Kwahiyo wewe unakura lamiKingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe unakura lamiKingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Unadhani huyo Putin degree zake amefanya kwa English au hao marais wengine. Mtu tangia form 1 hadi PhD anatumia english halafu hajui simple grammar and pronunciation kweli mtihani.Shida ipo Sana hasa nyie mnaotukuza English...unadhani Putin anazungumza English? Unadhani marais wote wanazungumza English?
Jikite kwenye hoja,Kingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Usipojua English inakuondolwa uwezo wa kuongoza ?! Mawazo ya English, English, English ni ya kikoloni na ulimbukeni uliopitiliza...ni kasumba iliyopitiliza..ni lack of self confidence...kwamba eti ukijua English ndio umeelimika...Unadhani huyo Putin degree zake amefanya kwa English au hao marais wengine. Mtu tangia form 1 hadi PhD anatumia english halafu hajui simple grammar and pronunciation kweli mtihani.
Ili kuonyesha tu kuwa Lugha ya 'Kiingereza' ni muhimu ndiyo maana hata Wewe pamoja na 'Kuichukia' bado umeitumia hapa katika Maelezo yako.Usipojua English inakuondolwa uwezo wa kuongoza ?! Mawazo ya English, English, English ni ya kikoloni na ulimbukeni uliopitiliza...ni kasumba iliyopitiliza..ni lack of self confidence...kwamba eti ukijua English ndio umeelimika...
Ukiwa unafikra ndogo basi heading yako itakuwa kama hiiKuna 'Mgombea' Mmoja hivi (bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya.
Na huyu 'Mgombea' ambaye natamani nae akafanye hayo 'Mazungumzo' na Balozi huyo basi aruhusu 'Wanahabari' wote wamuweke 'Mubashara' kabisa ili Wananchi tumsikie nae akitema 'Ung'eng'e' wake ambao utamzidi alionao Tundu Lissu.
Na inasemekana kuwa huyu 'Mgombea' Yeye ndiyo 'Kihistoria' ameanza Kutangulia kwenda Ulaya mno hasa hasa Ujerumani kuliko Mwenzake Lissu.
Mimi siichukii English...naipenda...napenda lugha zote...kipare, kigogo, kijerumani, kirusi, kiswahili na kadhalika...lakini kutozungumza vizuri lugha hainisumbui kabisa...Ili kuonyesha tu kuwa Lugha ya 'Kiingereza' ni muhimu ndiyo maana hata Wewe pamoja na 'Kuichukia' bado umeitumia hapa katika Maelezo yako.
Mwenyezi Mungu 'angekupendelea' na kukupa hata tu 5% ya 'IQ' yangu 'iliyotukuka' nadhani 'ungeringa' mno ila akakupa tu hiyo ya 0.03%. Pole!!Ukiwa unafikra ndogo basi heading yako itakuwa kama hii
"
Je, na Wagombea wengine wa 'Urais' nchini Tanzania nao watakuwa na 'Confidence' kubwa ya Kuongea Kiingereza na Balozi wa US kama alivyoweza Lissu?"
Hebu nitokee hapa 'Mpuuzi' na 'Mnafiki' mkubwa Wewe.Mimi siichukii English...naipenda...napenda lugha zote...kipare, kigogo, kijerumani, kirusi, kiswahili na kadhalika...lakini kutozungumza vizuri lugha hainisumbui kabisa...
Huna taarifa!Kingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Duh....Mimi mpuuzi na mnafiki?! Anza Kwanza kumwambia baba na mama yako mzazi halafu majibu yake uje utueleze hapa...Hebu nitokee hapa 'Mpuuzi' na 'Mnafiki' mkubwa Wewe.
Unajibizana na kichaa mkuu.Duh....Mimi mpuuzi na mnafiki?! Anza Kwanza kumwambia baba na mama yako mzazi halafu majibu yake uje utueleze hapa...
Atajijuu mwenyewe...yaani Hawa wenzetu sijui wakoje...wakishindwa hoja wanakimbilia kwenye matusi na kejeli..hovyo Sana Hawa watu...Kila muda matusi na kejeli..kuna mtu amemwita Rais wetu mjusi...yaani huyu ana bahati Sana..Unajibizana na kichaa mkuu.
Hiyo IQ ya kuandika heading kama hii kaa nayo wala siitaki na ni kweli una IQ iliyo tukukaMwenyezi Mungu 'angekupendelea' na kukupa hata tu 5% ya 'IQ' yangu 'iliyotukuka' nadhani 'ungeringa' mno ila akakupa tu hiyo ya 0.03%. Pole!!
Huyo balozi anaweza kutema kisukuma kama mgombea wetu? au hata kiswahili tu?Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi (bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya.
Na huyu 'Mgombea' ambaye natamani nae akafanye hayo 'Mazungumzo' na Balozi huyo basi aruhusu 'Wanahabari' wote wamuweke 'Mubashara' kabisa ili Wananchi tumsikie nae akitema 'Ung'eng'e' wake ambao utamzidi alionao Tundu Lissu.
Na inasemekana kuwa huyu 'Mgombea' Yeye ndiyo 'Kihistoria' ameanza Kutangulia kwenda Ulaya mno hasa hasa Ujerumani kuliko Mwenzake Lissu.
According to Lissu Tz inawahitaji mabeberu na mabeberu hawatuhitaji sisi.Lissu amewaaribu sana baadhi ya watanzania balozi ambae akiingilia mambo ya ndani ya Tanzania serikali inaweza mtimua kama walivyofanya kwa balozi wa UK kwenye sakata la Escrow.
Leo hii mmeanza aminishwa kupitia Lissu raisi au wagombea wa hiyo nafasi wanatakiwa wajipendekeze kwa mabalozi wa kigeni tena walio ndani ya Tanzania.
Siasa za wafuasi wa CDM ni hatari sana kwa national security propaganda za ndani. Fikra za jamii pia ni vita ya kila siku huko duniani ndio maana watu wana media ili wakupe view points zao. Halafu huku kwetu unakuta watu wanafanya kazi ya mabeberu bila ya kutambua tena kwa kutumia nguvu kweli.
Imagine media za US zitumie muda mwingi kuanza aminisha raia wake China is military strong kushinda nchi yao; that will never happen. Ilitakiwa tujiulize balozi anaweza communicate na raisi wetu, sio raisi wa nchi anaweza ongea na balozi. Serikali ya Tanzania can summon any ambassador but they can’t reciprocate.
Kiingereza ni lugha tu kama lugha nyingine. Na lugha ni njia za kimfumo za kuwasiliana kwa kutumia sauti au alama za kawaida. Cha maana ni mawasiliano tu.Kuna 'Mgombea' Mmoja hivi (bahati mbaya Jina lake limenitoka ghafla tu) nami natamani kweli kweli akishamaliza tu Ratiba yake ya Kugawa 'Kopi' za 'Vinyago' vyenye Mbuga zetu za Wanyama kwa Wageni wake Waalikwa basi nae akatishe zake aende Kupiga 'Stori' mbili tatu hivi na Balozi wa Marekani kama ambavyo leo 'Mgombea' Tundu Lissu amefanya.
Na huyu 'Mgombea' ambaye natamani nae akafanye hayo 'Mazungumzo' na Balozi huyo basi aruhusu 'Wanahabari' wote wamuweke 'Mubashara' kabisa ili Wananchi tumsikie nae akitema 'Ung'eng'e' wake ambao utamzidi alionao Tundu Lissu.
Na inasemekana kuwa huyu 'Mgombea' Yeye ndiyo 'Kihistoria' ameanza Kutangulia kwenda Ulaya mno hasa hasa Ujerumani kuliko Mwenzake Lissu.