Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Hii kubwa kuliko ntard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
damn true..You can question anything, that is not the point.
The point is, how are you questioning? From what context? What are your justifications? What logic do you use? What is your epistemology? Are you making testable predictions to support your critique?
For example, one can question if East is East and West is West. If your foundation is lack of arbitrariness, yes, all these sides are arbitrary and therefore not sacred.
But, if you want to circumnavigate the world, you damn well better have another way before discarding these established conventions.
So, with that in mind, how do you question gravity? Do you dispute Einstein's general theory of relativity?
How do you question the theory of reality?
ni kweli mkuu sa unafikiri utalezaje issue ya ile bendera kuonekana vile? some basic understanding kwe pysics sometime inahitajika kwakweliUmejibu kifizikia zaidi.
Hapo mtu itabidi atafute gravity mwezini, ukubwa wa bendera, material yake, uzito wake, jinsi ilivyofungwa,na jinsi uhusiano wa vyote hivyo utakavyofanya bendera ifanye.
Marekani!
Wewe huamini kuwa Mungu yupo lakini unajua kuwa yupo.Kwa hivyo ukiandika "ishu ya Mungu sote tunamjua na tunaamini ktk alivyoumba" unakuwa umekosea.
Wewe unaongelea kujua, watu wanagalaxy.Wewe huamini kuwa Mungu yupo lakini unajua kuwa yupo.
"Watu wanagalaxy" ndo uthibitisho wa uwepo wa Mungu kutokuwepo?Wewe unaongelea kujua, watu wanagalaxy.
"Uwepo wa Mungu kutokuwepo" ndiyo dubwana gani hilo?"Watu wanagalaxy" ndo uthibitisho wa uwepo wa Mungu kutokuwepo?
Unauliza Mungu ni nini? Mungu ni roho."Uwepo wa Mungu kutokuwepo" ndiyo dubwana gani hilo?
Mungu ni nini? Unaposema Mungu unamaanisha nini?
Kuna watu wanaamini Beyonve Knowles ni Mungu. Kwao. Beyonce Knowles yupo au hayupo?
meeeen your geniuz at least among many african your head is not empty , this war is not about mazungu vs waafrica its about who have vs who doesn'tHizi si zama za kukubali kushindwa kirahisirahisi kwa hoja nyepesi za "wazungu waache".
1. Kulishana matangopori ni sehemu ya ubinadamu katika kutafuta kutawala wengine. Mchezo huo wala hawajaanza wazungu. Wakati wazungu wanatangatanga katika mapango ya Ulaya hawajui hata kuandika wala kuvaa nguo, Wababeli na Wamisri walishakuwa na falme kubwa, hawa hawakuwa wazungu.
2. Habari nyingi zinazosemwa za "wazungu" si za wazungu haswa, ni habari zilizopokewa nao na kufanyiwa maboresho. Hivyo, hata sisi leo tunaweza kupitia habari zile zile ambazo tumezipata tena kutoka kwao tukaziboresha. Ukifuatilia historia ya ujuzi wa kisayansi utaona kuna mstari wa moja kwa moja kutoka maendeleo ya leo ya nchi za magharibi (Ulaya na Marekani) unaorudi nyuma kwenye ufalme wa Uingereza na Ufaransa ya "Ancien Regime" na kurudi nyuma kwenye falme za Warumi na kabla ya hapo Wagiriki, na Wagiriki walitoa habari za ujuzi wao Misri (Pythagoras na Eratosthenes etc wote walisoma Misri).Ukimsoma Cheik Anta Diop utaona kwamba utanashati wa Misri kielimu, ulitoka kusini ukaja kaskazini,hususan na mto Nile. Kwa maneno mengine, hata hao Wazungu unaowaona wajanja, ujanja wao wameutoa Afrika.
3. Ukisoma hesabu utakuta maneno mengi yenye msingi wa kiarabu (algebra, cube has the same root as al-qabba etc). Similarly terms like alkali in Chemistry are of Arabic etymology. Hiyo "alphabet" ya leo ya magharibi,neno "alphabet" limetokana na herufi za mwanzo za Kiarabu, alif baa taa.
There is a whole Wiki on this
Mathematics in medieval Islam - Wikipedia
Alchemy and chemistry in medieval Islam - Wikipedia
4. The Chinese were very advanced,they discovered many things, including gunpowder, before the west. Then they got cocky and said since they are the center of civilization, they don't need to travel, the world needs to come to them. That was the beginning of their downfall.Some accounts place the Chinese in America before Colombus. They came to Africa before Vasco da Gama.
Six Centuries Ago, Chinese Explorers Left This Coin Behind in Africa | Smart News | Smithsonian
What happenned?
They got complacent and gave up constant reinvention and seeking for knowledge.
To stay at the top, one must constantly be reinventing oneself and seeking for knowledge.
5. Not all the blame to go around is attributable to Wazungu, we have been free of colonialism for over 50 years now, surely some of this misery is due to our own making.
So this whole thing about Wazungu this, Wazungu that is whinning on many levels.
1. The whole wazungu thing is a big myth, if you analyze the history of decolonization and WWII you will see "Wazungu" is a collective to us outsiders, to them, they all have their internal natinalstate and ethnic beefs just like everybody else. They are not monolithic.
2. Even if they were monolithic, they did not get there by themselves.They did not always have the advantages they currently have. They struggled to better their situations, so can you.
3. The struggle nowadays is largely shifting from "wazungu vs weusi" to "the haves vs the have nots".Even Wazungu have poor people and blacks have millionaires. Donot get stuck in a utopian dichotomy of "wazungu vs weusi" while the real dichotomy is "the haves vs the have nots"
4. The world is understandable. Start by this ground rule. If some mzungu is lying, we can figure that out. ll we have to do is work to get the tools we need to do this, that tool is knowledge.
5.A paradigm shift could swing the pendulum of change anywhere. It is not written in stone that a certain kind of people will always be at the top. Therefore, be sure to be prepared in case you are flung to a position that could make a difference.
Ndiyo maana kuna wazungu mpaka leo wanakuja Afrika, wanasaini mikataba ya kuibia nchi za Waafrika, wanasaini na "ndugu zetu" viongozi wa Afrika, wanawakatia cha juu.meeeen your geniuz at least among many african your head is not empty , this war is not about mazungu vs waafrica its about who have vs who doesn't
Na mrussi je?Hii naunga mkono naona kama wamarekan waliturisha tango pori
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo? Unaweza kuthibitisha roho ipo?Unauliza Mungu ni nini? Mungu ni roho.
Namaanisha Mungu ni roho.
Nani ana amini Beyonce ni mungu? Unadhani sifa za kitu kuwa mungu ni zipi?
Je Wewe unaweza kuwa mungu?
Naona hatukuelewana kwenye kiingereza, nimetumia neno glimpse siyo kwa purpose ya kuona bali kufika. Nitakushangaa pamoja na yote niliyoandika humu wewe unifundishe kuwa galaxy fulani inaonekana. Kwako unaona ni kitu cha ku-focus ila hukujifikiria kwa nini nimeweka distance kuwa kikwazo cha kuzifikia hizo galaxies - maana yake nafahamu vyema sayari na galaxy iliyofahamika tangu enzi za Greek Civilisation. Mtu akikwambia alimwashia taa kwenye mashindano, utaelewa kuwa kweli alimwashia taa? Usifanye vitu simple kuvilazimisha kuwa complex. Wala usidhani kuwa, sina uelewa na ninavyoongea. Ndo maana nilisema ni Conspiracy Theory, probably hujui maana yake, ndio maana umekazania fact ambazo kila mtu anazijua. Am interested with the new approaches, not merely traditional ones which had been in use since the Enlightenment Period.Naandika Kiswahili iki kuongeza uwazi.
Ukikosea, ni uungwana kukubali unaposahihishwa.
1. Umekosea kuitaja spidi ya mwanga. Ninekusahihisha. Kubali.
2. Umekosea kusema galaxies "zinapanuka" kwa speed kuliko speed ya mwanga.
3. Unakosea kusema kwamba sababu ya sisi kutoweza kufika galaxy nyingine ni exoansionnof the universe. Tatizo letu ni aina ya energy tutakayotumia na chombo cha kuweza kusafiri umbali huo.
Unapoandika it sont happen fir humanity to catch a glimpse of other galaxies naona labda una matatizo ya kiingereza au astronomy.
Watu wanaona galaxies kila siku mbona?
In fact, unaweza kuina galaxies fulani bika hata kutumia telescope.
Pur neighbor Andromeda is a good example.
Can you see other galaxies without a telescope?
Ndiyo maana nikasema niandike Kiswahili kwa uwazi zaidi.Naona hatukuelewana kwenye kiingereza, nimetumia neno glimpse siyo kwa purpose ya kuona bali kufika. Nitakushangaa pamoja na yote niliyoandika humu wewe unifundishe kuwa galaxy fulani inaonekana. Kwako unaona ni kitu cha ku-focus ila hukujifikiria kwa nini nimeweka distance kuwa kikwazo cha kuzifikia hizo galaxies - maana yake nafahamu vyema sayari na galaxy iliyofahamika tangu enzi za Greek Civilisation. Mtu akikwambia alimwashia taa kwenye mashindano, utaelewa kuwa kweli alimwashia taa? Usifanye vitu simple kuvilazimisha kuwa complex. Wala usidhani kuwa, sina uelewa na ninavyoongea. Ndo maana nilisema ni Conspiracy Theory, probably hujui maana yake, ndio maana umekazania fact ambazo kila mtu anazijua. Am interested with the new approaches, not merely traditional ones which had been in use since the Enlightenment Period.
Wenzako tunasumbukia kuona namna Theory zilizo-define Sayansi (Gravity), pamoja na Philosophy (Reality), zinavyokosolewa, Wewe umekomalia copy and paste za madarasa tuliyokwisha maliza zamani.
Kumbuka na warusi waliendaHii naunga mkono naona kama wamarekan waliturisha tango pori
Voyager 1 and 2 za Wamarekani zimeshatoka kwenye Solar System.Wazungu wako mars the next level, sisi tuendelee kukalia kuwa hawajafika mwezini
Umewashuhudia wakifanya iyo safari????!?sas mkuu kama vyombo vinatumwa vinafika kwann binadamu asifike? umbali kati ya dunia na mwezi ni km 384,000 tu pana umbali gani hapo wkati watu wametuma vyombo mpk kwe orbit ya jupiter huko karibu KM milioni 300 na zaidi
Mungu yupi uyo mbona mungu hayupo?!Mwezi umeumbwa na Mungu, soma Mwanzo utaelewa
Usiburuzwe kifikra jiongeze ww sio mdori japo kila kitu umekikuta.aisee yaan sijui itakuwaje...ila unajua hizi galaxies zina mtindo wa kumove pia huwa zinamerge..mfano wanasayansi wanadai kuwa hii galaxy yetu ilikuwa na sibling wake enzi hizo ila sema ilimerge na galaxy nyingine, pia kuna nyota zngne inasemekana zina nguvu mara laki tano zaidi ya jua letu sasa nyota kama hio ikisogea karibu na solar system yetu usishangae ikapokonya baadhi ya sayari aisee..najaribu tu kuimagine