KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #21
OkNi satellite za starlink, sasa mtaanza kuziona mara kwa mara ziko kwenye orbit yenu sasa , wachina na Amazon nao soon mtaanza kuziona pia, ninapoishi tumeanza kuziona almost 2 years sasa, big business lakini scientists wameanza kulalamika ni uchafuzi wa anga