Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

Tangu nizaliwe leo ndio nimesikia hiki kitu ulichosema.

Hebu tueleze haya mambo uliyapata wapi?..........Binafsi nadhani ni propaganda za kutengenezwa ili zi-fit utabiri wa Yesu ambao haukutimia.

Ndio maana nimesema ipo simulizi yaani "church historical tradition" inasema hayo! Hatuna maana kuwa imethibitishwa rasmi, ila ipo simulizi ya jinsi hiyo. Ni kama zile zinazohusu maisha ya baadaye ya wanafunzi wa Yesu, kwamba fulani alifia wapi na fulani alikufa namna gani! Huwezi kuzikataa hizo kwani zipo kwa kila dini. Hizi zinaaminika ikiwa zitakuwa na ushahidi wa waandishi wengi ama vyanzo vingi vya kihistoria. Nipo Safari nje ya nchi nitakapo rudi nita-attach source moja wapo ya hii Habari.
 
Ok.
 
Maswali kuhusu ufufuo hayajaanza Leo tangu enzi za mtume(saw).m/Mungu anasema ktk qurani.je Titapokuwa ktk mapande yaliyovurugika tutarudishwa katika umbo jipya
 
Ktk hyo aya naamini hayo sio maneno ya Yesu, km yangekuwa maneno yake asingeongea km anamzungumzia mtu.
 

Roho haizeeki haina ukubwa wala udogo, so tutafufuliwa wote tukiwa na umri sawa wa Kiroho, japo kimwili tulikuwa na maumbo na umri tofauti, kama wewe ni mtu mzima utakuwa unajishangaa kuwa japo wewe ni mtu mzima lakini bado hunajiona hauna mabadiriko yoyote Kiroho yaani haujifeel kuwa ni mtoto au kuwa ni mtu mzima
 
Wote wataofufuka watakua na muonekano wa kama kijana wa 30yrs and below.
 
Wale watakao jaaliwa kwenda peponi tu Allah atujalie na sisi tuende pepeponi
 
Kwahiyo vitabu vya dini ni story za watu wa kale siyo?
Katika biblia kuna maneno ya mungu na yasiyokuwa maneno ya mungu, maneno ya mungu ni yale ambayo yanatoka kinywani kwa yesu na ukilisoma unaweza ukaona kabisa kama hapa yesu anaongea, na maandiko ya namna hii ukiangalia utayakuta kwenye biblia ingawa si mengi, lakini hapo inaonesha wazi kwamba muongeaji si yesu ni mtu mwngine, angekuwa yesu asinge ongea hvyo katika nafsi ya mtu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…