Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

Hawa watu wengine unamsona halafu unashindwa hata pa kuanzia.


Sasa sijui atabisha internet anayoitumia kubisha nayo haipo? Satellites hazipo?
hahahaa sasa mtu anasema hakuna kitu kinachoitwa solar system halafu hapohapo anataja jua then anataja dunia sa unajiuliza huyu mtu anafahamu maana ya solar system?
 
Wenzetu wanajitahidi kujifikirisha sana nakuzitengenezea hisia zao ushahidi na hakika ya wanacho kihisi,hata sisi tunaweza sema kikubwa njaa ndio inatusumbua mzungu kashatoka katika kufikiria pakikucha atatoa wapi hela ya kula!!mengi kuhusu outer space ni fiction hta wao hawana uhakika
 
yaan hapo umetaja jua na dunia halafu unasema hakuna kitu kinachoitwa solar system kwani solar system ni nn mkuu?
 
hahahaa sasa mtu anasema hakuna kitu kinachoitwa solar system halafu hapohapo anataja jua then anataja dunia sa unajiuliza huyu mtu anafahamu maana ya solar system?
To be fair kataja jua kwa kusema si kubwa kama hivyo na halijazaa dunia kama alivyosema Laplace.

Kwa hiyo anaweza kutaja jua kwamba lipo dogo kama mwezi tu na halipo mbali na kubwa kama inavyosemwa.

Which would be wrong, but not necessarily illogical in and of itself.

Mimi nimepata tabu hata kupata sehemu nzuri ya kuanza kumbishia.

Unaweza kumwambia misingi iliyotumika kujua jua ni kubwa vipi na lipo umbali gani ndiyo hiyo hiyo ikiyotumika kurushabsatellite zinazotupa mawasiliano ya internet, akakwambia internet inaendeshwa na akiens na satelliete hazipo ni uongo tu.

Sasa ukishaina mtu ana uelekeo huo, inabidi kumtafutia sehemu nzuri ya kuanza kumbishia.

Anaweza kukuburuza kwenye ujinga na kukushinda kwa uzoefu wake alionao katika kutetea ujinga kama alivyosema Einstein.
 
Last edited:
huko peke yako mkuu km universe ina mamilioni ya sayari iweje viumbe hai tuwe sisi tu kwe sayari hii moja? lazima wapo wengine sema umbali ndo kikwazo maana wanaweza kuwa kwe galaxies zngne huko hatuwez kufika
Kwahiyo binadamu wa dunia pekee ndo mwenye uwezo wakung'amua haya yote?sio wenzie wahuko mars na jupiter
 
Uhakika ni nini?
 
Kwahiyo binadamu wa dunia pekee ndo mwenye uwezo wakung'amua haya yote?sio wenzie wahuko mars na jupiter
mhhh sijui kama kuna binadamu wengine kwe sayari ya mars na jupiter mkuu
 
Kipanga ninajua una tatizo kubwa ambalo kama hukuli-solve primary ni ngumu kutoboa tena. Nakumbuka tukiwa Form V, nililazimika kuwafundisha wenzangu darasani juu ya namna tunavyojikuta tunaliona jua likiwa juu yetu. Hili tatizo najua wanalo wengi.
Ngoja nijaribu kuchora pembeni ili niwaonyeshe kama nitafanikiwa.


Angalia picha ya mtu amesimama nje ya nyumba anataka kuingia ndani. Sasa, hebu fikiria hapo si akinyanyua kichwa chake tayari ataliona jua kama liko juu yake? Hata hivyo siyo kwamba liko juu yake bali Dunia ndio imefika usawa wa kati katika mzunguko wake (Rotation) wa masaa 12 ya mchana (day) kwenye Mhimili (Axis) wake. Wakati wa usiku huwa tunaona mwezi utosini unapofika katikati ya usawa wa masaa 12 ya kuizunguka Dunia wakati wa giza (dark hours). So kwa mtu anayeishi Ncha ya Kaskazini, ataliona Jua la utosini (la saa Sita) wakati Dunia iko juu ya Jua (December 22 kipindi cha Winter) ama chini ya Jua (June 21 kipindi cha Summer).
 
Kama hawa jamaa walikwenda mwezini wasingeshindwa kwenda kwa mara nyingine na kwa jinsi teknolojia wangekuwa wanarusha kwenye luninga live mwanzo wa safari mpaka mwisho.
 
Kuwa na ushahidi mahususi usio na chembe za walakini
Inawezekana kuwa na ushahidi mahususi usio na chembe za walakini kwamba jambo ni kweli ikiwa jambo si kweli?
 
Siamini lolote linalosemwa na NASA mambo mengi wanayotuambia ni uongo tu.
 
Inawezwkana huko Jupiter kukawa na suspicious activities more than others ambazo hao wanasayansi hawajazigundua ila the so called ALLIENS wakawa wanazijua
 
Pluto na Mwezi wake wa Charon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…