Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

kutakuwa na kitu cha kuambatanishwa kwenye soli kilicho acha alama hizo kama ambavyo hilo vazi hapo kwenye mikono lazima paunganishwe na kipande kingine pindi mtu avaapo hebu cheki picha hii
View attachment 817960

contradiction kubwa ni kuhusu bendela wanasema huko kuna upepo wa kuifanya ipepee kama hivyo? hebu tizama picha hapa chini
View attachment 817974
Kwann unakubaliana na uongo wa kiasi hiki?,kweli usiku totoro unaoonekana hapo na anga la mwez liwe halina hata nyota moja inayong'aa? Mbali na hivyo hi ni mwanga upi uliotumika kuwamulika hapo maana kama jua inamaana uo mwanga ungechukua umbali mrefu kwa maana seem hiyo uyo mtu aliposimama panaonekana ni tambalale yenye changa jingi sasa inakuwaje kama kamulikwa na tochi hivi na uo mwanga kuchukua distance ndg ya uangavu,VINGINE TUSIWE TUNABEBA TUVIACHE BWANAA!
 
Pia ukiangalia kwenye picha hii wanasema kwamba eneo ambalo amesimama ukiangalia kwa nyuma ni mita chache tu eneo linaonekana kama limefika ukingoni na ukiangalia kutoka kwenye reflection ya helment yake utaona kwa mbele pia ni mita chache tu eneo kama linaenda ukingoni, je surface of the moon ni ndogo kiasi hicho?View attachment 818026View attachment 818028
Ndomana walikaa kimya walishajua walibugi.
 
Kwanza nakurekebisha kauli,mimi sio kwamba nadhani,bali nina uhakika hali wa shani zoezi hilo la mtu kwenda mwezini halieezekani na halitowezekana.

Zifuatazo ni sababu :

1. Allah aliyetukuka ameweka vizuizi katika anga lake kwa hekima,kwanza kuzuia majini wasiende kuchukua siri,ndio maana huwa wanapigwa na vimondo,japokuwa wana sayansi vichwa mchunga hikataa bila kuleta ushahidi wowote.

Rejea aya hizi kuona katazo : al-Furqan : 61,as-Saffaat : 6-10,al-Hijr : 17,al-Jinn : 8-9.

2. Pili katika hadithi hassan,mtume anasema umbali wa kutoka duniani (ardhini) kwenda mbinguni ni miaka 73,hii ni kwa umbali wa juu zaidi.

Sasa wao huchukua masiku kadhaa kufika huko,na kwa wao wanavyo dai mwezini hakuna gravity,sasa wanawezaje kutembea au kufanya shughuli zao hali ya kuwa hakuna gravity.

Lakini kwao wao vile vita vya mataifa mawili (Urusi na Marekani),ndio viliwapelekea kuigiza tukio hili la uongo huko marekani katika eneo liitwalo "Area 51"

Ona sasa jinsi nyakati zilivyowaumbua.

Kama utakuwa na maswali juu ya hizo aya utaniuliza ili nikupe ufafanuzi zaidi.

Na Allah anajua zaidi.
Who is allah???
 
Hakuna mwanadamu amewahi kwenda mwezini, uongo tu wawa zungu kujifanya wana uwezo sana.
Ni bora kumuamini nani? Wewe na wenzako mnaojikusanya nchi nzima kusheherekea mapokezi ya kununua dreamliner, au wanaozingeneza hizo dreamliner na wala hawafanyi sherehe ya kitaifa?!!
 
hahahaa kwajili ya kutupeleleza? sasa wataexplain vip ukweli kwamba sayari ya jupiter isio na dalili yoyote ya kuwapo uhai ina miezi zaidi ya sitini? jee hizo sattelites zaidi ya sitini zinamchunguza nani huko jupiter? mars nayo ina mwezi pia je mwezi wa huko unawapeleleza kina nani huko mars?

Shangaa na wewe! Eti ni artificial basi watuambie huo mwezi ulitengenezwa lini na akina nani waliitengeneza.
 
jana aliens walikuwa wana upgrade system zao kwenye hicho chombo chao mwezi, hivyo kupelekea kuzima baadhi ya servers na hivyo tukakosa acces ya mwanga hapa duniani
 
Voyager 1 and 2 za Wamarekani zimeshatoka kwenye Solar System.

Ukiwaambia wapo Mars watu hawa unawashusha.

Halafu si "wazungu". Wamarekani. Wapo watu wa kutoka kila sehemu ya dunia.

Hata simu ukisikia Kiranga Mnyamwezi wako nawakilisha Bongo chama la NASA (hata kwa ufagizi tu, si lazima niruke angani, kwanza nina ngiri kubiringita zero gravity siwezi) usishangae sana.
ahhahaha kubitingita kwenye ombwe huku unangiri ni hatari
 
Hakuna kitu kinaitwa ALIEN ni mipango yao tu wazungu na movies zao kujaza watu imagination za kipumbavu ndio maana mpk now unaamini kweli kuna aliens. Dunia ina miaka sijui milioni sijui bilioni hao allien mpk leo bado hawajakusanya data za kutosha tu tangu hatujagundua moto mpaka sasa kuna ma sky scraper?? Hao Aliens watakuwa vilaza kupindukia.
Achana na stori za abunuasi za kizungu
Je, mbona umma wa Marekani umekuwa ukidadisi sana juu ya tukio la Roswell mwaka 1947, pamoja na kuwepo nchini Marekani kwa eneo la siri Area 51 linalodaiwa kufanya uchunguzi wa viumbe hao?
Waislamu wanatambua kuwa majini ni viumbe kama ilivyo binadamu na kwamba viliumbwa na Mungu licha ya kwamba hawaonekani na kwamba kuna majini wazuri na majini wabaya. Je, ulishawahi kujiuliza hayo majini yanaishi wapi?
Yes, kwa wakristo, majini ni wafuasi wa shetani waliotupwa duniani but they are there. Sasa ni wapi waliko?
 
Inaelezwa kuwa, wakati wakiwa duniani, Annunaki waliotoka kwenye Sayari ya Nibiru, waliweza kuishi kwa zaidi ya miaka laki tatu (300,000) na walikuwa wakienda Mara kwa mara kwenye Mwezi kufanya uchunguzi wa masuala mbalimbali.

IMG_5503.jpg
 
Last edited:
Kuna moja ngumu kumeza..binadam tumetengenezwa na tuko katika majaribio....
 
hahahaa kwajili ya kutupeleleza? sasa wataexplain vip ukweli kwamba sayari ya jupiter isio na dalili yoyote ya kuwapo uhai ina miezi zaidi ya sitini? jee hizo sattelites zaidi ya sitini zinamchunguza nani huko jupiter? mars nayo ina mwezi pia je mwezi wa huko unawapeleleza kina nani huko mars?
Logical deduction
 
Hakuna kitu kinaitwa ALIEN ni mipango yao tu wazungu na movies zao kujaza watu imagination za kipumbavu ndio maana mpk now unaamini kweli kuna aliens. Dunia ina miaka sijui milioni sijui bilioni hao allien mpk leo bado hawajakusanya data za kutosha tu tangu hatujagundua moto mpaka sasa kuna ma sky scraper?? Hao Aliens watakuwa vilaza kupindukia.
Achana na stori za abunuasi za kizungu
Alliens are spying our drimu laina mkuu [emoji23] [emoji23]
 
Kwani mwezi ni gimba moja tu ulimwengu mzima? Mbona tunaambiwa dunia ina miezi 12, hii idadi maana yake nini??? Sayari zingine tunaambiwa zina miezi 9, n.k. ufafanuzi hapo...me nafikiri miezi ni magimba mengi tu kama zilivyo nyota au sayari
Mwalimu wako alyekufundsha geography ni kilaza sijawah ona ... Au wewe msahaulifu ... Miez kumi na mbili mkuu daah
 
Wapi nimesema uhai huo huo wa duniani wa kutegemea hewa ndio huo huo wa extra terrestrial?

Unaelewa kwamba hizo type zote za civilization ni classification according to energy use?

Unanieleza mimi Kardashev Scale leo kama mtu ambaye sijawahi kuisikia wakati mimi nimeisoma hiyo na Drake Equation USIS Peugeot House tangu 1994 ?

Nime wapa SETI cycles tangu 2000!

Sasa wewe utajuaje kwamba hawana sources tofauti kabisa za energy na hizo ulizozitaja?

Unanishambulia kwa kuwa anthropic (kitu ambacho sijafanya), halafu wewe mwenyewe unakuwa anthropic!

Unaelewa kwamba hayo maneno yako mwenyewe uliyoyaleta yanasema kwamba hizi ni habari hypothetical na usichukulie kwamba hizo civilizations zipo kwa sababu watu wame hypothesize hivyo tu?

Unaelewa hypothesis ni nini?

Unaelewa kwamba unafanya kosa ku present hypothesis kama fact?

What's next? Can the Drake Equation tell us how many intelligent communicable civilizations live in the Milky Way Galaxy?

drake-equation.jpg
Hivi mkuu we ni mtaalamu wa mambo gani naona kama wewe ni lulu makin sana
 
una sababu za kubackup claim yako mkuu?
kama wazungu wenyewe kwa wenyewe tu huko ughaibuni wanabishana kuhusu suala la akina amstrong kufika mwezini, ni vipi wewe mswahili mwenzetu unakubari kirahisi namna hii?.
 
Back
Top Bottom