Je, mwenyekiti Mbowe ni mtu huru?

Je, mwenyekiti Mbowe ni mtu huru?

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari JF,

Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .

Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.

Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?

Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
 
Sasa mkuu unataka waingie barabarani.

Nyerere asingekaa na wakoloni unadhan tungepata uhuru mwaka gani.
Waki kaa pamoja na mkoloni mweusi [ CCM ], ki vipi wataweza kumuondosha ?
 
Msimamo una hitaji uvumilivu wa muda mrefu sana kutokana na ugumu unao pitia ili dhumuni lenu kuu liapate kutimia.

Bila kuwa na msimamo chama cha siasa kina geuka kuwa kikundi cha wasakatonge.
 
Mkuu swali fikirishi sana hilo... Niwachache sana wenye uwezo wa kukuelewa...
Habari jf ,namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .

Kwa hali ilivyo ya maisha ya watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu lissu .

Hivi mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani ?

Je Mwenyekiti yuko huru kweli ? Au ni mfungwa anae tembea na kutekeleza maagizo aliyopewa ?
Mkuu hili ni swali fikirishi kweli, na ni watu wachache sana wenye uwezo wa kukuelewa..
Mbowe ni mtu huru kabisa, hakuna mtu aliyemzuia Mbowe.

Muda huo huo, Mbowe ni mfungwa. Ni mfungwa kwa kushindwa kueleza finance za chama zinaenda vipi. Ni mfungwa huru, ni mfungwa mwenye mapenzi na chama na mke mdogo pesa. Kumpinga mtawala ni kama kufanya usaliti, ni kumpinga mfadhili anayekufandhili mfuko na chama..

Mbowe ni mfungwa huru
 
Habari JF,

Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .

Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.

Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?

Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?

Historia ndio utoa taarifa kamili ya mtu alivyo, Mbowe ni muhuni tu kwa taarifa yako fupi alikuwaga DJ pale bilcans club, fatilia historia za watu aina ya Mbowe utapata jibu.
 
Historia ndio utoa taharifa kamili ya mtu alivyo, Mbowe ni muhuni tu kwa taharifa yako fupi alikuwaga DJ pale bilcans club, fatilia historia za watu aina ya Mbowe utapata jibu.
Mkuu usimhukumu mtu kihostoria.. mbona kuna viongozi wasanii, wanamitindo au video vixen, madreva bodaboda. Pia Mbona kuna wasomi waliopita shule za dini majambazi..
 
 
Habari JF,

Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .

Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.

Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?

Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
Nakuambia hakuna mtu wa kutegemewa upinzani na Tanzania nzima kama Mbowe. Mkimpoteza mtasubiri miaka 20 ijayo.
 
Wakati Yuko rumande mtanzania gani aliandamana? Muacheni na yeye ale
Binadamu haishi kwa mkate tu.
Tunahitaji kuwaza zaidi ya mkate wa kila siku
Umasikini wa fikra na mali unatufanyabtuwaze kula, kulamba asali na vinavyofanana na hivyo.
Ni muhimu tujitoe mhanga kwa ajili ya vizazi vijavyo hata kama hatuna hakika ya mkate wa siku zote za maisha yetu.
Vizazi vijavyo ni muendelezo wa maisha yetu na hivyo tusifikirie kibinafsi kwa kuishia kwenye uhai wa nafsi zetu tu.
Maendeleo endelevu kwa jamii na taifa hadi dunia na ulimwengu kwa ujumla yatakuwepo tu baada ya fikra za kibinafsi kuondoka.
 
Mkuu usimhukumu mtu kihostoria.. mbona kuna viongozi wasanii, wanamitindo au video vixen, madreva bodaboda. Pia Mbona kuna wasomi waliopita shule za dini majambazi..
Unataka nitaje mpka na majambazi tena majambazi wa magari huko kwenu?,acha tumwongelee tu mzee Haikael
 
Binadamu haishi kwa mkate tu.
Tunahitaji kuwaza zaidi ya mkate wa kila siku
Umasikini wa fikra na mali unatufanyabtuwaze kula, kulamba asali na vinavyofanana na hivyo.
Ni muhimu tujitoe mhanga kwa ajili ya vizazi vijavyo hata kama hatuna hakika ya mkate wa siku zote za maisha yetu.
Vizazi vijavyo ni muendelezo wa maisha yetu na hivyo tusifikirie kibinafsi kwa kuishia kwenye uhai wa nafsi zetu tu.
Maendeleo endelevu kwa jamii na taifa hadi dunia na ulimwengu kwa ujumla yatakuwepo tu baada ya fikra za kibinafsi kuondoka.
Mabarabara yamejaa nchi nzima kaitishe maandamano uyaongoze, Mbowe kaamua kufanya mazungumzo
 
Habari JF,

Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .

Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.

Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?

Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
mlipoambiwa muandamane kipindi cha uporwaji wa kura mlisema aandamane na watoto wake so na nyinyi pambaneni na familia zenu.
 
Back
Top Bottom