Susan ndio alipaswa kuwa IGP wa sasaBaada ya CP Suzan Kaganda kuteuliwa kuwa balozi Sasa naona nafasi yake Kama kamishna wa fedha na mipango inaenda kuchukuliwa na mjumbe wa kamati ya fedha ya shirikisho la Polisi wanawake duniani-IAWP SACP Dkt.Deborah Magiligimba. Baada ya CP , Je ndio atakuwa IGP ajaye?
Mabadiliko yapi mkuuJeshi nidhamu yake imeisha kabisa. Watu wamepoteza imani na matumaini nalo.
Haileweki nani anayefanya uhalifu na hakamatiki, kwa jina la asiyejulikana.
Unashindwa kuelewa wapinzani wamekosea nini mpaka nguvu kubwa zitumike kwenye mambo yasiyo na tija.
Mzee Warioba alisema sahihi....ila nafikiri ipo haja ya kufanya mabadiliko