Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
majambazi wa magari wa hisia wakati polisi wapo.Unataka nitaje mpka na majambazi tena majambazi wa magari huko kwenu?,acha tumwongelee tu mzee Haikael
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majambazi wa magari wa hisia wakati polisi wapo.Unataka nitaje mpka na majambazi tena majambazi wa magari huko kwenu?,acha tumwongelee tu mzee Haikael
Hii ni Afrika sio China, U.S.A wala Ulaya unapaswa kufahamu hilo kwanza.Maslah ni kwa nchi hata kama wahafidhina hawataki
Mkuu Tanzania haikuwa koloni la Uingereza, bali uingereza alikabidhiwa kututawala hadi tuwe tayari kujitawala. Waingereza hawakuwahi kuwa na uchu wa kuitawala Tanzania, vinginevyo tusingepata uhuru wa maongezi. Huo uhuru tulipewa na UN baada ya Nyerere kwenda kusema tuko tayari, kumbe naye alitaka atutawale hadi afie madarakani. Kwa bahati mbaya aliharibu uchumi katika kiwango kilichomfanya aone aibu hadi kung'atuka.Sasa mkuu unataka waingie barabarani.
Nyerere asingekaa na wakoloni unadhan tungepata uhuru mwaka gani.
Kwamba? Maslah ni nin hasa kwa wanasiasaHii ni Afrika sio China, U.S.A wala Ulaya unapaswa kufahamu hilo kwanza.
Maslahi ya CCM ni kushika nchi iwe ni kwa nguvu za dola au ni kwa bao la mkono.Kwamba? Maslah ni nin hasa kwa wanasiasa
Habari JF,
Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .
Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.
Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?
Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
Ni mfungwa huru kwasababu kesi ilimalizwa kwa mashart ndio maana alipotoka tu lupango kaenda moja kwa moja kuookea maagizoMkuu swali fikirishi sana hilo... Niwachache sana wenye uwezo wa kukuelewa...
Mkuu hili ni swali fikirishi kweli, na ni watu wachache sana wenye uwezo wa kukuelewa..
Mbowe ni mtu huru kabisa, hakuna mtu aliyemzuia mbowe...
Muda huo huo, Mbowe ni mfungwa. Ni mfungwa kwa kushindwa kueleza finance za chama zinaenda vipi. Ni mfungwa huru, ni mfungwa mwenye mapenzi na chama na mke mdogo pesa. Kumpinga mtawala ni kama kufanya usaliti, ni kumpinga mfadhili anayekufandhili mfuko na chama..
Mbowe ni mfungwa huru
Kama kawasahau wewe si una Mdomo? Kwani Mvowe kazaliwa kuwasemea nyie? Alivyo.kamatwa ulitoka hadhalinu kulaani?Habari JF,
Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .
Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.
Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?
Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
Kabisa, kila mtu ana mdomoWakati Yuko rumande mtanzania gani aliandamana? Muacheni na yeye ale
Muacheni Mbowe maana hata akisema muingie barabarani mnajificha anabaki anateseka yeye na familia yake, mna ushujaa huku kwenye key board, amejaribu kila njia kuitsha maandamano, kupinga utawala na kususia uchaguzi lakini kila anachofanya mnamkebehi sijui mnataka afanye niniHabari JF,
Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA .
Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu.
Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi tunapigana watoke madarakani?
Je, Mwenyekiti yuko huru kweli? Au ni mfungwa anayetembea na kutekeleza maagizo aliyopewa?
Kabisaa, kila anachofanya hapati kuungwa mkono sijui watu wanadhani mbowe amezakiwa kwa ajili ya kuwafia msalabani?mlipoambiwa muandamane kipindi cha uporwaji wa kura mlisema aandamane na watoto wake so na nyinyi pambaneni na familia zenu.
Historia ndo utoa taharifa kamili ya mtu alivyo, mbowe ni muhuni tu kwa taharifa yako fupi alikuwaga Dj pale bilcans club,fatilia historia za watu aina ya mbowe utapata jibu.
Kwani upinzani tunahuhitaji?Nakuambia hakuna mtu wa kutegemewa upinzani na Tanzania nzima kama Mbowe. Mkimpoteza mtasubiri miaka 20 ijayo.
Jamii Forum una muda Gani kijana?Kuna mwenye proof kuwa huyu bwana alikuwa dj?
Kwamba CCM atawapa nchi kwa mazungumzo .Mkuu Tanzania haikuwa koloni la Uingereza, bali uingereza alikabidhiwa kututawala hadi tuwe tayari kujitawala. Waingereza hawakuwahi kuwa na uchu wa kuitawala Tanzania, vinginevyo tusingepata uhuru wa maongezi. Huo uhuru tulipewa na UN baada ya Nyerere kwenda kusema tuko tayari, kumbe naye alitaka atutawale hadi afie madarakani. Kwa bahati mbaya aliharibu uchumi katika kiwango kilichomfanya aone aibu hadi kung'atuka.
Kwamba CCM atawapa nchi kwa mazungumzo .
Mbowe ni Mwenyekiti wetu ila kwa sasa na Mimi napata Shaka sana .Siamini huo utapeli uitwao mazungumzo.
Ndio ajira aliyo chaguaWakati Yuko rumande mtanzania gani aliandamana? Muacheni na yeye ale
Daaa ila mazungumzo na CCM inafikirisha sana .Siamini huo utapeli uitwao mazungumzo.