Je, na Rais Hayati Magufuli nae angestaafu angekuwa anaenda Bunju kwa 'Helicopter' kuiangalia Simba kama afanyavyo mwingine huko Kigamboni kwa Yanga?

Je, na Rais Hayati Magufuli nae angestaafu angekuwa anaenda Bunju kwa 'Helicopter' kuiangalia Simba kama afanyavyo mwingine huko Kigamboni kwa Yanga?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni matumaini yangu Makubwa kuwa hizo Helicopter huwa zinakuwa Salama na zinafanyiwa Matengenezo makubwa kwani kwa mwaka huu Watanzania hatuhitaji Kuomboleza tena.

Halafu wala msihangaike kwenda huko Avic Town Kigamboni ilipo Yanga SC Kisirisiri kwani wengine tunawajua hata mlivyokuwa Uongozini 2005 hadi 2015 mlikuwa ni wana Yanga SC na mpaka sasa mnaipenda mno huku mkihaha kwa kila namna kwa kutumia 'influence' zenu ( japo mmeshastaafu ) ili mwaka huu iwe isiwe wawe Mabingwa.

Sijui na Rais Hayati Dkt. Magufuli nae angestaafu kwa Mapenzi yake makubwa kwa Simba SC ( Timu iliyobarikiwa Kimafanikio na Mwenyezi Mungu ) nae angekuwa anatoka Chato Mkoani Geita na Helicopter 'Kisirisiri' kwenda Kambini Bunju Mo Arena kuonana na Wachezaji, kula nao Bata na kuwapa Pesa nyingi tu huku akiwataka wahakikishe Wanabeba Ubingwa kwani japo amestaafu ila nchi bado ipo mikononi mwake na aliyeko Magogoni na Chamwino anammudu.

Mzee hizo Helicopter unaziamini mno?
 
Mods mwanzo wa mwezi huu, jamaa ameanza ugonjwa wake. Plz ondoeni hii thread haina maana yoyote.
Huna IQ ya Kuelewa Threads zangu hivyo wapishe Werevu wanaonielewa Wachangie na Wewe kwa Kubarikiwa Kwako na Upumbavu na Chuki zako dhidi yangu huenda ukajifunza Kitu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer sawa?

Huo Ugonjwa wa Akili unaosema ninao nadhani aliyekuleta duniani ndiyo anao zaidi yangu na ndiyo maana katuletea zawadi ya Certified Fool na Uncircumcised Baboon kama Wewe hapa Tanzania na JamiiForums pia.
 
Mods mwanzo wa mwezi huu, jamaa ameanza ugonjwa wake. Plz ondoeni hii thread haina maana yoyote.
Mods wasiondoe tafadhali, waunganishe tu na uzi huu hapa:
👇👇👇
 
Sio isiwe au iwe lazima ichukuwe ubingwa.. sema ubora wa Yanga mwaka huu Haina ushindani lazima tu ichukuwe ubingwa hata hyo Mikia ijiunge mara mia hawezi kufikia kiwango Cha Yanga..
Yanga atachukuwa ubingwa ni kwa 7bu ya ubora acha kuleta janjajanja hapa mbona Makolo wenzio washakubali hii Yanga ni Nyoko.. Sasa hv wanahesabu match tu na mkipoteana mechi mbili ndo mnaipunguzia idadi za match yanga
 
Ni timu yake mmliki halisi kupitia gsm
Nalijua hili Mkuu na ndiyo maana nimeanzisha hii Mada 'Kiuchokozi' ili tuijadili kwani kama Mstaafu ( tena wa Kisiasa ) anatumia 'influence' yake Kushinikiza baadhi ya Mambo na Maamuzi kwa Watendaji ili tu Kuibeba Yanga SC yake Kimafanikio hasa kwa mwaka huu.

Ni bahati mbaya sana kuna blessed Fools kama CARDLESS wanadhani nimekurupuka tu kuanzisha Uzi huu ila najua wale Werevu ( Einsteins ) pekee hapa Jamvini JamiiForums watakuwa wamenielewa kwanini nimekuja na huu Uzi, nalenga nini na natahadharisha nini pia.
 
ivi kumbeee alafu inapitaga juuu ya paa la nyumba nilopangaaa chopaa chopangaaaaa linakamua weseee
 
ivi kumbeee alafu inapitaga juuu ya paa la nyumba nilopangaaa chopaa chopangaaaaa linakamua weseee
Ndiyo Yeye Mkuu na huwa anatoka nayo kutoka pale JNIA na Siku zingine hata akitoka nayo moja kwa moja kutoka kule kule Pwani Kwake.

Nikisema Jambo huwa nina uhakika nalo.
 
Mods wasiondoe tafadhali, waunganishe tu na uzi huu hapa:
👇👇👇
Hata wakiuondoa ila Ukweli nimeshauweka Hadharani hapa Mkuu na huyo Mstaafu ajue kuwa hakuna Siri hapa duniani na tunajua ni Mawaziri gani katika Serikali ya Rais Samia anawatumia ili kuhakikisha Yanga SC yake iwe isiwe inakuwa Bingwa na mpaka Pesa zingine za Hazina zinachomolewa na kwenda kuwapa Wachezaji wa Yanga SC.
 
Ndiyo Yeye Mkuu na huwa anatoka nayo kutoka pale JNIA na Siku zingine hata akitoka nayo moja kwa moja kutoka kule kule Pwani Kwake.

Nikisema Jambo huwa nina uhakika nalo.
Haina shida kama analipa kwa pesa yake, hata kale kakijana jux kuna kipindi kalikuwa kanakodi kuzunguka na shabiki mmoja aliyeshinda.
 
Hata wakiuondoa ila Ukweli nimeshauweka Hadharani hapa Mkuu na huyo Mstaafu ajue kuwa hakuna Siri hapa duniani na tunajua ni Mawaziri gani katika Serikali ya Rais Samia anawatumia ili kuhakikisha Yanga SC yake iwe isiwe inakuwa Bingwa na mpaka Pesa zingine za Hazina zinachomolewa na kwenda kuwapa Wachezaji wa Yanga SC.
kuna tatizo gani yeye kwenda kwenye timu anayoshabikia na chopa...kuna tatizo gani yeye kuwapa pesa wachezaji wa yanga? acha kuwashwawashwa na mambo ya watu mkuu
 
Back
Top Bottom