Je, na wewe uliziona ndege 12 zikitembea kwa mstari jana usiku?

Je, na wewe uliziona ndege 12 zikitembea kwa mstari jana usiku?

Ni satellite za starlink, sasa mtaanza kuziona mara kwa mara ziko kwenye orbit yenu sasa , wachina na Amazon nao soon mtaanza kuziona pia, ninapoishi tumeanza kuziona almost 2 years sasa, big business lakini scientists wameanza kulalamika ni uchafuzi wa anga
Ok
 
Camera za google hizo zinatengeneza maps 🤣🤣🤣
 
Nilikuwa natoka kariakoo mitaa ya kwa mwinyi kama unaelekea kawe mida ya saa moja hv nikazioona nilishangaa sn na nilishindwa kujua kuwa ni kitu gani kile
 
Ni kweli kabisa hata mimi niliziona jana mishale ya saa moja kuelekea saa mbili usiku, zikiwa zinawaka mawinguni huku zimepangana mstari.
 
STARLINK
images (9).jpeg
 
Usiku wa jana mida ya saa moja kuelekea saa mbili niliona ndege 12 zikiwa zinaenda taratibu sana kwa mwendo wa Pole zikipita kwenye anga la nyumbani kwangu Bahari Beach.

Mara ya kwanza nilidhania ni vimondo, ila nikasema hapana, nikadhania sasa haya ndio mambo ya UFO yenyewe, lakini baadaye nikaona ni ndege 12 zikitokomea taratibu.

Vipi huko kwenu mliziona?
20240228_033110.jpg
 
Ni satellites za internet [emoji2930] ya StarLink za bwana mkubwa Elon Musk... Nchi nyingi tu huwa zinaonekana hata huko Marekani na nchi zingine za ulaya wanazionaga...
Sasa uku zinakuja kufanya Nini sisi tunazo za asili
 
Usiku wa jana mida ya saa moja kuelekea saa mbili niliona ndege 12 zikiwa zinaenda taratibu sana kwa mwendo wa Pole zikipita kwenye anga la nyumbani kwangu Bahari Beach.

Mara ya kwanza nilidhania ni vimondo, ila nikasema hapana, nikadhania sasa haya ndio mambo ya UFO yenyewe, lakini baadaye nikaona ni ndege 12 zikitokomea taratibu.

Vipi huko kwenu mliziona?
Umri wako ni miaka mingapi? Unamacho kumchuzi au makengeza, tulichokiona ni mkanda wa taa kama muonekano wa mabehewa ya treni wakati wa usiku.
 
Back
Top Bottom