Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Wamasai wamechinja 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikianza Ramadhan, mboga inadodawalivo walafi labda kitimoto wanaweza wasile
wanapenda vitu vya mafuta mafutaIkianza Ramadhan, mboga inadoda
Kuna dini inabagua sana, yaani kwao bora mtu awe mpagani kuliko awe MkristoWako msibani hapa kwa Lowassa wanagonga nyama tu kama kawaida, tena zimechinjwa na wapagani achilila mbali wakristu
Waroho sana wa pilau, wali na vitu vya mchele mchelewanapenda vitu vya mafuta mafuta
Na shahawa si zina mafuta? Ndio maana wanazipenda sana, wake kwa waumewanapenda vitu vya mafuta mafuta
Niliuliza hili swali jana nikaambiwa itifaki zimezingatiwaHapa Monduli, wanachinjwa ng'ombe wasio na idadi, mbuzi na kondoo kwa fujo. Wachinjaji ni wenzetu Wamasai, wanyama wanachinjwa kimila hamna kugeuziwa Quibla, wala MAKA, hamna cha Bismillah al-Rahman al-Rahim wala nini. Watu kama wamejitoa ufahamu wa mafundisho ya vitabu vitakatifu, ni mwendo wa kula nyama kwa fujo.
Hahahaha nyoo!Kula nyama kadiri uwezavyo. Wasukuma wao wanapenda pombe, nyooo na nyama.
Protocol gani Mtwa?Wale ni watu wa protocol wewe umekaaa tuu nalienjele huko unajiandikia tuu unavyoandika
Wanachinja islamProtocol gani Mtwa?
Nyoo tamu sanaHahahaha nyoo!
Nyamafu ndio nini?haifai nyamafu dhambi kubwa kama dhambi ya kula nyama ya mtu
Haaaa! Ja boyaKula nyama kadiri uwezavyo. Wasukuma wao wanapenda pombe, nyooo na nyama.
Ndio dini gani?Wamasai wamechinja 😀😀😀
Mungu mwenyewe hana diniWale tu, dini zote ni ujinga ujinga tu