GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #181
You're a typical FOOL.Kwaio unachagua kiongoz anae weza kuongea vizur kingereza dah ivi una miaka mingap mkuu mbona mawazo yako na akil vinatia shaka ivi una Familia kweli? Next election tumpe uongoz Dada wema sepetu bas mana hata yeye anaongea kingereza kizur tu
Yule ni cobra Ana rusha mate mita tatu unusuAtaenda na yule mwenye macho kama bundi bingwa wa kurusha mimate akibwabwaja mashudu yake.
Wote hao uliowataja hawajui kiingereza kumzidi Lissu; kwa hiyo hujui unaloandika hapa.iumalizia Zanzibar ambako alijifunza kiswahili fasaha!
Kwa hiyo hawa waswahili (wagombea urais) aongee nao kwa lugha wanayo feel comfortable nayo. Hawa wakina Putin, Rais wa Ufaransa, Chancellor wa Ujerumani, waziri mkuu wa Japan, Rais wa China, wa Korea zote mbili, waziri mkuu wa India, waziri mkuu wa Ethiopia, Rais wa Egypt n. k - wote hao wanajua kiingereza kuliko Lissu,
Unajua hawa CHADEMA asilimia kubwa akili zao ziko uchi kabisa .Kingereza nduguzanguni ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine ,kingereza hakitozi kodi wala kujenga reli au barabara.Wala kingereza hakizuii rushwa wala kuwabaini wahujumi uchumi wetu.Kinachofanikisha yote hayo ni utashi na dhamira katika kutenda .Mkandarasi wetu tunaye hapa site anaongea kituruki tu muda wote lakini mambo yake ni mazito.House girl wangu ni Mmalawi anaongea Kingereza muda wote lakini anategemea mshahara toka kwangu amabye siijui hiyo lugha.Ukishaona mtu anang'ang'ania umahiri wa Kingereza tu haongei jambo jingine basi ujue huyo kafikia mwisho na hana hoja nyingine ya kujihalalisha (legitimacy) katika jambo lake.Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi (bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya.
Na huyu 'Mgombea' ambaye natamani nae akafanye hayo 'Mazungumzo' na Balozi huyo basi aruhusu 'Wanahabari' wote wamuweke 'Mubashara' kabisa ili Wananchi tumsikie nae akitema 'Ung'eng'e' wake ambao utamzidi alionao Tundu Lissu.
Na inasemekana kuwa huyu 'Mgombea' Yeye ndiyo 'Kihistoria' ameanza Kutangulia kwenda Ulaya mno hasa hasa Ujerumani kuliko Mwenzake Lissu.
Sasa imefika hatua imekuwa aibu. Yaani kipimo chetu cha kuielewa vema na kuiendeleza jamii yetu sasa hivi kimekuwa umahiri wa kuongea na balozi wa Marekani?Akili za kikoloni bado sana waafrika!
Bila ya kuwepo kwa huo 'Uchi' ambao 'Unaudharau' hapa 'Babaako' Mzazi 'angeshughulika' nao 'Kitandani' Usiku Kutwa mpaka Umezaliwa hivi leo?Unajua hawa CHADEMA asilimia kubwa akili zao ziko uchi kabisa .Kingereza nduguzanguni ni lugha tu kama zilivyo lugha nyingine ,kingereza hakitozi kodi wala kujenga reli au barabara.Wala kingereza hakizuii rushwa wala kuwabaini wahujumi uchumi wetu.Kinachofanikisha yote hayo ni utashi na dhamira katika kutenda .Mkandarasi wetu tunaye hapa site anaongea kituruki tu muda wote lakini mambo yake ni mazito.House girl wangu ni Mmalawi anaongea Kingereza muda wote lakini anategemea mshahara toka kwangu amabye siijui hiyo lugha.Ukishaona mtu anang'ang'ania umahiri wa Kingereza tu haongei jambo jingine basi ujue huyo kafikia mwisho na hana hoja nyingine ya kujihalalisha (legitimacy) katika jambo lake.
Tuwaonee huruma hawa ni ndugu zetu,tuzidi kuwaelimisha.
Mwalimu wa cheti! Jiendeleze jifunze lugha tofauti zinalipa, mbona wazungu wanakuja kujifunza kimwela, wanajua lugha zinalipa furahia ujinga na uukumbatie kisawasawa usikuponyoke.Mimi si mwalimu, kwahiyo siwezi kufundisha. Lakini pia sina ujinga, nafahamu mambo mengi.
Kukanga chips mtaani si dhambi bali ni biashara. Naitamani biashara hiyo ila sina kipaji nayo.
Tundu Lisu mwenyewe kiingereza cha kuuma uma bali sema kwa sababu anaongea na watu ambao hawafahamu kiingereza wanafikiria yeye anafahamu hiyo lugha. Tundu lisu yuko mweupe sana tu.Haaaaa haaaa πππ
Kuna Watu ( Members ) hapa Jamvini ( JamiiForums ) mna 'Akili / Uwerevu' mkubwa wa Kuchambua na Kujibu 'Hoja' hadi ninawapendeni. Heko!!!!
Tundu Lisu mwenyewe kiingereza cha kuuma uma bali sema kwa sababu anaongea na watu ambao hawafahamu kiingereza wanafikiria yeye anafahamu hiyo lugha. Tundu lisu yuko mweupe sana tu.
"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"... ungenge wa maana kwetu tulijifunzia SEKONDARI na baada ya hapo. Somo pekee kwa lugha ya KISWAHILI ni hilohilo. Baadae tuloenda Manzese tulikutana humo na DS, ila kwa kiingereza. Sasa kama umeboronga digree ya kwanza, SAHAU ya pili na kwa hiyo ile ya 3.
Pale unapokua nazo TATU, ungenge utakuwepo tu. Thats the point
Ni kweli kabisa hata Bwana yuleeee yuko vizuri,jana alitema yai la uhakika mpaka Rais wa Malawi kamvulia kofia πππ
kingereza hakijengi hata nusu kilomita ya barabara ya lami.Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi (bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya.
Na huyu 'Mgombea' ambaye natamani nae akafanye hayo 'Mazungumzo' na Balozi huyo basi aruhusu 'Wanahabari' wote wamuweke 'Mubashara' kabisa ili Wananchi tumsikie nae akitema 'Ung'eng'e' wake ambao utamzidi alionao Tundu Lissu.
Na inasemekana kuwa huyu 'Mgombea' Yeye ndiyo 'Kihistoria' ameanza Kutangulia kwenda Ulaya mno hasa hasa Ujerumani kuliko Mwenzake Lissu.
waambie serikali iondoe lugha ya taifa English, ibakishe kiswahili tu,musituletee tabu, document zote za serikali zinaandikwa kwa lugha zote mbili, na official languages ni kishwahili na English, iweje basi kiongozi wa nchi asiweze kuongea, halafu munashabikia.Je, Unafikiri uongozi bora unatokana na kujua English?
Maendeleo ya nchi ya Watanzania|waswahili yanajengwa na Lugha ya kiingereza.
Unajua Lugha inayotumika katika jamii,biashara za kila siku na shughuli nyingi za maendeleo ni Kiswahili??
Kwanini Mnajigamba kwa Lugha ya kigeni ambayo hata isingekuwepo Tanzania bado wananchi wa kitanzania tungefanya mawasiliano yetu vizuri.
Hivi nyie baadhi ya Waafrika mbona mnatufanya waafrika wote tuonekane wajinga.
Endelea kuwa mtumwa wa lugha. Bila shaka utaona matokeo yake, utaishi milele.waambie serikali iondoe lugha ya taifa English, ibakishe kiswahili tu,musituletee tabu, document zote za serikali zinaandikwa kwa lugha zote mbili, na official languages ni kishwahili na English, iweje basi kiongozi wa nchi asiweze kuongea, halafu munashabikia.
Mtu alosoma kwa English mpaka PhD, ni aibu kubwa kuongea Kama hakusoma vile,aibuuuuuuuuuuu.
Kama munaona hakina maana,basi iondolewe kwenye official language, ibakie kiswahili,tabu ya nini, kwa nini munganganie lugha ambayo munaona haina umuhimu. Huyo munae muabudu ndio hakijui musitafite visingizio, aibuuuuuAcha ujinga kama unafikri kiingerza kinajenga hata mabweni nenda Tanganyika International school kachukue watoto waje kukusaidia maendeleo.
Sasa hapa ndipo hasa unawajua CHADEMA .Hawana la kusema zaidi ya kutukana tuBila ya kuwepo kwa huo 'Uchi' ambao 'Unaudharau' hapa 'Babaako' Mzazi 'angeshughulika' nao 'Kitandani' Usiku Kutwa mpaka Umezaliwa hivsasa
Ila Kiswahili chako Kinaimarisha 'Upumbavu' ulionao na 'uliokukomaa' au?kingereza hakijengi hata nusu kilomita ya barabara ya lami.