Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

Mwezi hajauweka binadamu ila Muumba. Watu kufika mwezini kunanitatanisha ni kweli?? Tutajifunza mengi kuhusu sayari na nyota ila kukaribia huko ni miujiza. Waende kwenye jua tuwaone!!!
sas mkuu kama vyombo vinatumwa vinafika kwann binadamu asifike? umbali kati ya dunia na mwezi ni km 384,000 tu pana umbali gani hapo wkati watu wametuma vyombo mpk kwe orbit ya jupiter huko karibu KM milioni 300 na zaidi
 
Nimesema wananitatanisha, ila ukiweka wazi na kuongea na mtu aliyefika mwezini utuelimishe.
 
Kwani mwezi ni gimba moja tu ulimwengu mzima? Mbona tunaambiwa dunia ina miezi 12, hii idadi maana yake nini??? Sayari zingine tunaambiwa zina miezi 9, n.k. ufafanuzi hapo...me nafikiri miezi ni magimba mengi tu kama zilivyo nyota au sayari
 
ni kweli mkuu ila tusiongelee other galaxies tufokasi milkway especially our solar system, ndio nkauliza kama hiyo claim ya kuwa pengine mwezi ni artificial sattelite inayospy sisi je vp kuhusu jupiter ile miezi yote iliokuwako pale nayo ni artificial? je kwe mars nako ambako hakuna dalili yyte ya uhai nako Phobos and Deimos nazo zinamspy nani? mi sikubaliani na hao jamaa ingawa kwakweli mwezi nao ukiangalia sana kwa maelezo wanayosema wanasayansi pia hata ukicheki image zake yaani ni full maajabu kwakweli
Nakubaliana na hoja yako juu ya sayari kibao kuwa na miezi. Hata hivyo, kama nilivyokwambia, concept ya uhai achana nayo kabisa. Kuna hofu kuwa Aliens wanaweza kuwa wako pamoja nasi but hatuwaoni coz probably wana uwezo wa kujibadilisha.
Kwa kuwa, haya mambo ni fikirishi, jiulize maswali haya:
  • Watu waliokufa (mahakama) ambao mababu zetu waliabudu/wanaabudu wako wapi?
  • Majini yanaishi wapi?
  • Mizimu inaishi wapi?
Mbona makundi yote hayo yanaelewa vyema sisi tunachowaza wakati sisi hatuelewi chochote juu yao?
Ulishawahi kusikia juu ya Annunaki? Fuatilia kwanza Sumerian Civilisation na hawa watu, utasaidia sana bandiko hili kwani tutaupanua mjadala zaidi.
Fuatilia pia juu ya theory ya Sayari ya Nibiru (Planet X).
 
Kwani mwezi ni gimba moja tu ulimwengu mzima? Mbona tunaambiwa dunia ina miezi 12, hii idadi maana yake nini??? Sayari zingine tunaambiwa zina miezi 9, n.k. ufafanuzi hapo...me nafikiri miezi ni magimba mengi tu kama zilivyo nyota au sayari
Sawa unaongea fact. But the problem is that truth does not necessarily means reality. So tukubali kujifunza zaidi kwa sababu kujua kuwa, Jupita ama Saturn ina miezi mingapi ni elimu ya Primary but suala la kuhisi tu kuwa, ndani ya mwezi kunaweza kuwepo hollow, siyo elimu ya layman tu kama sisi, ni lazima watu wametengeneza hypotheses zao.
Mnakumbuka zamani, wanadamu waliamini Jua ndilo linalozunguka Dunia mpaka Karne ya 17 wakati Isaac Newton alivyokuja na Gavitational Force Theory, ndipo alipoweza kuconvince conclusively juu ya Dunia kuzunguka Jua, licha ya akina Johannes Kepler, Galileo Galilei na Plato kusimamia theory ya Dunia kuizunguka Jua tangu miaka 1500-1600 AD na ya 300 BC respectively.
 
Sawa unaongea fact. But the problem is that truth does not necessarily means reality. So tukubali kujifunza zaidi kwa sababu kujua kuwa, Jupita ama Saturn ina miezi mingapi ni elimu ya Primary but suala la kuhisi tu kuwa, ndani ya mwezi kunaweza kuwepo hollow, siyo elimu ya layman tu kama sisi, ni lazima watu wametengeneza hypotheses zao.
Mnakumbuka zamani, wanadamu waliamini Jua ndilo linalozunguka Dunia mpaka Karne ya 17 wakati Isaac Newton alivyokuja na Gavitational Force Theory, ndipo alipoweza kuconvince conclusively juu ya Dunia kuzunguka Jua, licha ya akina Johannes Kepler, Galileo Galilei na Plato kusimamia theory ya Dunia kuizunguka Jua tangu miaka 1500-1600 AD na ya 300 BC respectively.
Sijui nishike lipi niache lipi. Kwani umeelewa swali langu mkuu?
 
huko peke yako mkuu km universe ina mamilioni ya sayari iweje viumbe hai tuwe sisi tu kwe sayari hii moja? lazima wapo wengine sema umbali ndo kikwazo maana wanaweza kuwa kwe galaxies zngne huko hatuwez kufika
yaani nataman sku moja tujikute tunspishana na hao wengine(kama wapo) kwa ukaribu ili nione itakacho tokea...

au ivumbuliwe teknolojia ya kuhamisha dunia kwa kasi hii hii iliyo nayo kutoka kwenye 'obiti yetu kwanda kwenye obiti nyinginezo'
 
Nakubaliana na hoja yako juu ya sayari kibao kuwa na miezi. Hata hivyo, kama nilivyokwambia, concept ya uhai achana nayo kabisa. Kuna hofu kuwa Aliens wanaweza kuwa wako pamoja nasi but hatuwaoni coz probably wana uwezo wa kujibadilisha.
Kwa kuwa, haya mambo ni fikirishi, jiulize maswali haya:
  • Watu waliokufa (mahakama) ambao mababu zetu waliabudu/wanaabudu wako wapi?
  • Majini yanaishi wapi?
  • Mizimu inaishi wapi?
Mbona makundi yote hayo yanaelewa vyema sisi tunachowaza wakati sisi hatuelewi chochote juu yao?
Ulishawahi kusikia juu ya Annunaki? Fuatilia kwanza Sumerian Civilisation na hawa watu, utasaidia sana bandiko hili kwani tutaupanua mjadala zaidi.
Fuatilia pia juu ya theory ya Sayari ya Nibiru (Planet X).
nakubaliana na ww ila tatizo moja linalokuja bwana kwe mijadala kama hii ni pale ambako mnajadili from scientific point of view halafu mkamix na mythology, supernatural powers discussion huwa inakuwa ngumu sana aisee maana kuna kuwa na vitu vingi ambavyo ni ngumu kuviprove, mfano km mtu anasema mwezi huu ni artificial sattelite mi ningeweza hoji imewezaje kuzunguka miaka yote hio around the earth wakati haina fuel yoyote ile tofauti na sattelite ze2 ambazo zinaznguruka huko juu? ila kama kuna supernatural powers hapo siwez bisha maana hazionekan so hujui kama zipo au la na kwa mantiki hio alichokileta mtoa uzi itakuwa sawa
 
Ww naona kama unaelekea kunijibu. Enhe...ebu fafanua sasa
mwezi(sattelite) ni kitu chochote kile kinachozunguka orbit ya sayari , kuna aina mbili mwezi wa asili-natural sattelite(moon) pia kuna vile vinavyoyengenezwa na binadamu)artificial sattelites) zile ambazo kina nasa na wengineo huwa wanarusha juu huko kwa rocket zao..sasa kuna sayari zngne zina miezi yao zngne haijulikani kama zinazp au la mfano sayari yetu ina mwezi mmoja tu wa asili ule tunaouonaga usiku, sayari ya mars ina miezi miwili ya asili inayojulikana mpk sasa halafu jupiter ina miezi yake ya asili kama 69 hivi
sasa mwezi mwngne ni month- huu ni muda ambao mwezi wetu huu wa asili hutumia kuzunguka dunia ambako ,mzunguko mmoja(mwezi mmoja_ huchukua kama sikiu 29 hivi kukami;lika, sijui kama nimejaribu kujieleza vizuri
 
yaani nataman sku moja tujikute tunspishana na hao wengine(kama wapo) kwa ukaribu ili nione itakacho tokea...

au ivumbuliwe teknolojia ya kuhamisha dunia kwa kasi hii hii iliyo nayo kutoka kwenye 'obiti yetu kwanda kwenye obiti nyinginezo'
aisee yaan sijui itakuwaje...ila unajua hizi galaxies zina mtindo wa kumove pia huwa zinamerge..mfano wanasayansi wanadai kuwa hii galaxy yetu ilikuwa na sibling wake enzi hizo ila sema ilimerge na galaxy nyingine, pia kuna nyota zngne inasemekana zina nguvu mara laki tano zaidi ya jua letu sasa nyota kama hio ikisogea karibu na solar system yetu usishangae ikapokonya baadhi ya sayari aisee..najaribu tu kuimagine
 
Tangu Chombo cha Wamarekani Apollo 11 kilichoongozwa na Neil Armstrong kimefika mwezini mwaka 1969, ni miaka 50 sasa, hakujawahi tena kupelekwa wanaanga wengine mwezini. Nini kilijiri kwenye hiyo safari? Why Wamarekani na mataifa mengine walipoteza interest na Mwezi?
Je, hiyo haiwezi kuwa imetokana na kwamba, kuna kitu Wamarekani walikutana nacho ila hawataki kueleza ukweli?
View attachment 817735
Hata hivyo kuna Wasomi wa Conspiracy Theory, wanaamini kuwa, Mwezi ni artifial creation na ulitengenezwa na unknown Intelligent Beings kwa lengo la kutupeleleza.
Wasomi hao wanadai kuwa, kulingana na stori za kutoka kwenye vyombo ambavyo vimewahi kufikia mwezini, wakati wa kutua huwa kunasikika mwangwi unaoonyesha kuwa kuna ndani ya mwezi ni hollow. Eneo la nje, limetengenezwa kuwapumbaza wanadamu.
Baadhi ya story za miaka ya zamani zinaeleza kuwa, zamani mwezi huo haukuwepo.
View attachment 817744

View attachment 817745 View attachment 817746

Wajuvi njooni muvavadue hizi Conspiracy Theories zenye mambo magumu na mazito kama haya.


Kaka mimi nilicha kudanganywa kuhusu elimu ya anga kitambo sana na nikasema sitakuja kuamini elimu ya anga mpaka naingia kaburini.

Sayansi ina udhaifu mkubwa sana katika kuupata ukweli wa mambo. Baya zaidi katika hiyo iitwayo sayansi watu wanaingiza maslahi yao binafsi,watu wanaingiza sanaa na maigizo.

Watu wanaaminisha wenzi wao uongo uonekane ukweli. Kwa sisi tunao muamini Mola muumba na tuna amini siku ya mwisho,tunasema ya kuwa wanaofanya hivi watakujua kuulizwa na Mola,na watajuta.

Wakati umeenda sana na maendeleo ya Sayansi na teknolojia tunayaona,humo kuna faida na hasara pia tunakutana nazo,miongoni mwa faida ni kurahisisha jambo la siku moja kufanyika ndani ya dakika kumi na miongoni mwa hasara ni uongo kukithiri mno,nikisema mno namaanisha mno kweli kweli.

Japo mambo kadha wa kadha yamerahisishwa mno,lakini yupo msomi mmoja wa kale alipata kusema "Miaka mingi ijayo itafikia wakati jambo la siku moja litachukua wiki moja kuisha". Ukiifikiria kichwa mchunga hii kauli utaona kama haiko sahihi,ila ukweli ni kwamba hapo ndio mahala pake hasa.


Ukweli ni kwamba hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini,na mimi sikuhitaji sayansi inionyeshe kwamba ni kweli kwamba mtu hakwenda mwezino,bali mafundisho ya dini yangu yalinionyesha kutowezekana kwa binadamu kwenda mwezini.

Salamu hizi ziwafikie wote watumiao sayansi kama nyenzo madhubuti ya kuupata ukweli,tunawaambia ya kuwa Sayansi wewe unatumika vibaya na umepewa kazi usizo zimudu na hao ndio wamekufanya uwepo kwenye mainstream (utawale).
 
Hakuna mwanadamu amewahi kwenda mwezini, uongo tu wawa zungu kujifanya wana uwezo sana.
Wenyewe wanasema zaidi hapo
IMG_20180724_233151_477.jpg
 
Back
Top Bottom