Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
2,869
Reaction score
3,187
Tangu Chombo cha Wamarekani Apollo 11 kilichoongozwa na Neil Armstrong kimefika mwezini mwaka 1969, ni miaka 50 sasa, hakujawahi tena kupelekwa wanaanga wengine mwezini. Nini kilijiri kwenye hiyo safari? Why Wamarekani na mataifa mengine walipoteza interest na Mwezi?
Je, hiyo haiwezi kuwa imetokana na kwamba, kuna kitu Wamarekani walikutana nacho ila hawataki kueleza ukweli?
IMG_5349.jpg

Hata hivyo kuna Wasomi wa Conspiracy Theory, wanaamini kuwa, Mwezi ni artifial creation na ulitengenezwa na unknown Intelligent Beings kwa lengo la kutupeleleza.
Wasomi hao wanadai kuwa, kulingana na stori za Apollo 11 mwaka 1969, wakati wa kutua kulisikika mtetemo uliofumu muda mrefu hali inayoonyesha kuwa ndani ya mwezi ni hollow. Eneo la nje, limetengenezwa kuwapumbaza wanadamu.
Baadhi ya story za miaka ya zamani zinaeleza kuwa, zamani mwezi huo haukuwepo.

IMG_5350.jpg


IMG_5360.jpg
IMG_5363.jpg


Wajuvi njooni muvavadue hizi Conspiracy Theories zenye mambo magumu na mazito kama haya.
 

Attachments

Last edited:
Tangu Chombo cha Wamarekani Apollo 11 kilichoongozwa na Neil Armstrong kimefika mwezini mwaka 1969, ni miaka 50 sasa,
Wajuvi njooni muvavadue hizi Conspiracy Theories zenye mambo magumu na mazito kama haya.
hahahaa kwajili ya kutupeleleza? sasa wataexplain vip ukweli kwamba sayari ya jupiter isio na dalili yoyote ya kuwapo uhai ina miezi zaidi ya sitini? jee hizo sattelites zaidi ya sitini zinamchunguza nani huko jupiter? mars nayo ina mwezi pia je mwezi wa huko unawapeleleza kina nani huko mars?
 
hahahaa kwajili ya kutupeleleza? sasa wataexplain vip ukweli kwamba sayari ya jupiter isio na dalili yoyote ya kuwapo uhai ina miezi zaidi ya sitini? jee hizo sattelites zaidi ya sitini zinamchunguza nani huko jupiter? mars nayo ina mwezi pia je mwezi wa huko unawapeleleza kina nani huko mars?
Hata mimi limenifikirisha sana hilo kwa muda mrefu tangu nilipokutana na hii theory. Cha ajabu, Sayari zote zina miezi ukiacha Pluto. Lakini angalizo ni hili: Nani alikwambia kuwa Sayari nyingine hazina uhai? Je, siyo hao hao wanaoweza kuwa wanatudanganya kuhusu uwepo/kutokuwepo kwa Aliens? Je, unadhani ukisikia uhai unategemea ufanane na wa kwetu?
Hilo haliwezekani. Kumbuka Big Bang ndio iliyozaa sayari zote na all heavenly bodies lakini ziliumbwa (formed) kwa kipindi tofauti. Kuna Galaxies zina umri mkubwa kuliko hata Milk Way ambayo ni ya kwetu. Sasa, kama kuna Galaxy, ama Sayari ni older or even much older kuliko yetu, there is a great possibility kuwa zina more intelligent creature than we human beings.
Usisahau kuwa, sisi wanadamu tuna umri mdogo wa miaka chini ya milioni 5. Au viumbe vyote kwenye Dunia yetu vina umri wa chini ya miaka bilioni 3.6 ya Evolution. So fikiria huko angani kuna civilization ina miaka hata milioni 100 pekee, watakuwa na uwezo gani, kama sisi tumetumia miaka 6,000 (3,500 BC - 2,018) pekee ya Civilisations?
IMG_5370.JPG
 
Hata mimi limenifikirisha sana hilo kwa muda mrefu tangu nilipokutana na hii theory. Cha ajabu, Sayari zote zina miezi ukiacha Pluto. a uwezo gani, kama sisi tumetumia miaka 6,000 (3,500 BC - 2,018) pekee ya Civilisations?
View attachment 817786
ni kweli mkuu ila tusiongelee other galaxies tufokasi milkway especially our solar system, ndio nkauliza kama hiyo claim ya kuwa pengine mwezi ni artificial sattelite inayospy sisi je vp kuhusu jupiter ile miezi yote iliokuwako pale nayo ni artificial? je kwe mars nako ambako hakuna dalili yyte ya uhai nako Phobos and Deimos nazo zinamspy nani? mi sikubaliani na hao jamaa ingawa kwakweli mwezi nao ukiangalia sana kwa maelezo wanayosema wanasayansi pia hata ukicheki image zake yaani ni full maajabu kwakweli
 
Mwezi hajauweka binadamu ila Muumba. Watu kufika mwezini kunanitatanisha ni kweli?? Tutajifunza mengi kuhusu sayari na nyota ila kukaribia huko ni miujiza. Waende kwenye jua tuwaone!!!
 
Hakuna kitu kinaitwa ALIEN ni mipango yao tu wazungu na movies zao kujaza watu imagination za kipumbavu ndio maana mpk now unaamini kweli kuna aliens. Dunia ina miaka sijui milioni sijui bilioni hao allien mpk leo bado hawajakusanya data za kutosha tu tangu hatujagundua moto mpaka sasa kuna ma sky scraper?? Hao Aliens watakuwa vilaza kupindukia.
Achana na stori za abunuasi za kizungu
 
Back
Top Bottom