Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mbona ulishindwa kwenda Afrika Kusini kufundisha kiswahili, utabaki na ujinga wako unakaanga chips mayai mtaani.Umenena vema. Wasiojitambua hujitoa ufahamu na kumkiri mtu anayeongea kiingereza kuwa ni wa maana sana kuliko hata mzazi wake asiyejua Kiingereza.