Je, na Wagombea wengine wa 'Urais' nchini Tanzania nao watakuwa na 'Confidence' kubwa ya Kuongea Kiingereza na Balozi wa US kama alivyoweza Lissu?

Kwaio unachagua kiongoz anae weza kuongea vizur kingereza dah ivi una miaka mingap mkuu mbona mawazo yako na akil vinatia shaka ivi una Familia kweli? Next election tumpe uongoz Dada wema sepetu bas mana hata yeye anaongea kingereza kizur tu
You're a typical FOOL.
 
Wote hao uliowataja hawajui kiingereza kumzidi Lissu; kwa hiyo hujui unaloandika hapa.
Hoja uliyotakiwa kuikazia ni kuwa kiingereza ni lugha muhimu duniani, hata kama sio lazima kuijua ili mambo yaende sawa.
Alichosahau mleta mada kukiwekea mkazoni kwamba,sio lugha tu inayompambanua Lissu; kitu muhimu ni kujieleza kwa ufasaha hayo anayoyawasilisha katika lugha iwe hicho kiingereza au kiswahili chetu.
Ndio maana 'MDAHALO' kati ya hawa wawili hauwezekani kwa mmoja wao kuogopa aibu. Kwa sababu hawezi kujieleza katika lugha yoyote.
 
Unajua hawa CHADEMA asilimia kubwa akili zao ziko uchi kabisa .Kingereza nduguzanguni ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine ,kingereza hakitozi kodi wala kujenga reli au barabara.Wala kingereza hakizuii rushwa wala kuwabaini wahujumi uchumi wetu.Kinachofanikisha yote hayo ni utashi na dhamira katika kutenda .Mkandarasi wetu tunaye hapa site anaongea kituruki tu muda wote lakini mambo yake ni mazito.House girl wangu ni Mmalawi anaongea Kingereza muda wote lakini anategemea mshahara toka kwangu amabye siijui hiyo lugha.Ukishaona mtu anang'ang'ania umahiri wa Kingereza tu haongei jambo jingine basi ujue huyo kafikia mwisho na hana hoja nyingine ya kujihalalisha (legitimacy) katika jambo lake.
Tuwaonee huruma hawa ni ndugu zetu,tuzidi kuwaelimisha.
 
Akili za kikoloni bado sana waafrika!
Sasa imefika hatua imekuwa aibu. Yaani kipimo chetu cha kuielewa vema na kuiendeleza jamii yetu sasa hivi kimekuwa umahiri wa kuongea na balozi wa Marekani?

Kusema ukweli najisikia vibaya kwamba nami niliwahi kuwa mfuasi wa hawa mbumbumbu. Ngoja tuwaachie uwanja waendelee kudhalilisha nafsi zao hapa kwa mahaba ya kipuuzi na ubeberu. Kuanzia Novemba kutatulia na hizi kelele zitabadilishwa uelekeo.
 
Bila ya kuwepo kwa huo 'Uchi' ambao 'Unaudharau' hapa 'Babaako' Mzazi 'angeshughulika' nao 'Kitandani' Usiku Kutwa mpaka Umezaliwa hivi leo?
 
Mimi si mwalimu, kwahiyo siwezi kufundisha. Lakini pia sina ujinga, nafahamu mambo mengi.

Kukanga chips mtaani si dhambi bali ni biashara. Naitamani biashara hiyo ila sina kipaji nayo.
Mwalimu wa cheti! Jiendeleze jifunze lugha tofauti zinalipa, mbona wazungu wanakuja kujifunza kimwela, wanajua lugha zinalipa furahia ujinga na uukumbatie kisawasawa usikuponyoke.
 
Haaaaa haaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tundu Lisu mwenyewe kiingereza cha kuuma uma bali sema kwa sababu anaongea na watu ambao hawafahamu kiingereza wanafikiria yeye anafahamu hiyo lugha. Tundu lisu yuko mweupe sana tu.
 
Acha ujinga kama unafikri kiingerza kinajenga hata mabweni nenda Tanganyika International school kachukue watoto waje kukusaidia maendeleo.
 
Tundu Lisu mwenyewe kiingereza cha kuuma uma bali sema kwa sababu anaongea na watu ambao hawafahamu kiingereza wanafikiria yeye anafahamu hiyo lugha. Tundu lisu yuko mweupe sana tu.

Ni kweli kabisa hata Bwana yuleeee yuko vizuri,jana alitema yai la uhakika mpaka Rais wa Malawi kamvulia kofia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)

Mpka sasa wameshaenguliwa 500 πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚ Hakuna hata iliengia Service Road wacha Barabarani
 
Ni kweli kabisa hata Bwana yuleeee yuko vizuri,jana alitema yai la uhakika mpaka Rais wa Malawi kamvulia kofia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Msikilize Tundu anajifanya naye kafika Wingereza (London), ati anasema ''City rails'' sasa City Rails ni nini? Then anabwabwaja kwamba ''London kuna basi moja la ghorofa''. Sasa huo kama sio uwendawazimu ni nini. Yaani London yote iwe na basi moja la ghorofa........ Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee atawadanganya Chadema peke yao.

Anaongelea open spaces kwani hizo zilizopo hazioni? Tundu Lisu kichwani bure kabisa anapachika maneno ya kiingereza wakati hafahamu kuyatumia. Baada ya kuangukia pua akwende zake Belgium wakamlishe kama mtoto ya tima.
 
kingereza hakijengi hata nusu kilomita ya barabara ya lami.
 
waambie serikali iondoe lugha ya taifa English, ibakishe kiswahili tu,musituletee tabu, document zote za serikali zinaandikwa kwa lugha zote mbili, na official languages ni kishwahili na English, iweje basi kiongozi wa nchi asiweze kuongea, halafu munashabikia.
Mtu alosoma kwa English mpaka PhD, ni aibu kubwa kuongea Kama hakusoma vile,aibuuuuuuuuuuu.
 
Endelea kuwa mtumwa wa lugha. Bila shaka utaona matokeo yake, utaishi milele.
 
Acha ujinga kama unafikri kiingerza kinajenga hata mabweni nenda Tanganyika International school kachukue watoto waje kukusaidia maendeleo.
Kama munaona hakina maana,basi iondolewe kwenye official language, ibakie kiswahili,tabu ya nini, kwa nini munganganie lugha ambayo munaona haina umuhimu. Huyo munae muabudu ndio hakijui musitafite visingizio, aibuuuuu
 
Bila ya kuwepo kwa huo 'Uchi' ambao 'Unaudharau' hapa 'Babaako' Mzazi 'angeshughulika' nao 'Kitandani' Usiku Kutwa mpaka Umezaliwa hivsasa
Sasa hapa ndipo hasa unawajua CHADEMA .Hawana la kusema zaidi ya kutukana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…