Je, mwenyekiti Mbowe ni mtu huru?

Je, mwenyekiti Mbowe ni mtu huru?

Habari JF,

Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .

Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.

Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?

Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
Ingekuwa ni mama yako ulitaka afanyaje?
 
Mbowe ni Mwenyekiti wetu ila kwa sasa na Mimi napata Shaka sana .

Uzuri wa sheria za Tanzania hazina ukomo wa kusajili vyama. Anzisha chama chako, kuwa mwenyekiti. Tafuta wanachama wanaoweza leta mabadiliko maisha yaendelee.

Achana na hao akina Mbowe.
 
Back
Top Bottom