Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukananeni lakini msisitukane sisi wazazi wenu. Hapo mzazi wa mtu ameingiaje katika malumbano yenu? Tafadhali heshim wazazi wa mwenzio kama unavyomheshim wazazi wako.Huna IQ ya Kuelewa Threads zangu hivyo wapishe Werevu wanaonielewa Wachangie na Wewe kwa Kubarikiwa Kwako na Upumbavu na Chuki zako dhidi yangu huenda ukajifunza Kitu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer sawa?
Huo Ugonjwa wa Akili unaosema ninao nadhani aliyekuleta duniani ndiyo anao zaidi yangu na ndiyo maana katuletea zawadi ya Certified Fool na Uncircumcised Baboon kama Wewe hapa Tanzania na JamiiForums pia.
yule mzee wa kwanza mwenye akili hapo utopoloni akifuatiwa na sunday manara ila waliobaki wote madishi yameyumbaFungus hizo codes na sisi tupate kujua vizuri yanayo endelea
Hahahahah..Mods mwanzo wa mwezi huu, jamaa ameanza ugonjwa wake. Plz ondoeni hii thread haina maana yoyote.
Ila ukushangaa makonda alivyokua anashangilia simba waziwazi Tena anasema lazima itachukua ubingwa kabla hata msimu kuishaNi matumaini yangu Makubwa kuwa hizo Helicopter huwa zinakuwa Salama na zinafanyiwa Matengenezo makubwa kwani kwa mwaka huu Watanzania hatuhitaji Kuomboleza tena.
Halafu wala msihangaike kwenda huko Avic Town Kigamboni ilipo Yanga SC Kisirisiri kwani wengine tunawajua hata mlivyokuwa Uongozini 2005 hadi 2015 mlikuwa ni wana Yanga SC na mpaka sasa mnaipenda mno huku mkihaha kwa kila namna kwa kutumia 'influence' zenu ( japo mmeshastaafu ) ili mwaka huu iwe isiwe wawe Mabingwa.
Sijui na Rais Hayati Dkt. Magufuli nae angestaafu kwa Mapenzi yake makubwa kwa Simba SC ( Timu iliyobarikiwa Kimafanikio na Mwenyezi Mungu ) nae angekuwa anatoka Chato Mkoani Geita na Helicopter 'Kisirisiri' kwenda Kambini Bunju Mo Arena kuonana na Wachezaji, kula nao Bata na kuwapa Pesa nyingi tu huku akiwataka wahakikishe Wanabeba Ubingwa kwani japo amestaafu ila nchi bado ipo mikononi mwake na aliyeko Magogoni na Chamwino anammudu.
Mzee hizo Helicopter unaziamini mno?
Simba imechukua ubingwa Mara nne mfulululizo lakin Yanga hawakulalamika Leo hii yanga nafasi anayo Ila hajachukua ubingwa lakin mmeshaanza kumlalamikia na kumtafuta mchawiHata wakiuondoa ila Ukweli nimeshauweka Hadharani hapa Mkuu na huyo Mstaafu ajue kuwa hakuna Siri hapa duniani na tunajua ni Mawaziri gani katika Serikali ya Rais Samia anawatumia ili kuhakikisha Yanga SC yake iwe isiwe inakuwa Bingwa na mpaka Pesa zingine za Hazina zinachomolewa na kwenda kuwapa Wachezaji wa Yanga SC.
Yanga itachukua ubingwa kwa uwezo sio influence ya mtuNi matumaini yangu Makubwa kuwa hizo Helicopter huwa zinakuwa Salama na zinafanyiwa Matengenezo makubwa kwani kwa mwaka huu Watanzania hatuhitaji Kuomboleza tena.
Halafu wala msihangaike kwenda huko Avic Town Kigamboni ilipo Yanga SC Kisirisiri kwani wengine tunawajua hata mlivyokuwa Uongozini 2005 hadi 2015 mlikuwa ni wana Yanga SC na mpaka sasa mnaipenda mno huku mkihaha kwa kila namna kwa kutumia 'influence' zenu ( japo mmeshastaafu ) ili mwaka huu iwe isiwe wawe Mabingwa.
Sijui na Rais Hayati Dkt. Magufuli nae angestaafu kwa Mapenzi yake makubwa kwa Simba SC ( Timu iliyobarikiwa Kimafanikio na Mwenyezi Mungu ) nae angekuwa anatoka Chato Mkoani Geita na Helicopter 'Kisirisiri' kwenda Kambini Bunju Mo Arena kuonana na Wachezaji, kula nao Bata na kuwapa Pesa nyingi tu huku akiwataka wahakikishe Wanabeba Ubingwa kwani japo amestaafu ila nchi bado ipo mikononi mwake na aliyeko Magogoni na Chamwino anammudu.
Mzee hizo Helicopter unaziamini mno?
Mkuu una maanisha yule Waziri anaevaa Bendera shingoni ambaye mwaka 2015 alichafua majabali kuwa yeye ndio namba MOJA wa nchi si ndio??!!Halafu mkuu mwaka wa Mapinduzi huu Sasa anazitumia chopa ni HATARI Sana kwani akipata hitilafu Hadi Mama nae atapata heart attack na kushindwa kuendeleza serikali take!!!Hata wakiuondoa ila Ukweli nimeshauweka Hadharani hapa Mkuu na huyo Mstaafu ajue kuwa hakuna Siri hapa duniani na tunajua ni Mawaziri gani katika Serikali ya Rais Samia anawatumia ili kuhakikisha Yanga SC yake iwe isiwe inakuwa Bingwa na mpaka Pesa zingine za Hazina zinachomolewa na kwenda kuwapa Wachezaji wa Yanga SC.
mwezi mchanga?Mods mwanzo wa mwezi huu, jamaa ameanza ugonjwa wake. Plz ondoeni hii thread haina maana yoyote.
Wenye Akili ( Werevu ) wameshaelewa.Fungus hizo codes na sisi tupate kujua vizuri yanayo endelea
Nawashukuru sana JamiiForums Moderators huu Uzi wangu ambao nimeuanzisha Mahsusi kwa lengo la Kuibua, Kukemea na kutaka Usawa wa Watawala wetu na 'influence' zao ndani ya Michezo ( hasa kwa Klabu zao pendwa ) kwani kuna Hatari nimeanza kuiona kwa mbali na Wadau tusipokuaa makini ipo Siku itakuja Kutugharimu.Ina maana Sana wala MOD isiiondoe mwache muhusika ajitetee kwa sababu yupo humu.
Kama aliyemzaa....!!!
Aliyekuambia Mimi pia ninayetukanwa siyo Mzazi nani? Mnafiki mkubwa na Foolish Wewe hebu nitokee hapa sawa?Tukananeni lakini msisitukane sisi wazazi wenu. Hapo mzazi wa mtu ameingiaje katika malumbano yenu? Tafadhali heshim wazazi wa mwenzio kama unavyomheshim wazazi wako.
Mwezi mchanga huu, basi akili zake zinakuwa tofauti.