Je, na Wagombea wengine wa 'Urais' nchini Tanzania nao watakuwa na 'Confidence' kubwa ya Kuongea Kiingereza na Balozi wa US kama alivyoweza Lissu?

Tanzanians ndio wanaweweseka na grammar, wazungu mbona wanapoongea broken Kiswahili hakuna anayewacheka? Kumkomboa Mwafrika itachukua muda mrefu kutokana na ujinga. JPM pamoja na mapungufu yake ameweza kuiondoa nchi hii kwenye umasikini wa kujitakia. Huyo Lisu (TAL) mwenyewe mbona broken english yake hamuisemi?

Msikilize hapa chini anavyojiumauma. Ati anadiriki kusema London kuna basi moja la ghorofa? Aibu!

 
A so called GREAT THINKER who still believes english speaking is a measure of total confidence...
Shame! Shame! Shame!
 
Wee unaona kuongea na watu wa us ndio sifa ya kuwa Rais.
Balozi anatakiwa akufuate sio Rais amfuate , hiyo ndio protokali.
Tundu anajipendekeza Ndio maana wazungu wanamtumia kama kibaraka wao.
Huyo aliyekutoka jina anajitambua na kujiamini.
Hapelekwi pelekwi
 
Hivi neno 'Pumbavu' ni Tusi? Watafute Watu wa BAKITA / TUKI ili 'Wakuelimishe' zaidi juu ya hilo neno kwani nimegundua nawe ni 'Mpumbavu' tu.
Ndio maana bwana Palamagamba Kabudi mwana Mji wa Omba omba aliitwa mpumbavu na bwana Magufuli msomi mbobezi wa kemia na lugha za mbalimbali
 



Balozi wa UK David Concar lipiga Kiswahili alipokutana na JPM.
 
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌,😭😭😭😭😭RIP BSaa8
 
You have completely read mind!!! Naunga mkono hoja yako kwa nguvu zote. Asante sana Mkuu.
 
Ila ukikitumia vyema / vizuri kwa 'Wamiliki' wa hiyo Lugha si tu kwamba wanaweza Kukujengea hiyo Lami bali hata Kuondoa 'Upumbavu' ulionao.
Mkuu 'Kalemera' nimecheka kidogo nifariki [emoji1787][emoji1787][emoji1544]
 

Viva ya PhD inaangalia zaidi contents zaidi and which knowledge you have added or brought in...Kama PhD utafiti ni wa language Hilo ni suala jingine..Mchina anaweza kufanya PhD ya Kiswahili na akadefend...watu au Panel itaangalia huyu ameleta elimu gani au Jambo gani jipya...hawataangalia matamshi...

Nimewahi kuwa na Wajerumani when addressing in English wako wanaotamka Zis baadala ya this...wajerumani hao hawaoni aibu hata kidogo...lakini baadhi ya 'mitanzania mijinga' utaona yanafanya issue suala la kukosea English...duh.

Yaani dunia hi baadhi ya 'mijitu' bado Ina kasumba za ukoloni...
 
Duh...wako waliopata PhD kwa kirusi,. Wako waliopata PhD kwa kifaransa..wengine wamepata PHD kwa kichina...wengine kwa kihispaniola...wengine kwa Kiswahili...wengine kwa Kiingereza...Wengine kwa Kijerumani...na kadhalika
Kwa lugha zote ulizo zitaja sina wasi wasi nazo kwa maana ndivyo mifumo yao ya kielimu ilivyo, ila hii yakupata PHD kwa kiswahili ndio sijajua ni nchi gani yenye mfumo huo. Naomba unisahidie kujua nchi inayofundusha kwa kiswahili adi mtu kupata PHD.
 
Tusilaumu sana.kwenye BSS huku Chuga watu walikuwa wanaongea hadi kijamaika,bangi mbaya sana.
 
Kwa lugha zote ulizo zitaja sina wasi wasi nazo kwa maana ndivyo mifumo yao ya kielimu ilivyo, ila hii yakupata PHD kwa kiswahili ndio sijajua ni nchi gani yenye mfumo huo. Naomba unisahidie kujua nchi inayofundusha kwa kiswahili adi mtu kupata PHD.
Wewe ni mtu wa ajabu kabisa...unadhani mwenye PhD ya Kiswahili anafundishwa kwa lugha ipi? Kwa hiyo nikwambie chuo kinachotoa PhD ya Kiswahili!? Duh...
 
Sasa mkuu hio content kama lugha hujui unaandika vipi, au unaandikiwa?
Usitake kupotosha hapa unaongea na wasomi hapa sio Instagram. PhD level unakuwa unawork independently. Lazima uweze kuandika vizuri, hio content unayo ongelea wewe inaangaliwa katika maandishi yako. Kama hujui lugha huwezi kugraduate hata siku moja labda upliagiarise au uhonge hao guides kutokana na nafasi yako uliyonayo.
 
Mkuu 'Kalemera' nimecheka kidogo nifariki [emoji1787][emoji1787][emoji1544]
Majibu yangu kwa 'Wapuuzi' kama hao huwa nakuwa nayo 'Standby' tu kabisa Mkuu. Na huyo nilikuwa namtafuta Kitambo hivyo 'akajaa' katika 18.
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…