KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kuna jamaa yangu yuko Moro naye pia aliziona. Wewe uko pande zipi kwani?Ziliishia huko huko kwenu
Watu wa Kigoma haoKuna jamaa yangu yuko Moro naye pia aliziona. Wewe uko pande zipi kwani?
Haha hahaha Waha, Wabembe , Wamanyema nk, nasikia ni wabishi sana.Watu wa Kigoma hao
USAKuna jamaa yangu yuko Moro naye pia aliziona. Wewe uko pande zipi kwani?
Ni tofauti na zile za majuzi maana kuna mdau aliripoti humu kuziona mitaa hiyohiyo akasema ni setelaiti za StarlinkUsiku wa jana mida ya saa moja kuelekea saa mbili niliona ndege 12 zikiwa zinaenda taratibu sana kwa mwendo wa Pole zikipita kwenye anga la nyumbani kwangu Bahari Beach.
Mara ya kwanza nilidhania ni vimondo, ila nikasema hapana, nikadhania sasa haya ndio mambo ya UFO yenyewe, lakini baadaye nikaona ni ndege 12 zikitokomea taratibu.
Vipi huko kwenu mliziona?
Yaani ni Bora umenitoa wasiwasi maana hata Sisi huku Mbweni JKT mida ya saa mbili usiku kilichonishangaza ni ule mpangilio yaani nikasema kweli haya ni maajabu.... halafu in ten seconds zikapotea Ila kwa sisi wageni ile hali inatisha sana. Itabidi niwaambie majirani zangu maana nao walipata hofu.Ni satellites za internet [emoji2930] ya StarLink za bwana mkubwa Elon Musk... Nchi nyingi tu huwa zinaonekana hata huko Marekani na nchi zingine za ulaya wanazionaga...
Baba yako anaongea na ndege?Vp uliziambia "NDEGE MSALIMIE BABA"?
Uzi ufungwe sasaBaba yako anaongea na ndege?
Yeees, ilikuwa ni kopi ya treni ya SGR kwa ajili ya wale ambao hawakuiona mchana, mama ameupiga mwingi.Usiku wa jana mida ya saa moja kuelekea saa mbili niliona ndege 12 zikiwa zinaenda taratibu sana kwa mwendo wa Pole zikipita kwenye anga la nyumbani kwangu Bahari Beach.
Mara ya kwanza nilidhania ni vimondo, ila nikasema hapana, nikadhania sasa haya ndio mambo ya UFO yenyewe, lakini baadaye nikaona ni ndege 12 zikitokomea taratibu.
Vipi huko kwenu mliziona?
Kwa hiyo akarusha mabundi na makunguru?Yeees, ilikuwa ni kopi ya treni ya SGR kwa ajili ya wale ambao hawakuiona mchana, mama ameupiga mwingi.
Nini kusudi ya hizo ndege?Mimi niliziona juzi nikiwa Arusha..ata mchana zinapita sehemu mbalimbali,ila kwa mchana ni ngumu kidogo kuziona.kwasababu ya jua