Yesu hakuonekana hadharani baada ya kufa.............ni ajabu kuamini alifufuka maana kuna uwezekano wafuasi wake wakawa walidanganya.Kabla hajafa au hajapaa!? Yesu alonekana maeneo kadhaa duniani baada ya kifo chake.
Imani haba!!!Yesu hakuonekana hadharani baada ya kufa.............ni ajabu kuamini alifufuka maana kuna uwezekano wafuasi wake wakawa walidanganya.
Unahofu akifufuka huko atakua km huku?Wengine watapigiwa kura wasifufuliwe jinsi walivyokawa viongozi katili
Siamini km kuna kufufukaMkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.
Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.
Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.
Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.
Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
My friend you are the one who looks stupid. You could clearly specify which one .John the Baptist and John the beloved/the disciple are two different people, wanasema "better to stay quite and let people doubt whether you are stupid or not than to speak up and remove all the doubts "
Hahahaaaa...... Yaani watu ni wa ajabu kweli kweli..... Eti kitu kikisemwa kwenye dini basi ni kweli.Siamini km kuna kufufuka
Yesu aliyezuga kufufuka mwenyewe ni baada ya siku 3 tu yaani hakuoza wala nini
Hawa mazoba ndo wanaamini kila kitu utafikiri hawana ubongo au wana bongo za kuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hao ndo wateja wa VibwetereHahahaaaa...... Yaani watu ni wa ajabu kweli kweli..... Eti kitu kikisemwa kwenye dini basi ni kweli.
Siamini km kuna kufufuka
Yesu aliyezuga kufufuka mwenyewe ni baada ya siku 3 tu yaani hakuoza wala nini
Hawa mazoba ndo wanaamini kila kitu utafikiri hawana ubongo au wana bongo za kuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama wewe ishasoma weka jibu lako hapa kwa manufaa ya wengine.Soma kitabu cha Mathayo mtakatifu, Luka, Marko na Yohana ,,,,utapata majibu ya maswali yako yote.
Mtoto wa mwezi mmoja atafufuliwa na mwezi huo huo mmoja? Sasa hata kutembea hawezi kila mda kulialia anataka maziwa [emoji3] huko peponi kumbe bado kutakua na mikelele tuUkisoma ufunuo 20:12 nanukuu.
Nikawaona wafu,wakubwa kwa wadogo,wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;na vitabu vikafunguliwa;na kitabu kingine kikafunguliwa,ambacho ni cha uzima;na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,sawasawa na matendo yao.
Kuna pipo ni bongo lala zinafuatisha tu maandiko bila kushughulisha akiliMtoto wa mwezi mmoja atafufuliwa na mwezi huo huo mmoja? Sasa hata kutembea hawezi kila mda kulialia anataka maziwa [emoji3] huko peponi kumbe bado kutakua na mikelele tu
Ufufuliwe uende wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wew upo upande ganiKuna pipo ni bongo lala zinafuatisha tu maandiko bila kushughulisha akili
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Asa c ungesema wewe majibu ulopata baada ya kusoma hvyo vitabu???.Soma kitabu cha Mathayo mtakatifu, Luka, Marko na Yohana ,,,,utapata majibu ya maswali yako yote.
Hahahhahaahhaahha haya maswala bhn ukiyazingatia sana utabaki kuwashangaa kina gwajima wanavyokula pesa kina lwakatale wanavotumbua maisha kina lusekelo kina kakobe af wewe unayekaa unahofu kuhusu siku ya mwisho ambayo ni nadharia utabaki kufa njaa tuuView attachment 459123[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahaha!Ufufuliwe uende wapi?
Tupe na kamstari ka injili kidogo kuhusu hii statement yako, maana nimetafuta mpaka nimechoka.Ulivyokufa ndivyo utafufuliwa.ila wapo watakaofufuliwa kwa maumbo tofauti tofauti.ila umri ule ule.