa afe ndio swali linakuja joshua na musa waliwezaje kuandika kwa PAST tense mambo ambayo bado hayajatokea???hapo ndio kunaleta maswaliMkuu musa alikuwa na mwanafunzi wake mwaminifu kabisa alieitwa yoshua huyu aliiendeleza kazi ya musa. Ndio maana musa alivyopotea mlimani yoshua alishika mahala pake
Acha nikae kimya nisije chafua UZIMKUU unapomtaja MUNGU (Our Heaven Father )unapaswa kumtaja kwa heshima kubwa na SIYO kumtaja kwa dhihaka na kejeli..
hakika watu wengi mmekosa elimu ya ki roho....
hapo ndipo msingi wa tatz unapojitokeza
kukupa elimu na ufahamu.kwanza yakupasa uwe na utayri na Wala SIYO kejeli
Wapi nimesema hizo 40 aliandika? Nimekuuliza hizo siku 40 alikuwa anafanya nini?Sasa wwe ambaye unazusha kuwa zile siku 40 Musa aliandika kitabu cha mwanzo
Sitaki kuamini. Kuamini hata uongo unaamini tu.sasa hapo Mr kiranga utataka mabishano.
hata nikikupa Verse za kwenye Bible bado hutokaa uamini kuwa huyo roho yupo.
kuelwa ufalme wa mbinguni/mambo ya rohoni inaitaji Sanaa uwe MTU wa rohoni wengi huwa wanashindwa kuelwa mambo ya rohoni coz huyachukulia ki mwili.ndipo hapo mnaanza kusema kuwa fact/mkanganyiko upo HAPANA.
Alikuwa anaongea na Mungu na mwishowe akapewa sheria zile 10 za MunguWapi nimesema hizo 40 aliandika? Nimekuuliza hizo siku 40 alikuwa anafanya nini?