Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Je akiwaza ni mimi ndio mimi kweli au ni technique?Unataka Kusemaje?
Kwa daktari inaonesha kipindi kile kile nilicho mdo, sema sikai nae all the time.. ndio najiuliza vipi kama nilipokuwa sipo alido the same timeFanya kama sadaka kumlea huyo mtoto
π πLea mimba na jiandae kulea mtoto wacha hadithi..
Hebu funduka zaidiUmepigwa
Why Mimi Daktari anaonesha same period. Issue sasa muda wa mambo ya DNA badoFanya kama sadaka kumlea huyo mtoto
Subiri akizaa mpime DNA.. ila kumbuka kitanda akizai haramu..π π
Niko Tayari sana.. sema uhakika muhimu
Maneno mazito sanaHa ha haaaaa eti "I will kill this kid" hapo umepigwa pia huyo ManZi ni mjinga sana pia hata wewe usipokuwa makini atakufanyia hvyo hvyo kama anavyotaka huyo mtoto aliye tumboni mwake.
Am done. β
Imagine unalea mtoto sio wako π π π πMwanamke akipata ujauzito anangalia kati ya wanaume zake nani ana uwezo wa kumlea mtoto ndiyo anamsakizia hata kama hakumpa mimba hyo.
Kumbuka mama bora haweZi kumjeruhi mwanae katika hali yoyote ile iwe shida au raha.Maneno mazito sana
Utafanyeje sasa wakati mama anasema mtoto ni wakoImagine unalea mtoto sio wako π π π π
Akili kumkichwaJe akiwaza ni mimi ndio mimi kweli au ni technique?
Kiufupi mwanamke mwenye mimba yako na anakupenda kweliHebu funduka zaidi
imagine kabla ya kuniambia na mimi nilikuwa na dalili za mama mjamzito kwenye kula π π π πUtafanyeje sasa wakati mama anasema mtoto ni wako