Amour Shaaban Abdallah
Member
- Jan 12, 2017
- 9
- 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezungumza kwa jinsi uwaonavyo, siri za ndoa zina wenye ndoainawezekana na wanatulia sana.nlishashuhudia.jamaa kamuoa changudoa doa.walienda kupima.wakakuta wote wapo fit wakaoana.na sasa hivi wanawatoto wawili.kwa sasa tunamuita mama dullah na heshima na utii.mia
Ndio maana nkasema , when she turns bad, she is gone foreverNo man capable of building trust on his wife after finding her at the incident of cheating, even if she makes confession and settle in her marriage,...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano wenye uhai wake huuMwanamke anaejiuza kumuoa yataka moyo. Maana ni sawa na wewe uwe na gari yako umemkabidhi dreva afanye taxi, then baada ya miezi kadhaa ukabadirisha matumizi ya gari yako ya kuwa inatumika kwa matumizi ya kuendea sokoni tu ila dreva ni yule yule, je wale abiria wazamani wakimpigia simu awa rush sehemu then wanamlipa unazani atakataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda wanbadilika kweli au wanabadili approach ya namna ya kufanya hyo biashara akiwa kwenye ndoaWapo wanaobadilika na kutulia kabisa.
Muoe tu mkuu, sio kila anayejiuza anapendaMada imenigusa sana! Me mwenyewe kama mwezi hivi umepita nimeng'oa girl pale ambiance club,kwa mazingira niliyomkamatia japokuwa ilikuwa ni ndani club but inaonyesha anauza nyapu! Tangu that day yule binti ananicall sana and anasema ananipenda sana,huwa ananipipigia simu ananipa niongee na marafiki zake! Siku hizi hata hela haniombi. Ni kama wiki imepita aliniambia anataka 2kachek ngoma coz amechoka kutumia ndomu nami! Me sina girl permanent bado,nipo kwangu naish alone! Sasa najiuliza if the girl can be trusted and naweza ishi naye ikiwezekana 4ever?? Mtoto yupo vizuri sana,hata age yake bado ndogo kama 20 yrs hv
mada ni hivi kweli upo uwezekano wa malaya anayejiuza akawa mke mwema zaidi ya yule mwanamke ambaye hajawahi fanya hiyo biashara
Huwezijua sababu na wewe ni malayampaka leo na utu uzima wangu sijui maana ya Malaya?
Mnapambana eti?Mada imenigusa sana! Me mwenyewe kama mwezi hivi umepita nimeng'oa girl pale ambiance club,kwa mazingira niliyomkamatia japokuwa ilikuwa ni ndani club but inaonyesha anauza nyapu! Tangu that day yule binti ananicall sana and anasema ananipenda sana,huwa ananipipigia simu ananipa niongee na marafiki zake! Siku hizi hata hela haniombi. Ni kama wiki imepita aliniambia anataka 2kachek ngoma coz amechoka kutumia ndomu nami! Me sina girl permanent bado,nipo kwangu naish alone! Sasa najiuliza if the girl can be trusted and naweza ishi naye ikiwezekana 4ever?? Mtoto yupo vizuri sana,hata age yake bado ndogo kama 20 yrs hv