KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #21
OkNi satellite za starlink, sasa mtaanza kuziona mara kwa mara ziko kwenye orbit yenu sasa , wachina na Amazon nao soon mtaanza kuziona pia, ninapoishi tumeanza kuziona almost 2 years sasa, big business lakini scientists wameanza kulalamika ni uchafuzi wa anga
Elimu, haki kwa woteHaki Elimuu
Usiku wa jana mida ya saa moja kuelekea saa mbili niliona ndege 12 zikiwa zinaenda taratibu sana kwa mwendo wa Pole zikipita kwenye anga la nyumbani kwangu Bahari Beach.
Mara ya kwanza nilidhania ni vimondo, ila nikasema hapana, nikadhania sasa haya ndio mambo ya UFO yenyewe, lakini baadaye nikaona ni ndege 12 zikitokomea taratibu.
Vipi huko kwenu mliziona?
Duu!Ulitoa taarifa police?
Sasa uku zinakuja kufanya Nini sisi tunazo za asiliNi satellites za internet [emoji2930] ya StarLink za bwana mkubwa Elon Musk... Nchi nyingi tu huwa zinaonekana hata huko Marekani na nchi zingine za ulaya wanazionaga...
Hili swali muulize Elon Musk mwenyewe atakupa majibu ya satellites zake huku zinafanya nini...Sasa uku zinakuja kufanya Nini sisi tunazo za asili
Umri wako ni miaka mingapi? Unamacho kumchuzi au makengeza, tulichokiona ni mkanda wa taa kama muonekano wa mabehewa ya treni wakati wa usiku.Usiku wa jana mida ya saa moja kuelekea saa mbili niliona ndege 12 zikiwa zinaenda taratibu sana kwa mwendo wa Pole zikipita kwenye anga la nyumbani kwangu Bahari Beach.
Mara ya kwanza nilidhania ni vimondo, ila nikasema hapana, nikadhania sasa haya ndio mambo ya UFO yenyewe, lakini baadaye nikaona ni ndege 12 zikitokomea taratibu.
Vipi huko kwenu mliziona?
Sawa. Kilikuwa ni nini kile?Umri wako ni miaka mingapi? Unamacho kumchuzi au makengeza, tulichokiona ni mkanda wa taa kama muonekano wa mabehewa ya treni wakati wa usiku.
Swali zuri sana, akiujibu nijulisheBy the way hizo za asili zinakupa internet na zenyewe?
What was this shit? Najua wewe ni mjuzi, mwerevu na mweledi. Naomba msaada wako please
SpaceX Satellite Train, inahusu mawasiliano ya intaneti ya bei nafuu, hata hivyo hapa kuruhusiwa na hawa mawaziri wafanyabiashara ni kitendawili.Sawa. Kilikuwa ni nini kile?
CCM ni adui namba moja wa taifaSpaceX Satellite Train, inahusu mawasiliano ya intaneti ya bei nafuu, hata hivyo hapa kuruhusiwa na hawa mawaziri wafanyabiashara ni kitendawili.