Naomba kueleweshwa, kinachosababisha Tanganyika na Zanzibar ziitwe nchi zilizoungana ni kipi? Nauliza haya kwa sababu
1.) Kila nchi ina Rais wake
2.) Kila nchi ina katiba yake
3.) Kila nchi inajeshi lake
4.) Kila nchi ina mamlaka yake ya mapato na mamlaka zingine zote husika katika kuemdesha nchi
5.) Kila mchi ina bunge lake
Kilichokuwa kimebaki ni katika Mambo ya soccer, lakini hata hilo nalo liko mbioni kuondoka, na kila nchi itakuwa na timu yake ya taifa. Sasa hiki kinachoitwa Muungano ni kwa vigezo vipi?
- Raia wa Zanzibar kutawala Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Raia wa Zanzibar kumiliki ardhi Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Mkopo kukopwa na Zanzibar ila deni kulipishwa Tanganyika?
- Kodi zikusanywe Tanganyika ila mapato yakatumike Zanzibar?
- Umeme utoke Tanganyika kwenye mgao wa umeme kisha uende Zanzibar bure bila malipo?
- Wanafunzi watole Zanzibar waje kusoma Tanganyika ila mkopo wachukue bodi ya mikopo ya Tanganyika?
- Wabunge toka Zanzibar kushiriki bunge la Tanganyika na kula posho za waTanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Dereva wa Zanzibar kuendesha gari Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Kuuza bandari (DPW) na Mbuga zote (OBC) za Tanganyika ila za Zanzibar ni marufuku?
- Utambulisho wa Tanganyika kuzikwa ilihali utambulisho wa Zanzibar unaachwa uishi?
Hicho ndio kinasababisha huu uitwe Muungano, au kuna jambo lingine?
Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Waziri mwenye dhamana, Dkt Selemani Jafo akisema hoja ya kutaka kurejesha utaratibu wa watu wa Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma. Jafo amesema hayo jana Jumanne Aprili 23, 2024 akitoa...
Ukiwa na wazanzibari utakuta wanalalamikia muungano, wanasema wanapunjwa kwenye muungano. Hawana nafazi UN. Hawana sarafu etc.
Ukiwa na wapogoro huku bara wanalalamikia wazanzibari wanatunyonya, hatuwezi kununua ardhi kwao, ukiwa unafanya kazi Zanzibar ubaguzi nje nje ilhali sisi huku hatuwabagui kwa namna yoyote.
Ukiwa na wanasiasa wanasema muungano umetusaidia Sana.
Wasomi wako njia panda.
Kwanini Sasa tusipige kura tuone Kama wengi ndio wanautaka au wengi wanauponda.
Ukiwa na wazanzibari utakuta wanalalamikia muungano, wanasema wanapunjwa kwenye muungano. Hawana nafazi UN. Hawana sarafu etc.
Ukiwa na wapogoro huku bara wanalalamikia wazanzibari wanatunyonya, hatuwezi kununua ardhi kwao, ukiwa unafanya kazi Zanzibar ubaguzi nje nje ilhali sisi huku hatuwabagui kwa namna yoyote.
Ukiwa na wanasiasa wanasema muungano umetusaidia Sana.
Wasomi wako njia panda.
Kwanini Sasa tusipige kura tuone Kama wengi ndio wanautaka au wengi wanauponda.
Ukiwa na wazanzibari utakuta wanalalamikia muungano, wanasema wanapunjwa kwenye muungano. Hawana nafazi UN. Hawana sarafu etc.
Ukiwa na wapogoro huku bara wanalalamikia wazanzibari wanatunyonya, hatuwezi kununua ardhi kwao, ukiwa unafanya kazi Zanzibar ubaguzi nje nje ilhali sisi huku hatuwabagui kwa namna yoyote.
Ukiwa na wanasiasa wanasema muungano umetusaidia Sana.
Wasomi wako njia panda.
Kwanini Sasa tusipige kura tuone Kama wengi ndio wanautaka au wengi wanauponda.
Naomba kueleweshwa, kinachosababisha Tanganyika na Zanzibar ziitwe nchi zilizoungana ni kipi? Nauliza haya kwa sababu
1.) Kila nchi ina Rais wake
2.) Kila nchi ina katiba yake
3.) Kila nchi inajeshi lake
4.) Kila nchi ina mamlaka yake ya mapato na mamlaka zingine zote husika katika kuemdesha nchi
5.) Kila mchi ina bunge lake
Kilichokuwa kimebaki ni katika Mambo ya soccer, lakini hata hilo nalo liko mbioni kuondoka, na kila nchi itakuwa na timu yake ya taifa. Sasa hiki kinachoitwa Muungano ni kwa vigezo vipi?
- Raia wa Zanzibar kutawala Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Raia wa Zanzibar kumiliki ardhi Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Mkopo kukopwa na Zanzibar ila deni kulipishwa Tanganyika?
- Kodi zikusanywe Tanganyika ila mapato yakatumike Zanzibar?
- Umeme utoke Tanganyika kwenye mgao wa umeme kisha uende Zanzibar bure bila malipo?
- Wanafunzi watole Zanzibar waje kusoma Tanganyika ila mkopo wachukue bodi ya mikopo ya Tanganyika?
- Wabunge toka Zanzibar kushiriki bunge la Tanganyika na kula posho za waTanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Dereva wa Zanzibar kuendesha gari Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?
- Kuuza bandari (DPW) na Mbuga zote (OBC) za Tanganyika ila za Zanzibar ni marufuku?
- Utambulisho wa Tanganyika kuzikwa ilihali utambulisho wa Zanzibar unaachwa uishi?
Hicho ndio kinasababisha huu uitwe Muungano, au kuna jambo lingine?
Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Waziri mwenye dhamana, Dkt Selemani Jafo akisema hoja ya kutaka kurejesha utaratibu wa watu wa Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma. Jafo amesema hayo jana Jumanne Aprili 23, 2024 akitoa...
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu.
1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara wanachukiwa wakienda kule, wanaitwa chogo, na katiba yao inazuia watu wa bara kumiliki ardhi. Juzi nilikuwa Dodoma, kwenda benjamin Mkapa kwenye kona ya Udom, kuna migorofa fulani hivi imejengwa, wanasema karibu na vile vijengo vya majaji, wengine wanamtaja mzanzibari fulani anamiliki hiyo migorofa. tukisema wazanzibar leo hii muungano umevunjika waondoke, wengi wataanza kuuza nyumba nyingi na ardhi kubwa wanayoimiliki. KWANINI BARA HATURUHUSIWI KUMILIKI KULE? faida yao ni nini?
2. kwenye ajira, hii ni kero, wazanzibar maelfu na maelfu wameajiriwa bara, hata kwenye mambo yasiyo ya muungano, wameajiriwa bara ambayo kiukweli ipo bara kwasababu zanzibar kuna utawala wao, lakini wabara hawaruhusiwi kabisa kuajiriwa zanzibaar, hii ni kero, inatakiwa iondolewe, ama la kila mtu abaki kwake.
3. wazanzibar wanakuwa wabunge kule kwao, na huku. akiwa mbunge kule kwao, atakula masurufu ya kule na atakuja kula masurufu ya bara kwa kodi za watu wa bara. tuambieni, yale mipesa wanaku wabunge 50 wa zanzibar wanakiula, zanzibar huwa imechangia bei gani? ni pesa za walipa kodi wa bara. na hao hao wakifika huku wakishiba, wanasenma twende kule kwa passport, kwa msiojua, kile ameongea yule mbunge wa zanzibar kwamba wabara twende kwa passport kwao ndicho kilichopo kwenye mioyo ya wazanzibari wote hata wenye mamlaka huku na hata walioajiriwa huku na hata wanaomiliki ardhi huku, amesema kilichopo kwenye mioyo ya wengi. wala hatakiwi kulaumiwa. kwa waliofika zanzibar wanajua kuwa hicho ndio huwa matamanio yao.
4. mzanzibar anaweza kuwa Mkuu wa wilaya, mkoa, na waziri bara, ila sisi kule marufuku. kwanini?
nimeongea hayo kwa uchache tu, lakini ukweli mwingi hata wanaopinga wanaujua, kama tunataka muungano uwepo, ondoeni kero hizi kwa watu wa bara, ama la, kila mtu achukue hamsini zake kwasababu hakuna kitu wabara wanafaidika nacho as of now. na hawajawahi kufaidika. watu wasioelewa watasema huu ni uchochezi, ila jibuni kwa hoja kama mnazo.
Shalom, Tuunduiz Lissua myopia hawazungumzii haya mazito Nasikitika kusema kwamba mambo ya muungano yalikuwa 22 na hakuna kikao halali cha Bunge la muungano kimeondoa baadhi ya mambo ya muungano. Cha ajabu Baraza la wawikilishi Zanzibar limefanya mabadilliko mengi yaliyoipa Zanzibar uhuru na...
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu.
1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara wanachukiwa wakienda kule, wanaitwa chogo, na katiba yao inazuia watu wa bara kumiliki ardhi. Juzi nilikuwa Dodoma, kwenda benjamin Mkapa kwenye kona ya Udom, kuna migorofa fulani hivi imejengwa, wanasema karibu na vile vijengo vya majaji, wengine wanamtaja mzanzibari fulani anamiliki hiyo migorofa. tukisema wazanzibar leo hii muungano umevunjika waondoke, wengi wataanza kuuza nyumba nyingi na ardhi kubwa wanayoimiliki. KWANINI BARA HATURUHUSIWI KUMILIKI KULE? faida yao ni nini?
2. kwenye ajira, hii ni kero, wazanzibar maelfu na maelfu wameajiriwa bara, hata kwenye mambo yasiyo ya muungano, wameajiriwa bara ambayo kiukweli ipo bara kwasababu zanzibar kuna utawala wao, lakini wabara hawaruhusiwi kabisa kuajiriwa zanzibaar, hii ni kero, inatakiwa iondolewe, ama la kila mtu abaki kwake.
3. wazanzibar wanakuwa wabunge kule kwao, na huku. akiwa mbunge kule kwao, atakula masurufu ya kule na atakuja kula masurufu ya bara kwa kodi za watu wa bara. tuambieni, yale mipesa wanaku wabunge 50 wa zanzibar wanakiula, zanzibar huwa imechangia bei gani? ni pesa za walipa kodi wa bara. na hao hao wakifika huku wakishiba, wanasenma twende kule kwa passport, kwa msiojua, kile ameongea yule mbunge wa zanzibar kwamba wabara twende kwa passport kwao ndicho kilichopo kwenye mioyo ya wazanzibari wote hata wenye mamlaka huku na hata walioajiriwa huku na hata wanaomiliki ardhi huku, amesema kilichopo kwenye mioyo ya wengi. wala hatakiwi kulaumiwa. kwa waliofika zanzibar wanajua kuwa hicho ndio huwa matamanio yao.
4. mzanzibar anaweza kuwa Mkuu wa wilaya, mkoa, na waziri bara, ila sisi kule marufuku. kwanini?
nimeongea hayo kwa uchache tu, lakini ukweli mwingi hata wanaopinga wanaujua, kama tunataka muungano uwepo, ondoeni kero hizi kwa watu wa bara, ama la, kila mtu achukue hamsini zake kwasababu hakuna kitu wabara wanafaidika nacho as of now. na hawajawahi kufaidika. watu wasioelewa watasema huu ni uchochezi, ila jibuni kwa hoja kama mnazo.
1. Ajira za serikali huku bara Wazanzibari wana asilimia yao imetengwa kila zinapotoka na lazima wapewe.
2. Tunatumia fedha moja, TZS.
3. Jeshi la polisi moja.
4. Vyama vya siasa viko pande zote.
5. Mwenge wa Uhuru unaenda hadi Zanzibar
6. Kule kuna majimbo ya uchaguzi ambapo hutoka wabunge na wanachaguliwa wakati wa uchaguzi na wanakuja huku bara vikaoni.
Haya ndio mambo yaliyopo kwenye muungano tunayoyajua sisi. Ndani huko hatuambiwi. Inawezekana hata Tanganyika inatoa pesa kuipa Zanzibar na sisi hatujui na ni siri za serikali. Si unaonaga wanaapa kutunza siri za serikali.
Kwa ufupi, Tanganyika ni kama mwanaume anayehenyeka na kukomaa ambakishe dem ambaye anamkataa. Kwa kufosi mambo ndio maana Tanganyika inaonekana hakuna inachopata, Zanzibar yenyewe imekaa pale inasema kama hutaki basi.
1. Ajira za serikali huku bara Wazanzibari wana asilimia yao imetengwa kila zinapotoka na lazima wapewe.
2. Tunatumia fedha moja, TZS.
3. Jeshi la polisi moja.
4. Vyama vya siasa viko pande zote.
5. Mwenge wa Uhuru unaenda hadi Zanzibar
6. Kule kuna majimbo ya uchaguzi ambapo hutoka wabunge na wanachaguliwa wakati wa uchaguzi na wanakuja huku bara vikaoni.
Haya ndio mambo yaliyopo kwenye muungano tunayoyajua sisi. Ndani huko hatuambiwi. Inawezekana hata Tanganyika inatoa pesa kuipa Zanzibar na sisi hatujui na ni siri za serikali. Si unaonaga wanaapa kutunza siri za serikali.
Kwa ufupi, Tanganyika ni kama mwanaume anayehenyeka na kukomaa ambakishe dem ambaye anamkataa. Kwa kufosi mambo ndio maana Tanganyika inaonekana hakuna inachopata, Zanzibar yenyewe imekaa pale inasema kama hutaki basi.
Muungano tulionao ni wa kipekee kabisa duniani. Na unafahamika zaidi kama Muungano wa changu changu, chako changu.
Yaani Zanzibar ina haki ya kufaidi raslimali za Tanganyika, ila Tanganyika hairuhusiwi kufaidi chochote kutoka Zanzibar kwenye huo Muungano. Maajabu ya karne haya!!
Hao Wazanzibari wenyewe sasa walio wengi!! Kila siku ni kulia kulia, kudeka, kulalamika, na kunung'unika tu! Hata wapewe nini, huwa hawatosheki! Wanajifanya hawautaki huo Muungano unao wafaidisha zaidi wao! Ukiwaambia wajitoe; hawataki!!
Muongo mkubwa Wazanzibari hawautaki Muungano hata leo wanaomba uvunjike na iko siku utavunjika. .Watanganyika ndio vinganganizi wa Muungano na faida kubwa wanapata wao Tanganyika .Nyerere alimtisha Karume kama hutaki kuungana utapinduliwa ,hakuna hata Mzanzibari mmoja alieulizwa kuhusu Muungano .Huu Muangano zaidi upo kisiasa na kuizibiti Zanzibar katika Dini na maendeleo mengine.Tanga la wanyika kubalini jina lenu na kuweni na nchi yenu nyinyi mungeungna na Kenya or Uganda .By the way Zanzibar ndio iliowafundisha Tanganyika Ustarabu mulikuwa hamuvai nguo kama huyajui waulize watu wanaojua,
Muongo mkubwa Wazanzibari hawautaki Muungano hata leo wanaomba uvunjike na iko siku utavunjika. .Watanganyika ndio vinganganizi wa Muungano na faida kubwa wanapata wao Tanganyika .Nyerere alimtisha Karume kama hutaki kuungana utapinduliwa ,hakuna hata Mzanzibari mmoja alieulizwa kuhusu Muungano .Huu Muangano zaidi upo kisiasa na kuizibiti Zanzibar katika Dini na maendeleo mengine.Tanga la wanyika kubalini jina lenu na kuweni na nchi yenu nyinyi mungeungna na Kenya or Uganda .By the way Zanzibar ndio iliowafundisha Tanganyika Ustarabu mulikuwa hamuvai nguo kama huyajui waulize watu wanaojua,
Muongo mkubwa Wazanzibari hawautaki Muungano hata leo wanaomba uvunjike na iko siku utavunjika. .Watanganyika ndio vinganganizi wa Muungano na faida kubwa wanapata wao Tanganyika .Nyerere alimtisha Karume kama hutaki kuungana utapinduliwa ,hakuna hata Mzanzibari mmoja alieulizwa kuhusu Muungano .Huu Muangano zaidi upo kisiasa na kuizibiti Zanzibar katika Dini na maendeleo mengine.Tanga la wanyika kubalini jina lenu na kuweni na nchi yenu nyinyi mungeungna na Kenya or Uganda .By the way Zanzibar ndio iliowafundisha Tanganyika Ustarabu mulikuwa hamuvai nguo kama huyajui waulize watu wanaojua,
Muongo mkubwa Wazanzibari hawautaki Muungano hata leo wanaomba uvunjike na iko siku utavunjika. .Watanganyika ndio vinganganizi wa Muungano na faida kubwa wanapata wao Tanganyika .Nyerere alimtisha Karume kama hutaki kuungana utapinduliwa ,hakuna hata Mzanzibari mmoja alieulizwa kuhusu Muungano .Huu Muangano zaidi upo kisiasa na kuizibiti Zanzibar katika Dini na maendeleo mengine.Tanga la wanyika kubalini jina lenu na kuweni na nchi yenu nyinyi mungeungna na Kenya or Uganda .By the way Zanzibar ndio iliowafundisha Tanganyika Ustarabu mulikuwa hamuvai nguo kama huyajui waulize watu wanaojua,
Muongo mkubwa Wazanzibari hawautaki Muungano hata leo wanaomba uvunjike na iko siku utavunjika. .Watanganyika ndio vinganganizi wa Muungano na faida kubwa wanapata wao Tanganyika .Nyerere alimtisha Karume kama hutaki kuungana utapinduliwa ,hakuna hata Mzanzibari mmoja alieulizwa kuhusu Muungano .Huu Muangano zaidi upo kisiasa na kuizibiti Zanzibar katika Dini na maendeleo mengine.Tanga la wanyika kubalini jina lenu na kuweni na nchi yenu nyinyi mungeungna na Kenya or Uganda .By the way Zanzibar ndio iliowafundisha Tanganyika Ustarabu mulikuwa hamuvai nguo kama huyajui waulize watu wanaojua,
Nyinyi Wazanzibari ni wanafiki tu. Sasa kama hamuutaki huu muungano, si muendeshe kura ya maoni ili mjitenge. Maana kwenu ni rahisi zaidi kufanya hivyo kuliko upande wa Tanganyika.
Nyinyi Wazanzibari ni wanafiki tu. Sasa kama hamuutaki huu muungano, si muendeshe kura ya maoni ili mjitenge. Maana kwenu ni rahisi zaidi kufanya hivyo kuliko upande wa Tanganyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.