Je Mwislam kula nyama iliyochinjwa na Mkristo ni dhambi?

Je Mwislam kula nyama iliyochinjwa na Mkristo ni dhambi?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Hapa Monduli, wanachinjwa ng'ombe wasio na idadi, mbuzi na kondoo kwa fujo. Wachinjaji ni wenzetu Wamasai, wanyama wanachinjwa kimila hamna kugeuziwa Quibla, wala MAKA, hamna cha Bismillah al-Rahman al-Rahim wala nini. Watu kama wamejitoa ufahamu wa mafundisho ya vitabu vitakatifu, ni mwendo wa kula nyama kwa fujo.

kimsboy, The Boss, THE BIG SHOW, na FaizaFoxy wanakandamiza minofu Kisukuma.

LOWASSA buriani, tutakukumbuka daima.
 
Hapa Monduli, wanachinjwa ng'ombe wasio na idadi, mbuzi na kondoo kwa fujo. Wachinjaji ni wenzetu Wamasai, wanyama wanachinjwa kimila hamna kugeuziwa Quibla, wala MAKA, hamna cha Bismillah al-Rahman al-Rahim wala nini. Watu kama wamejitoa ufahamu wa mafundisho ya vitabu vitakatifu, ni mwendo wa kula nyama kwa fujo.

kimsboy, The Boss, THE BIG SHOW, na FaizaFoxy wanakandamiza minofu Kisukuma.

LOWASSA buriani, tutakukumbuka daima.
Kula nyama kadiri uwezavyo. Wasukuma wao wanapenda pombe, nyooo na nyama.
 
FB_IMG_17081255620009192.jpg
 
Vijana wa mikoani hovyo sana. Badala ya kueleza mengine humu ni kujaza nyUzi za nyama za misibani!


Kwenye misiba wengi vijijini hufuata nyama.
 
Waache wale tu. Lengo la kuchinja halikua baya kama vile kutoa kafara, basi unakula tu.
 
Vijana wa mikoani hovyo sana. Badala ya kueleza mengine humu ni kujaza nyUzi za nyama za misibani!


Kwenye misiba wengi vijijini hufuata nyama.
Watu wametoka pande zote za nchi kufuata nyama
 
Back
Top Bottom