Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,573
- 2,819
Ahahaha watu hawajisifii wenyeweee, ngoja mie ndo nije nikusifieNashukuru mimi nipo kwenye kundi la waelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha watu hawajisifii wenyeweee, ngoja mie ndo nije nikusifieNashukuru mimi nipo kwenye kundi la waelewa
Kwahyo na hilo tumbo lazima wajitolee mahari au wachangie kidogo ?
Ndiyo kutowapa kabisa, km kweli amenipenda na anahtj niwe mkewe naimani atatafuta tu mpk atoe, sio kiasi kikubwa ata elfu hamsini ni mahari tukwa hiyo mkuu bora kutowapa kabisaa ?
Utanipa nilipe kwa mzee wako ?Ahahaha watu hawajisifii wenyeweee, ngoja mie ndo nije nikusifie
Kuna wanaokosa hata 50 elfu kweli na wanataka kuoa ?Ndiyo kutowapa kabisa, km kweli amenipenda na anahtj niwe mkewe naimani atatafuta tu mpk atoe, sio kiasi kikubwa ata elfu hamsini ni mahari tu
Utanipa nilipe kwa mzee wako ?
Kuna wanaokosa hata 50 elfu kweli na wanataka kuoa ?
Hakuna matata[emoji3][emoji3][emoji3] hpn ww ujitahd tu mwenyeweeee
Labda hana nia zaidi ya ku smash tuApo sijui kwa kweli, lbd hana nia
Yah, huo ndo uanaume , unaweka heshima.Hakuna matata
nitapambana
Yah, ale asepe bsLabda hana nia zaidi ya ku smash tu
huyo sio mume tenaYah, ale asepe bs
Wapo kibao tuKuna wanaokosa hata 50 elfu kweli na wanataka kuoa ?
basi ni hatariiiiWapo kibao tu
Nitaleta jogoo kwa kuanzia😎Alipe tu hata mbuzi 1 kama vipi ,ila kujitolea mwenyewe khaa, hapanaa
Wazazi hawakuogopa Dada yako ataishije huko mkuu?Mmhhh!! Hapana kwa kweli kujioa, nakumbuka shemeji angu alioa dada angu kwa 50000 kwa sababu hali yake kiuchumi haikua nzuri, hivyo dada aliwaeleza ukweli wazazi na wazazi wakapanga mahari kulingana na hali halisi ya muoaji
Hahaa, fresh tuu haina haja ya kuongezaNitaleta jogoo kwa kuanzia[emoji41]