Je, na Rais Hayati Magufuli nae angestaafu angekuwa anaenda Bunju kwa 'Helicopter' kuiangalia Simba kama afanyavyo mwingine huko Kigamboni kwa Yanga?

Wasiwasi wangu Kwake ni Usalama tu wa hizo Chopper ambazo huwa anazitumia kwenda nazo huko Avic Town Kigamboni kwani Watanzania kwa mwaka huu hatutaki tena Kuomboleza Msiba wa Mwandamizi yoyote Mstaafu au aliyeko Kazimi sawa?

Halafu ni kwanini huwa anafanya Usiri mkubwa akienda huko? Kwahiyo alidhani Watu wote walioko Yanga SC na hasa Wafanyakazi wa kule Avic Town Kigamboni iliko Klabu yake pendwa ni wana Yanga SC tu?

Mwambieni tunayajua mengi tu ayafanyayo juu ya Klabu hiyo akimtumia mno Waziri Mmoja ( mwana Yanga SC lia lia ) katika Wizara Muhimu iliyo mkabala na Chuo cha IFM Posta ( japo sasa Makao Makuu yake ) yako Mkoani Dodoma.
 
Mwezi mchanga huu, basi akili zake zinakuwa tofauti.
Kuliko za Yule aliyekutapika ukiwa Mtupu Wodi ya Uzazi na ukaja duniani?

Vipi Ombi lako la huu Uzi limesikika? Umeshajiuliza ni kwanini limepuuzwa, Umepuuzwa na bado Uzi upo na unazidi Kurindima tu?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer sawa?

Najua Natural Charm yangu inawakera na Kuwaumiza zaidi Wapumbavu wengi wakiongozwa nawe hapa kisha mnaishia tu Kunichukia na Kunishambulia.

Kinachonishangaza ni kwamba 24/7 mnahubiri Kunichukia GENTAMYCINE lakini ndiyo nyie nyie tena ambao mnaongoza kwa Kunifuatilia, Kusoma Mada zangu mbalimbali na hata kufuatilia nimechangia nini katika Mada za Watu wengine hapa.

Msikereke na Mimi kwa huu Mvuto wangu wa Kiuwasilishaji niwapo hapa JamiiForums, Umahiri wangu wa kujua Mambo mengi ( kuwa Knowledgeable ) na kuwa very Smart upstairs kuwazidi Critics wangu wengi ( ukiwemo ) bali Kerekeni na Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi hivi sana na akawasahau Majuha wengi wakiongozwa na Wewe.
 
Mwigulu nchemba na kikwete ni washabiki wa Yanga Sasa nakushangaa kwanin unatumia code nawakati vitu viko wazi
 
Unateseka ukiwa wapi KOLO????
 
Mambo ni zamu kwa zamu mkuu. Kipindi chairman Magu yupo hai Wanayanga waliteseka mno. Sasa ni zamu yao acha waifurahiye yanga yao.
 
Nikiwa Nakushindilia nao.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa ni kichaa. Unawezaje kupaniki na mtu humjui? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Urudishwe milembe haraka sana.
 
Acha kumshtua mwache tu !
Hapana Mkuu Watanzania hatuhitaji Kuomboleza tena kwa mwaka huu kwani ya mwaka jana yametutosha.

Namtahadharisha tu na pia ajue kuwa japo Yeye anafanya Siri ila Watoto wa Mjini tunajua kila Kitu ila tunamuangalia tu kwa Darubini Kali tukijua ni wape atagota na atajutia.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa ni kichaa. Unawezaje kupaniki na mtu humjui? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Urudishwe milembe haraka sana.
Mimi ni Kichaa kuliko aliyekuzaa? Aliyekuzaa amerudi lini kutoka huko Milembe? Sijawahi Kupaniki / Kupanikishwa na Authentic Moron and Uncircumcised Baboon wa aina yako sawa?
 
CARDLESS Uzi wangu huu ambao uliuombea sana Ufutwe na Mods ( Moderators ) ukiwa bado uko Ukurasa wa Kwanza ( Page One ) sasa uko Ukurasa ( Page ) hii ya Tatu je,unasemaje?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer sawa?

Kudadadeki.....!!!!!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa ni kichaa. Unawezaje kupaniki na mtu humjui? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Urudishwe milembe haraka sana.
achana nako hako katoto, huwa kanajifanyaga kanajua sana but mweupe tuuu!!!
 
We kaka punguza matusi kwa lugha ya kilatini haelew huyo
 
Mbona mwendazake aliyekuwa ni shabiki na mikia mbona mliyokuwa mnamualika taifa kwa mkapa mbona mlikuwa mnafungwa??
 
Jamaa wako bize wanataka mwenzao apigwe ban ili wafurahi. Mbona kwenye thrad za wengine haya hayaonekani yaani wanamchokoza makusudi ili roho zao ziridhike na wanachokitafuta.
 
Hoja muflisi iliyojaa unazi usio na tija.
Kwani umesikia kodishiwa na serikali, au hana haki ya kukutana na timu ya wananchi anayoipenda dama dumu?
 
makonda alikuwa anachota pesa hazina kuifund simba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…